YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Majina aliyesema kuna ya kike na kiume.ni mwanadamuWanajinsia ndio maana hata majina yao yapo ya kiume na kike,
Majina ya Malaika kwanza hayakupaswa kupewa wanadamu
Yale ni.majina yao .Dunia ndio imayaharibu kwa kuyatwaa na kuwapa watoto wao
Ni kama jina Mungu haitakiwi binadamu awe na hilo jina