Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Ila we mzee hujai kuwa serious😂Na Mwili wako Ukoje? Kama unamaanisha nywele ni dakika 10 tu unapata matokeo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila we mzee hujai kuwa serious😂Na Mwili wako Ukoje? Kama unamaanisha nywele ni dakika 10 tu unapata matokeo!
Ila we mzee hujai kuwa serious😂
Mkuu mbona uko tu na umbo zuri la kigentleman huna kitambi, Wachana na hayo madude yatakufanya uharibike , au mpenzi wako ndio kakwambia ufanye mazoezi
Una mwili mzuri ila unataka kuharibu. Ukienda gym utashauriwa kutumia hayo mapowder na figo halitobaki salama.
Kijana anataka kujiharibu, Eti mikono hiyo haimtoshi kweli jamani🤒Una mwili mzuri ila unataka kuharibu. Ukienda gym utashauriwa kutumia hayo mapowder na figo halitobaki salama.
Ahsubui sinywagi chai kabisa mchana nakula sana wali maharage au viazi mbatata, usiku nakula matunda tu au mayai ya kuchemsha mazoezi nafanya usiku tuNitajie diet yako na routine yako ya mazoezi nikupe makadirio
Haitoshi ni midogo sanaKijana anataka kujiharibu, Eti mikono hiyo haimtoshi kweli jamani🤒
Hapana ni passion tu ya kuwa strongMkuu mbona uko tu na umbo zuri la kigentleman huna kitambi, Wachana na hayo madude yatakufanya uharibike , au mpenzi wako ndio kakwambia ufanye mazoezi
Unataka unyanyue nini?,.😂Haitoshi ni midogo sana
Basi sawaHapana ni passion tu ya kuwa strong
Kama Hamas walivyo tumia mwisho wa siku chali kama mende waliopuliziwa rungu.Wengi wao hao wanatumia Suppliments na anabolic steroids ambazo husaidia muscle growth,
Bila kutumia hayo madawa,sio rahisi kugain muscle growth kiasi hicho kwa muda mfupi.
Bila supplements iyo miaka miwili michache sanaMiaka miwili.
Nyie LGBTQ hua mnatumia halafu mnapumuliwa nyuma.Kama Hamas walivyo tumia mwisho wa siku chali kama mende waliopuliziwa rungu.