Inamaa nisha hao siyo mabeberu tena ni rafiki zetu, hawaulizii mambo yetu ya hovyo wanatuunga mkonoAnayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Tulia wewe sisi ni donor kantreeee.Tunatumia pesa zetu za ndani tu.Mnaota nyinyi amken amken amken
Yan USA ambayo ni moja ya mataifa makubwa kwenye sekta karibia zote iko vizuri afu Tanzania ambayo ni inaendelea itoe msaada USA ladba msaada wa mali gafi.
Kuna ukweli kwenye hii commentInamaa nisha hao siyo mabeberu tena ni rafiki zetu, hawaulizii mambo yetu ya hovyo wanatuunga mkono
Tulia wewe sisi ni donor kantreeee.Tunatumia pesa zetu za ndani tu.
hahaha donors mnapongezana
Aya umeni group kwa jokersNimNimefanya fanya uchambuzi wa maoni ya yetu huju juu ya mada hii nikagundua kumbe tuko watu wa aina tatu humu kama ifuatavyo kwa namna tufikirivyo na kisha kukiaandika au kusema kwenye public...
i rais aliyeheshimiwa sana
Hao hapo ☝️☝️👆👆wote hawasumbui akili zao kabisa kufikiri kwa kujiuliza maswali ya msingi ya "WH" mfano; WHY? HOW? nk nk kwa kila wasimacho au kukisikia au kukiona...
Hawa 👆 👆 👆 jamaa zangu wako vizuri, walifikiri vizuri kabla ya kusema/kuandika...!!
Hawa jamaa zangu 👆 👆 👆 😳 😳 😛 😛 😀 😀 they don't take things serious. They are Jokers all the time
##KUMBUKA; JF ni inaelemisha, inaburudisha na kufunua mawazo na akili za watu bila kujali kuwa members wa JF hutumia "unanimous names..!"
😍😍😍Tanzania tuko vizuri mkuu
Ni video sio picha, FunguaKielelezo chako cha picha anaonekana Joe Biden pekee....
Huyo Samia Suluhu a.k.a Chief Hangaya yuko wapi ktk picha hiyo...?
Hahaha 😍😍😍Mkuu sio kwasababu S na T zinafuatana alphabetically bali ni kwasabu zote zinaanza na "UNITED"
😍😍😍NimNimefanya fanya uchambuzi wa maoni ya yetu huju juu ya mada hii nikagundua kumbe tuko watu wa aina tatu humu kama ifuatavyo kwa namna tufikirivyo na kisha kukiaandika au kusema kwenye public...
i rais aliyeheshimiwa sana
Hao hapo ☝️☝️👆👆wote hawasumbui akili zao kabisa kufikiri kwa kujiuliza maswali ya msingi ya "WH" mfano; WHY? HOW? nk nk kwa kila wasimacho au kukisikia au kukiona...
Hawa 👆 👆 👆 jamaa zangu wako vizuri, walifikiri vizuri kabla ya kusema/kuandika...!!
Hawa jamaa zangu 👆 👆 👆 😳 😳 😛 😛 😀 😀 they don't take things serious. They are Jokers all the time
##KUMBUKA; JF ni inaelemisha, inaburudisha na kufunua mawazo na akili za watu bila kujali kuwa members wa JF hutumia "unanimous names..!"
Inamaanisha Tanzania ni donner country
Shukrani za pekee zimwendee Prof Mark Mwandosya mzee wa Kyoto!
😍😍😍Nimechekaaaa donner country
Mkuu sio kwasababu S na T zinafuatana alphabetically bali ni kwasabu zote zinaanza na "UNITED"
Jini jike limetumia hata ujini wake kuwa karibu! sasa litaenda kulipa masangoma ghali si mchezoAlphabetical Order, United States of ......
United Republic of ......
Why Borison wa United Kingdom yuko mbali vile?Akili kubwa hii 🙏
Waswahili kwa kulazimisha sifa hatujambo sana; yaani hujui kuwa kwenye alphabetical list ya nchi duniani, United States of America huwa inaifuatia United Republic of Tanzania ambayo pia inaifuatia United Kingdom? Pale Umoja wa Mataifa Bendera ya Tanzania inapakana na bendera za UK na USA, na kwenye vikao USA, Tanzania na UK huwa wanakalisha bega kwa bega? Leo hii hilo nalo liwe maajabu?Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Why Borison wa United Kingdom yuko mbali vile?
Chadema bna hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila we jamaaa!huyo mama ndiyo amefosi kukaa hapo ila Biden anamkwepa.