The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Aisee.Huyo ni bro
Sasa endelea kujichanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.Huyo ni bro
Sasa endelea kujichanganya
Kama wewe ndiye huyu njoo pm yangu nikuambie kitu☺️ephen_ mrembo niambie niende gym au inatosha hiviView attachment 3216304
Sawa dear don't worry 🥰🥰Kama wewe ndiye huyu njoo pm yangu nikuambie kitu☺️
Tuache utani wewe ji mwanaume, mwanamke au tomboi?Bro si ungesubiri kidogo hata matokeo ya chuma yaanze kujionesha??.....au hivo hivo tu unapenda mtu kama ako kama mrija??
Fungua basi nijeKama wewe ndiye huyu njoo pm yangu nikuambie kitu☺️
Braza nimeitwa mm mbona unanibania riziki kakaFungua basi nije
Shangazi tulia kwanza niongee na shem wakoBraza nimeitwa mm mbona unanibania riziki kaka
Hio picha sio halisia bali ni muundo wa AIKwa kupiga tizi gym naweza tumia muda gani kama ntakuwa na consistency
RukaFungua basi nije
Kwa wataalam kabisa kwa GYM hio itakuchukua miaka 3 kulingana na 1 Pack yako ulioitengeneza kwa supu za mapupu😀
ephen_ wa kunifanyia hivi kweli?Ruka
Nje ya mada mkuu, vipi unatafta ajira Kitambaa cheupe au?
Vijana mna mambo, 6 pack ndio kuridhisha 😂Huwezi kuelewa kila kitu wewe subiri kuridhishwa
Umemaliza 💯Apo mchawi lishe hamna jipya🙌