Wataalamu wa Protokali mtusaidie "Rais Samia Suluhu kukaa besides ya Rais Joe Biden ina maana gani?"

Wataalamu wa Protokali mtusaidie "Rais Samia Suluhu kukaa besides ya Rais Joe Biden ina maana gani?"

Mnaota nyinyi amken amken amken
Yan USA ambayo ni moja ya mataifa makubwa kwenye sekta karibia zote iko vizuri afu Tanzania ambayo ni inaendelea itoe msaada USA ladba msaada wa mali gafi.
Tulia wewe sisi ni donor kantreeee.Tunatumia pesa zetu za ndani tu.
 
NimNimefanya fanya uchambuzi wa maoni ya yetu huju juu ya mada hii nikagundua kumbe tuko watu wa aina tatu humu kama ifuatavyo kwa namna tufikirivyo na kisha kukiaandika au kusema kwenye public...
i rais aliyeheshimiwa sana








Hao hapo ☝️☝️👆👆wote hawasumbui akili zao kabisa kufikiri kwa kujiuliza maswali ya msingi ya "WH" mfano; WHY? HOW? nk nk kwa kila wasimacho au kukisikia au kukiona...






Hawa 👆 👆 👆 jamaa zangu wako vizuri, walifikiri vizuri kabla ya kusema/kuandika...!!





Hawa jamaa zangu 👆 👆 👆 😳 😳 😛 😛 😀 😀 they don't take things serious. They are Jokers all the time

##KUMBUKA; JF ni inaelemisha, inaburudisha na kufunua mawazo na akili za watu bila kujali kuwa members wa JF hutumia "unanimous names..!"
Aya umeni group kwa jokers
 
NimNimefanya fanya uchambuzi wa maoni ya yetu huju juu ya mada hii nikagundua kumbe tuko watu wa aina tatu humu kama ifuatavyo kwa namna tufikirivyo na kisha kukiaandika au kusema kwenye public...
i rais aliyeheshimiwa sana








Hao hapo ☝️☝️👆👆wote hawasumbui akili zao kabisa kufikiri kwa kujiuliza maswali ya msingi ya "WH" mfano; WHY? HOW? nk nk kwa kila wasimacho au kukisikia au kukiona...






Hawa 👆 👆 👆 jamaa zangu wako vizuri, walifikiri vizuri kabla ya kusema/kuandika...!!





Hawa jamaa zangu 👆 👆 👆 😳 😳 😛 😛 😀 😀 they don't take things serious. They are Jokers all the time

##KUMBUKA; JF ni inaelemisha, inaburudisha na kufunua mawazo na akili za watu bila kujali kuwa members wa JF hutumia "unanimous names..!"
😍😍😍
 
Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Waswahili kwa kulazimisha sifa hatujambo sana; yaani hujui kuwa kwenye alphabetical list ya nchi duniani, United States of America huwa inaifuatia United Republic of Tanzania ambayo pia inaifuatia United Kingdom? Pale Umoja wa Mataifa Bendera ya Tanzania inapakana na bendera za UK na USA, na kwenye vikao USA, Tanzania na UK huwa wanakalisha bega kwa bega? Leo hii hilo nalo liwe maajabu?

1635856201557.png
 
Hivi umeshawahi kuangalia Olympic? Wakishaingia uwanjani USA ni nchi ipi inafuata? United Kingdom? JIONGEZE!!!! Acha KUKURUPUKA!!!

Why Borison wa United Kingdom yuko mbali vile?

Chadema bna hahaha
 
Back
Top Bottom