Wataalamu wa mazoezi: Naweza kutumia muda gani kupata matokeo haya?

Wataalamu wa mazoezi: Naweza kutumia muda gani kupata matokeo haya?

Ila we mzee hujai kuwa serious😂
1000002787.jpg
 
Miaka mitatu nyuma nilijitahidi Sana kwamba na Mimi niwe hivyo nikawa napiga mazoezi ya kufa mtu Ila Sasa mwisho wa picha nilikuwa nakula Sana badala ya kuwa na mwili wa mazoezi mkitambi ukawa unazidi kukua tu .

Na kutokea pale mpaka leo nimeshindwa kuliondoa hili tumbo .

Msaada wenu ni muhimu kikubwa msiniambie habari za diet huko siwezi hata kwa dawa .
 
Back
Top Bottom