Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Leo ndo nmeamini kumbe kweli hesabu ni gonjwa la Taifa...Yani seriously Kuna watu wako upande wa Tecno?
Ukianzia kushoto kwenda kulia ndicho nilichokifanya. Na nimetumia PEMDAS.Unakosea.
Inakuchanganya kwasababu haufuari order of operations inavyotakiwa.
PEMDAS
Parentheses, Exponets, Multiplication, Division, Addition and Subtraction ....fuata hiyo. Kuanzia kushoto kwenda kulia.
Nikueleweshe zaidi?
Hope umeelewa.
Leo ndo nmeamini kumbe kweli hesabu ni gonjwa la Taifa...Yani seriously Kuna watu wako upande wa Tecno?
Theeeeeeere u areeeee....huwezi kujumlisha namba zilizopo ndani ha mabano kama kuna namba kamili pemben ya mabano mfano 2(2+1) lazima hyo 2 uzidishe na hizo namba moja moja ndani ya mabano hapo ndio tunafungua mabano but ingekuwa mfano 2 + (2+1) hapo ndio unajumlisha namba zilizomo kwenye mabano
sijui umenielewa
Mkuu, mheshimiwa mbunge mtarajiwa wa jimbo letu tunaloishi.Anza na namba zilizopo ndani ya mabano.
6÷2(1+2)
(1+2)=(3)
Kisha fungua mabano
= 6÷2(3)
3*3=9
Mabano unafungua kwa 2*3Anza na namba zilizopo ndani ya mabano.
6÷2(1+2)
(1+2)=(3)
Kisha fungua mabano
= 6÷2(3)
3*3=9
Huo ugonjwa wake uko wapi..ww ndo hujui i think..alichosema ni sahihi...hyo namba iliyopo krb na 2 outside bracket inamaana kuna alama ya kuzidisha ili kuifungua lazima uizidishe na hyo mbili ya ndani kivyake na ile moja kivyake...u multiply both numbers by 2...then una add...Mgonjwa mwingine huyuapa...
Bro nenda hospital una utapiahesabu
Hii hesabu ni changamotoTecno kaongopa.
Hapo jibu ni moja.
JIBU ni 1
Mkuu, mheshimiwa mbunge mtarajiwa wa jimbo letu tunaloishi.
Jibu ni 1.
Unaanzaje kugawanya 6kwa2 wakati hujamalizana na mabano? Kujumlisha 1na2 zilizopo kwenye mabano na zikabaki ndani ya mabano unakuwa umefungua mabano yapi sasa?Anza na namba zilizopo ndani ya mabano.
6÷2(1+2)
(1+2)=(3)
Kisha fungua mabano
= 6÷2(3)
3*3=9
sio kweliCasio fala sana. Kaanza na mabano 2+1 kapata 3. Kisha kaja iyo 3 kaizidisha na 2 kapata 6 kisha kagawanya 6 kwa 6.
Uyo Tecno yupo sahihi. MAGAZIJUTO
sio kweliAnza na namba zilizopo ndani ya mabano.
6÷2(1+2)
(1+2)=(3)
Kisha fungua mabano
= 6÷2(3)
3*3=9
😂😂😂😂😂...TEAM TECNO Wapo vizuri kumtetea Boss waoLeo ndo nmeamini kumbe kweli hesabu ni gonjwa la Taifa...Yani seriously Kuna watu wako upande wa Tecno?
sawasio kweli
Huu ni ufunguzi wa mabano au ufunguzi wa mikutano ya Sisiemu?Anza na namba zilizopo ndani ya mabano.
6÷2(1+2)
(1+2)=(3)
Kisha fungua mabano
= 6÷2(3)
3*3=9
Hii hesabu ni changamoto
Kutana na namna ya kuisolve
View: https://youtu.be/URcUvFIUIhQ?si=CgcrBE3IJGXgN-MX