Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.


Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.

Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.

Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.

Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake

6 ÷ 2(2 + 1) = 1

6 / 2(2 + 1) = 1

6 ÷ [2(2 + 1)] = 1

6 / [2(2 + 1)] = 1

(6 ÷ 2)(2 + 1) = 9

(6 / 2)(2 + 1) = 9
 
Hapa labda aje swahiba wangu isaac newton ndio kidooogo anaweza kunishawishi.
Jibu ni 1 mzee mwenzangu.
😂😂😂😂mabingwa wa hesabu wanasema jibu la 1 ni njia iliyopitwa na wakati
BC023483-BD0E-4CF8-8109-D26C710B6D57.png
 
Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.

Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Kama unaelewa BODMAS halina utata wowote. Malizana na mabano ndo utapata jibu sahihi.
 
Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.

Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Unasema lina utata; ila hujasema utata huo ni upi?
 
Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.


Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.

Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.

Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.

Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake
Tecno kaiweka hivi (6 divide2)(1+2) badala ya kuanza na blacket! Casio is right
 
😂😂😂😂mabingwa wa hesabu wanasema jibu la 1 ni njia iliyopitwa na wakati
View attachment 2936587
Huyu ni ngonjwa kama wagonjwa wengine.

Kanuni ya BODMAS inaanza na KUFUNGUA MABANO.

Ila yeye kajumlisha tu 2 na 1, mabano hajafungua, anakimbilia kudai eti kugawanya na kuzidisha zina vipaumbele sawa.

Unasemaje zina vipaumbele sawa wakati bado mabano yanakutazama? Pathetic!
 
Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.

Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Hamna utata hapo...labda kama hujui hesabu
 
Back
Top Bottom