Wataalamu wetu wa afya (MDs, Nurses & Pharmacists) tunzeni maadili! Mheshimiane, msiingiliane na msihasimiane! Wote mnahitajika kila mmoja sehemu yake

Wataalamu wetu wa afya (MDs, Nurses & Pharmacists) tunzeni maadili! Mheshimiane, msiingiliane na msihasimiane! Wote mnahitajika kila mmoja sehemu yake

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kwa lugha rahisi, mfamasia ni mtaalamu wa madawa! kazi yake inahusisha kutengeneza, kuchanganya, kutunza na kufikisha dawa kwa wagonjwa zikiwa salama. Ndiye anayeweza kuya-handle madawa na anajua vizuri kwa undani mode of action ya madawa. Daktari/MD ni mtaalamu wa tiba! kazi yake ni kutibu watu , anajua ni dawa ipi inafaa mgonjwa yupi, lakini, si mtaalamu wa kui-handle na kuitunza hiyo dawa, na hata mode of action ya hiyo dawa si lazima aijue kwa undani!!. Nurse ni mtaalamu wa kuuguza! kazi yake ni kuuguza wagonjwa na kuwandle wagonjwa katika kipindi wanachokuwa wanatibiwa. Ndiye anayefuatilia hali ya mgonjwa jinsi anavyoendelea!
Utaona kuwa kila mtaalamu ana majukumu yake ya kumtosha yaliyomgharimu miaka isiyopungua 5 kuhitimu kwa ngazi ya shahada!! Kwenye masomo yao kuna baadhi ya kozi wanazisoma wote!! Kwa hiyo hakuna ambaye ni mshamba kabisa kwa eneo laa mwenzake na hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Kwa kuwa kila mmoja anajua baadhi ya majukumu ya mwenzake anaweza kujaribiwa kuona kuwa anaweza kuyafanya mwenyewe!! Kwa mfano Daktari anaweza kuona anaweza kuendesha pharmacy kwa kuwa kuna vitu anavijua kuhusu madawa wakati SI KWELI!! Hali kadhalika mfamasia kuna vitu vingi anavijua kuhusu tiba kwa mujibu wa masomo yake na kwa mujibu wa uzoefu na siku hizi kuna ku-google!!. Kwa hiyo naye anaweza kuona anaweza kumtibu mgonjwa wakati SI KWELI!! Pia Nurse yeye pia kwa mujibu wa masomo yake na uzoefu wake na ku-google naye pia anajua mambo mengi sana ya kifamasia na kidaktari. Kwa hiyo nurse naye anaweza kuona anaweza kufanya majukumu ya mfamasia au ya daktari wakati SI KWELI. Afya zetu ni jambo TAKATIFU, lazima zishugfhulikiwe na mtaalamu husika kwenye eneo husika!!
Wataalamu wetu hawa waheshimiane, wasihasimiane, wasiingiliane na watimize majukumu yao kwa mujibu wa Sheria na kwa mujibu wa taaluma zao!! Ni ukosefu wa maadili daktari kuingilia majukumu ya mfamasia, hali kadhalika ni ukosefu wa maadili mfamasia kuingilia majukumu ya daktari. Kwa bahati nzuri madaktari na wafamasia huwa hawaingilii majukumu ya NURSE!! nafikiri ni kwa sababu ni magumu sana na hayaambatani na maslahi wakiyaingilia. Ila nurses huweza kujaribiwa kuingilia majukumu ya daktari na ya mfamasia hasa akiwa kwenye pharmacy!!

PENDEKEZO: Kuwe na adhabu kubwa sana kwa mtaalamu atakayeingilia majukumu ya taaluma isiyo yake kwa kuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anahatarisha afya zetu.
 
Ahsante sana. Umenena Vyema. Lakini huo Muandiko Mkuu, embu jitahidi nakuomba.
 
Enyi wafamasia jaribuni kumheshimu tu daktari , mnajitutumua Sana ....!!! Basi muachiwe ofisi muwe mnatibu mana imekuwa Kero sasa
 
Kwa lugha rahisi, mfamasia ni mtaalamu wa madawa! kazi yake inahusisha kutengeneza, kuchanganya, kutunza na kufikisha dawa kwa wagonjwa zikiwa salama. Ndiye anayeweza kuya-handle madawa na anajua vizuri kwa undani mode of action ya madawa. Daktari/MD ni mtaalamu wa tiba! kazi yake ni kutibu watu , anajua ni dawa ipi inafaa mgonjwa yupi, lakini, si mtaalamu wa kui-handle na kuitunza hiyo dawa, na hata mode of action ya hiyo dawa si lazima aijue kwa undani!!. Nurse ni mtaalamu wa kuuguza! kazi yake ni kuuguza wagonjwa na kuwandle wagonjwa katika kipindi wanachokuwa wanatibiwa. Ndiye anayefuatilia hali ya mgonjwa jinsi anavyoendelea!
Utaona kuwa kila mtaalamu ana majukumu yake ya kumtosha yaliyomgharimu miaka isiyopungua 5 kuhitimu kwa ngazi ya shahada!! Kwenye masomo yao kuna baadhi ya kozi wanazisoma wote!! Kwa hiyo hakuna ambaye ni mshamba kabisa kwa eneo laa mwenzake na hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Kwa kuwa kila mmoja anajua baadhi ya majukumu ya mwenzake anaweza kujaribiwa kuona kuwa anaweza kuyafanya mwenyewe!! Kwa mfano Daktari anaweza kuona anaweza kuendesha pharmacy kwa kuwa kuna vitu anavijua kuhusu madawa wakati SI KWELI!! Hali kadhalika mfamasia kuna vitu vingi anavijua kuhusu tiba kwa mujibu wa masomo yake na kwa mujibu wa uzoefu na siku hizi kuna ku-google!!. Kwa hiyo naye anaweza kuona anaweza kumtibu mgonjwa wakati SI KWELI!! Pia Nurse yeye pia kwa mujibu wa masomo yake na uzoefu wake na ku-google naye pia anajua mambo mengi sana ya kifamasia na kidaktari. Kwa hiyo nurse naye anaweza kuona anaweza kufanya majukumu ya mfamasia au ya daktari wakati SI KWELI. Afya zetu ni jambo TAKATIFU, lazima zishugfhulikiwe na mtaalamu husika kwenye eneo husika!!
Wataalamu wetu hawa waheshimiane, wasihasimiane, wasiingiliane na watimize majukumu yao kwa mujibu wa Sheria na kwa mujibu wa taaluma zao!! Ni ukosefu wa maadili daktari kuingilia majukumu ya mfamasia, hali kadhalika ni ukosefu wa maadili mfamasia kuingilia majukumu ya daktari. Kwa bahati nzuri madaktari na wafamasia huwa hawaingilii majukumu ya NURSE!! nafikiri ni kwa sababu ni magumu sana na hayaambatani na maslahi wakiyaingilia. Ila nurses huweza kujaribiwa kuingilia majukumu ya daktari na ya mfamasia hasa akiwa kwenye pharmacy!!

PENDEKEZO: Kuwe na adhabu kubwa sana kwa mtaalamu atakayeingilia majukumu ya taaluma isiyo yake kwa kuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anahatarisha afya zetu.
Haya yote ni kwa sababu ya NJAA
 
Kuna nini huko mbona naona nyuzi kadhaa zikilalama?kuna vitu vinatokota?
 
Kwa lugha rahisi, mfamasia ni mtaalamu wa madawa! kazi yake inahusisha kutengeneza, kuchanganya, kutunza na kufikisha dawa kwa wagonjwa zikiwa salama. Ndiye anayeweza kuya-handle madawa na anajua vizuri kwa undani mode of action ya madawa. Daktari/MD ni mtaalamu wa tiba! kazi yake ni kutibu watu , anajua ni dawa ipi inafaa mgonjwa yupi, lakini, si mtaalamu wa kui-handle na kuitunza hiyo dawa, na hata mode of action ya hiyo dawa si lazima aijue kwa undani!!. Nurse ni mtaalamu wa kuuguza! kazi yake ni kuuguza wagonjwa na kuwandle wagonjwa katika kipindi wanachokuwa wanatibiwa. Ndiye anayefuatilia hali ya mgonjwa jinsi anavyoendelea!
Utaona kuwa kila mtaalamu ana majukumu yake ya kumtosha yaliyomgharimu miaka isiyopungua 5 kuhitimu kwa ngazi ya shahada!! Kwenye masomo yao kuna baadhi ya kozi wanazisoma wote!! Kwa hiyo hakuna ambaye ni mshamba kabisa kwa eneo laa mwenzake na hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Kwa kuwa kila mmoja anajua baadhi ya majukumu ya mwenzake anaweza kujaribiwa kuona kuwa anaweza kuyafanya mwenyewe!! Kwa mfano Daktari anaweza kuona anaweza kuendesha pharmacy kwa kuwa kuna vitu anavijua kuhusu madawa wakati SI KWELI!! Hali kadhalika mfamasia kuna vitu vingi anavijua kuhusu tiba kwa mujibu wa masomo yake na kwa mujibu wa uzoefu na siku hizi kuna ku-google!!. Kwa hiyo naye anaweza kuona anaweza kumtibu mgonjwa wakati SI KWELI!! Pia Nurse yeye pia kwa mujibu wa masomo yake na uzoefu wake na ku-google naye pia anajua mambo mengi sana ya kifamasia na kidaktari. Kwa hiyo nurse naye anaweza kuona anaweza kufanya majukumu ya mfamasia au ya daktari wakati SI KWELI. Afya zetu ni jambo TAKATIFU, lazima zishugfhulikiwe na mtaalamu husika kwenye eneo husika!!
Wataalamu wetu hawa waheshimiane, wasihasimiane, wasiingiliane na watimize majukumu yao kwa mujibu wa Sheria na kwa mujibu wa taaluma zao!! Ni ukosefu wa maadili daktari kuingilia majukumu ya mfamasia, hali kadhalika ni ukosefu wa maadili mfamasia kuingilia majukumu ya daktari. Kwa bahati nzuri madaktari na wafamasia huwa hawaingilii majukumu ya NURSE!! nafikiri ni kwa sababu ni magumu sana na hayaambatani na maslahi wakiyaingilia. Ila nurses huweza kujaribiwa kuingilia majukumu ya daktari na ya mfamasia hasa akiwa kwenye pharmacy!!

PENDEKEZO: Kuwe na adhabu kubwa sana kwa mtaalamu atakayeingilia majukumu ya taaluma isiyo yake kwa kuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anahatarisha afya zetu.
Hakuna Cha suruhu hapa mnatakiwa kujua Doctor ndo siniors wenu mmewazoea Sana Sana mpaka mnataka wapeleka uwani, hakuna suluhu,

KWa sasa mtu akikamatwa hana priscription fain kaki tatu ,mnaua watanzania alafu mnasema muwe kitu kimoja na doctors, how comes? Mtajua hamjui ngoja wawanyooshe , Ili eshima ya doctors iwepo ,upole umewaponza leo mwajiona mko juu yao that's

Leo nurse anaitwa dr
lab dr
Wa usingizi dr
Viungo vya bandia dr
Mfagiaji dr,
Mfamasia dr n.k

Hivi mnajua maana ya dr , au ni mazoea na kulaghai watu kwenye vituo vya kazi ????????

Pitia uzi huu ni mda wa doctor rudisha heshima ya fani hii imeingiliwa mno,
Napendekeza pawepo nembo mahalum jua dr ni yupi pitia wizara ya afya ,watu wanajitwisha mizigo isiyo saizi yao ,ujinga mtupu
 
Kwa lugha rahisi, mfamasia ni mtaalamu wa madawa! kazi yake inahusisha kutengeneza, kuchanganya, kutunza na kufikisha dawa kwa wagonjwa zikiwa salama. Ndiye anayeweza kuya-handle madawa na anajua vizuri kwa undani mode of action ya madawa. Daktari/MD ni mtaalamu wa tiba! kazi yake ni kutibu watu , anajua ni dawa ipi inafaa mgonjwa yupi, lakini, si mtaalamu wa kui-handle na kuitunza hiyo dawa, na hata mode of action ya hiyo dawa si lazima aijue kwa undani!!. Nurse ni mtaalamu wa kuuguza! kazi yake ni kuuguza wagonjwa na kuwandle wagonjwa katika kipindi wanachokuwa wanatibiwa. Ndiye anayefuatilia hali ya mgonjwa jinsi anavyoendelea!
Utaona kuwa kila mtaalamu ana majukumu yake ya kumtosha yaliyomgharimu miaka isiyopungua 5 kuhitimu kwa ngazi ya shahada!! Kwenye masomo yao kuna baadhi ya kozi wanazisoma wote!! Kwa hiyo hakuna ambaye ni mshamba kabisa kwa eneo laa mwenzake na hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Kwa kuwa kila mmoja anajua baadhi ya majukumu ya mwenzake anaweza kujaribiwa kuona kuwa anaweza kuyafanya mwenyewe!! Kwa mfano Daktari anaweza kuona anaweza kuendesha pharmacy kwa kuwa kuna vitu anavijua kuhusu madawa wakati SI KWELI!! Hali kadhalika mfamasia kuna vitu vingi anavijua kuhusu tiba kwa mujibu wa masomo yake na kwa mujibu wa uzoefu na siku hizi kuna ku-google!!. Kwa hiyo naye anaweza kuona anaweza kumtibu mgonjwa wakati SI KWELI!! Pia Nurse yeye pia kwa mujibu wa masomo yake na uzoefu wake na ku-google naye pia anajua mambo mengi sana ya kifamasia na kidaktari. Kwa hiyo nurse naye anaweza kuona anaweza kufanya majukumu ya mfamasia au ya daktari wakati SI KWELI. Afya zetu ni jambo TAKATIFU, lazima zishugfhulikiwe na mtaalamu husika kwenye eneo husika!!
Wataalamu wetu hawa waheshimiane, wasihasimiane, wasiingiliane na watimize majukumu yao kwa mujibu wa Sheria na kwa mujibu wa taaluma zao!! Ni ukosefu wa maadili daktari kuingilia majukumu ya mfamasia, hali kadhalika ni ukosefu wa maadili mfamasia kuingilia majukumu ya daktari. Kwa bahati nzuri madaktari na wafamasia huwa hawaingilii majukumu ya NURSE!! nafikiri ni kwa sababu ni magumu sana na hayaambatani na maslahi wakiyaingilia. Ila nurses huweza kujaribiwa kuingilia majukumu ya daktari na ya mfamasia hasa akiwa kwenye pharmacy!!

PENDEKEZO: Kuwe na adhabu kubwa sana kwa mtaalamu atakayeingilia majukumu ya taaluma isiyo yake kwa kuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anahatarisha afya zetu.
Kada ya afya, KWa umoja wapo sawa, ila umoja kujimilikisha mamlaka ambayo huna hakuna ndo KWa sasa zimesnza zarau, , ndani ya secta MOJA ,na vitengo tofauti KILA mtu afuate taratibu, nurse ,hawezi kuwa dr, lab, sijui nini , ila dr he or she can be full stop ,
Jamani nasema hata sio kwamba mbebezi Sana but nimefanya kazi na mashirika haya , Kama mwaka 15 why nishindwe kuelewa
 
Kwa lugha rahisi, mfamasia ni mtaalamu wa madawa! kazi yake inahusisha kutengeneza, kuchanganya, kutunza na kufikisha dawa kwa wagonjwa zikiwa salama. Ndiye anayeweza kuya-handle madawa na anajua vizuri kwa undani mode of action ya madawa. Daktari/MD ni mtaalamu wa tiba! kazi yake ni kutibu watu , anajua ni dawa ipi inafaa mgonjwa yupi, lakini, si mtaalamu wa kui-handle na kuitunza hiyo dawa, na hata mode of action ya hiyo dawa si lazima aijue kwa undani!!. Nurse ni mtaalamu wa kuuguza! kazi yake ni kuuguza wagonjwa na kuwandle wagonjwa katika kipindi wanachokuwa wanatibiwa. Ndiye anayefuatilia hali ya mgonjwa jinsi anavyoendelea!
Utaona kuwa kila mtaalamu ana majukumu yake ya kumtosha yaliyomgharimu miaka isiyopungua 5 kuhitimu kwa ngazi ya shahada!! Kwenye masomo yao kuna baadhi ya kozi wanazisoma wote!! Kwa hiyo hakuna ambaye ni mshamba kabisa kwa eneo laa mwenzake na hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Kwa kuwa kila mmoja anajua baadhi ya majukumu ya mwenzake anaweza kujaribiwa kuona kuwa anaweza kuyafanya mwenyewe!! Kwa mfano Daktari anaweza kuona anaweza kuendesha pharmacy kwa kuwa kuna vitu anavijua kuhusu madawa wakati SI KWELI!! Hali kadhalika mfamasia kuna vitu vingi anavijua kuhusu tiba kwa mujibu wa masomo yake na kwa mujibu wa uzoefu na siku hizi kuna ku-google!!. Kwa hiyo naye anaweza kuona anaweza kumtibu mgonjwa wakati SI KWELI!! Pia Nurse yeye pia kwa mujibu wa masomo yake na uzoefu wake na ku-google naye pia anajua mambo mengi sana ya kifamasia na kidaktari. Kwa hiyo nurse naye anaweza kuona anaweza kufanya majukumu ya mfamasia au ya daktari wakati SI KWELI. Afya zetu ni jambo TAKATIFU, lazima zishugfhulikiwe na mtaalamu husika kwenye eneo husika!!
Wataalamu wetu hawa waheshimiane, wasihasimiane, wasiingiliane na watimize majukumu yao kwa mujibu wa Sheria na kwa mujibu wa taaluma zao!! Ni ukosefu wa maadili daktari kuingilia majukumu ya mfamasia, hali kadhalika ni ukosefu wa maadili mfamasia kuingilia majukumu ya daktari. Kwa bahati nzuri madaktari na wafamasia huwa hawaingilii majukumu ya NURSE!! nafikiri ni kwa sababu ni magumu sana na hayaambatani na maslahi wakiyaingilia. Ila nurses huweza kujaribiwa kuingilia majukumu ya daktari na ya mfamasia hasa akiwa kwenye pharmacy!!

PENDEKEZO: Kuwe na adhabu kubwa sana kwa mtaalamu atakayeingilia majukumu ya taaluma isiyo yake kwa kuwa kwa kufanya hivyo atakuwa anahatarisha afya zetu.
Pitia post zangu zote ,mtu akiongea ukweli na mpongeza , ukijipendekeza na kwambia ukweli, ,na uzuri roho ya Mungu hii juu yangu,
Twende mdogo mdogo,
Doctor ameandaliwa Kama kiraka, kwamba chaweza Shona popote, je wajua hilo that's katika practice za hata bed making wanafanya, and any thing can be done by nurse,shida ni mda KWa he/ she can not manage all in the same time,

Na hapa mjue nyie manurse, na wafamasia mnaopenda itwa doctor wakati huwezo wako huna,

Iko hivi doctor anaweza manage mgonjwa from a to z je, nikimanisha anzia upasuji ,sijui dawa patent care n.k ,je nyie mko kwenye uwezo huo, au mko kwakupuliza mdomo tu ha,Sasa kuanzia leo ndo tofauti zenu na hao baba / mama zenu doctors, akiingia ulipo jua ni baba au mama, utaki basi kasomee miaka mitano ,plus mwaka sijui wa nini ,

So acheni mazalau, acheni mazalau mnazoea Sana afya mpaka inakua kero,hata dr hajulikani nani na fani zingine,

Wafamasia sikilizen mabosi wenu wanasema nini sio nyie mnasema nini ,mmejipa utukufu ambao sio wenu , mfano katekista jiita padre ni kosa,
 
Pitia post zangu zote ,mtu akiongea ukweli na mpongeza , ukijipendekeza na kwambia ukweli, ,na uzuri roho ya Mungu hii juu yangu,
Twende mdogo mdogo,
Doctor ameandaliwa Kama kiraka, kwamba chaweza Shona popote, je wajua hilo that's katika practice za hata bed making wanafanya, and any thing can be done by nurse,shida ni mda KWa he/ she can not manage all in the same time,

Na hapa mjue nyie manurse, na wafamasia mnaopenda itwa doctor wakati huwezo wako huna,

Iko hivi doctor anaweza manage mgonjwa from a to z je, nikimanisha anzia upasuji ,sijui dawa patent care n.k ,je nyie mko kwenye uwezo huo, au mko kwakupuliza mdomo tu ha,Sasa kuanzia leo ndo tofauti zenu na hao baba / mama zenu doctors, akiingia ulipo jua ni baba au mama, utaki basi kasomee miaka mitano ,plus mwaka sijui wa nini ,

So acheni mazalau, acheni mazalau mnazoea Sana afya mpaka inakua kero,hata dr hajulikani nani na fani zingine,

Wafamasia sikilizen mabosi wenu wanasema nini sio nyie mnasema nini ,mmejipa utukufu ambao sio wenu , mfano katekista jiita padre ni kosa,
Na dawa utatengeneza?
 
Nashindwa kuchangia baada ya kuona kuna kauli za dharau sana ......

Kila la heri nyote.
 
Back
Top Bottom