Wataalamu wa mazoezi: Naweza kutumia muda gani kupata matokeo haya?

Wataalamu wa mazoezi: Naweza kutumia muda gani kupata matokeo haya?

Mkuu fanya mazoezi ya kuuweka mwili fiti kiafya tu basi na sio kuufanya hivyo pichani, kumbuka ukikaza sana utakazwa.
 
Miaka mitatu nyuma nilijitahidi Sana kwamba na Mimi niwe hivyo nikawa napiga mazoezi ya kufa mtu Ila Sasa mwisho wa picha nilikuwa nakula Sana badala ya kuwa na mwili wa mazoezi mkitambi ukawa unazidi kukua tu .

Na kutokea pale mpaka leo nimeshindwa kuliondoa hili tumbo .

Msaada wenu ni muhimu kikubwa msiniambie habari za diet huko siwezi hata kwa dawa .
Kama huwezi diet Usiombe ushauri maana wewe ni matokeo ya chakula unachokula
Kama ulivyo una amani huna haja ya kupungua
 
Zaman kabla ya kuanza kupenda mazoezi nilikuwa na mentality kama hao walio-coment negativity hapo juu.

Kwa matokeo ya hivo kaka ukikomaa kwa week mazoezi mara 4 non stop na ukawa unakula vizuri vyakula vya protins na unapata masaa nane ya kupumzika huo mwili mwaka tu unaupata.

Binafsi napenda sana mazoezi, mazoezi yanakupa nidhamu sana kuanzia life style ya kuishi ulaji na maisha kwa ujumla pia nilianza kuingia damu ya mazoezi 2021 nikiwa na 25yrs mwanzo niliingia na mawazo ya nijae nipate mademu na kweli ikawa ivo baadae 2023 mentality hiyo ikafa now mazeozi ni sehemu ya maisha yangu kwani ni kwajili ya afya yangu na afya ni uhai haiwezi pita siku tatu sijafanya mazoezi.

Mungu akinijalia nikiseto mkoa mmoja nitakuwa napata muda mzuri wa mazoezi lazima niwe niwe na sets za gym kwa sasa nina set ya 50kg(tsh350k) sio haba zinanipa kitu.

Mwili wangu sio mkubwa sana kama ninavyotaka ila unanipa confidence sana na kuna sehemu ukienda watu wanakuhanya live.Kwa sasa nina 75kgs Lengo langu kufikia 2030 niwe na 85kgs of muscles bila mafuta.

Kuna uzi wa jf gym nilifungua ukiusachi utaona.All in all huo mwili ni gharama sana(unapatikana kwa pesa, jasho,maumivu na damu ndio maana wacheche wenye nidhamu wana hiyo miili) misosi ya protins ndio kila kitu ukishindwa misosi chukua supplements.

Note:hapa kati kati nimepitia hardtimes za kutosha na za hatari kidogo nikufuru Mungu lakini sikuacha mazoezi yakawa mfariji wangu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250128_110502_Gallery.jpg
    Screenshot_20250128_110502_Gallery.jpg
    286.6 KB · Views: 4
  • IMG-20250122-WA0009.jpg
    IMG-20250122-WA0009.jpg
    378.4 KB · Views: 4
Zaman kabla ya kuanza kupenda mazoezi nilikuwa na mentality kama hao walio-coment negativity hapo juu.

Kwa matokeo ya hivo kaka ukikomaa kwa week mazoezi mara 4 non stop na ukawa unakula vizuri vyakula vya protins na unapata masaa nane ya kupumzika huo mwili mwaka tu unaupata.

Binafsi napenda sana mazoezi, mazoezi yanakupa nidhamu sana kuanzia life style ya kuishi ulaji na maisha kwa ujumla pia nilianza kuingia damu ya mazoezi 2021 nikiwa na 25yrs mwanzo niliingia na mawazo ya nijae nipate mademu na kweli ikawa ivo baadae 2023 mentality hiyo ikafa now mazeozi ni sehemu ya maisha yangu kwani ni kwajili ya afya yangu na afya ni uhai haiwezi pita siku tatu sijafanya mazoezi.

Mungu akinijalia nikiseto mkoa mmoja nitakuwa napata muda mzuri wa mazoezi lazima niwe niwe na sets za gym kwa sasa nina set ya 50kg sio haba zinanipa kitu.

Mwili wangu sio mkubwa sana kama ninavyotaka ila unanipa confidence sana na kuna sehemu ukienda watu wanakuhanya live.Kwa sasa nina 75kgs Lengo langu kufikia 2030 niwe na 85kgs of muscles bila mafuta.

Kuna uzi wa jf gym nilifungua ukiusachi utaona.All in all huo mwili ni gharama sana(unapatikana kwa pesa, jasho,maumivu na damu ndio maana wacheche wenye nidhamu wana hiyo miili) misosi ya protins ndio kila kitu ukishindwa misosi chukua supplements.
Safi sana
 
Fanya sana walking
Jogging
Punguza wanga ongeza proteins
Punguza sukari au acha kabisa
Piga push ups angalau 50 per day
Fanya mazoezi ya tumbo
Simamia viwiko na vidole vya miguu angalau kwa dk 2
Shiriki aerobics ni nzuri
 
Naona umeamua kuja na ID nyingine baada ya kujisahau kwenye ile ID yako nyingine na kujianika humu kua wewe ni mchicha mwiba,
Umebadili ID ila umekuja na akili zile zile ndio maana nimekugundua,
Acha ushoga bwabwa wewe,unawatia hasara wazazi wako waliohangaika kukulea,

Huu uzi hauhusiani na mambo ya Hamas ila ulivyoona comment yangu tu,ukaamua kujipitisha kwangu huku unanitingishia Vitrako vyako.
Vipi bahasha lako la kipalestina lenye misuli ulisha lipokea air port?
 
Wengi wao hao wanatumia Suppliments na anabolic steroids ambazo husaidia muscle growth,
Bila kutumia hayo madawa,sio rahisi kugain muscle growth kiasi hicho kwa muda mfupi.
Uko sahihi apo mchawi ma powder na kusubiria ma side effects
 
Back
Top Bottom