Watalaamu wa Afya hivi inakuaje mtu anapofanyiwa upasuaji asizinduke anapitiliza kufa?

Watalaamu wa Afya hivi inakuaje mtu anapofanyiwa upasuaji asizinduke anapitiliza kufa?

Mkuu, mgonjwa akienda kupasuliwa,we muage kabisa manake anaenda kuzimu akirudi mshukuru MUNGU. nawahakikishia kuwa kupasuliwa manake njia zote za kitabibu zimeshndkana,na last chance ya mgonjwa kuendelea kuishi ni upasuaji tu. kama mungu alipanga kuwa siku za mgonjwa ziliandikwa zitaisha kwa namna ile atakufa tu bhandugu. ukisema tumekosa wataalamu tutakuwa tunakosea,wataalamu hawahawa tulionao wanapongezwa na wengi kwa kazi nzuri wanayoifanya, mimi mama yangu amepasuliwa mala tatu nawashukuru sana bado nitamba nae,pia mama yangu mkubwa wa kumfuata aliyepasuliwa mala3 pia nae alipasuliwa aliposhndwa kujifungua mpaka leo yupo. warest in peace waliotangulia kwa style hiyo ni mipango ya MUNGU.
 
Hiki kipindi cha sasa hivi vifo vya namna hii vimekuwa vingi sana.Sio kwamba nipo hapa kuwalaumu la hasha bali nipo hapa kutaka kujua kulikoni siku hizi wakuu?

Ipo hivi kuna hospital moja huku hadi inaogopwa watu wakiingia kufanyiwa OP kurudi ni majaliwa sasa imewabidi wawe wana safiri kwenda mbali hasa wajazito.

Huu mwezi1 pekee watu4 wamekufa nilio pata taarifa kutoka hospital ile na sio kwamba ina wagonjwa wengi sana la hasha kwa wastani idadi haizidi 120 kwa siku.

Mtu wa kwanza alikuwa anajifungua baada kushindikana kujifungua kwa kawaida ikabidi afanyiwe op bahati mbaya hakuzinduka ikawa imeisha hiyo.

Mama mmoja alikuwa na uvimbe tumboni akafanyiwa op kama kawaida yeye alizinduka vyema ila akawa anahisi baridi kali wakamfunika nguo nzito baadae tena akasema joto kali wakaondoa zile nguo baridi ikarudi tena hadi kupoteza maisha ..huyu hadi sasa tuna msiba mazishi jumamosi

siwezi kuandika wote hawa niliosema wa4 ni mwezi huu 1/2025 achilia mbali mwaka jana ambapo nilipoteza shemeji yangu akiwa anajifungua kwa style zilezile nilizooresha hapo juu.

Wengine wanaagwa vizuri tu ila baada ya siku2-3 hali inabadirika na inaisha hivyo.

Wataalamu wetu nahitaji kujua mbona imekuwa kwa wingi namna hii halafu visa vyote vinakuwa vinaendana kati ya marehemu huyu na yule na wote wanakuwa ni wanawake.

Mwaka jana kuna mwanaume mmoja alifanyiwa op baada ya kuzinduka hakuweza kutembea hadi leo hatembei nalo tusaidieni hospital alikaa miezi3 bila ahuheni yoyote sasa hivi yupo nyumbani.


Inaumiza sana
Ni bora ungeitaja tu mi naitaja mloganzila pale somshauri mtu aende pale ni.lango.la kifo yani kufa pale sekunde na hakuna anaejali kuna mgonjwa alikuwa pale walimtoa damu mpaka akaishiwa damu akafa yani katolewa mara ya kwanza hakaja majibu hawaonimkitu wakatoa tena wakatoa tena mara tatu mgonjwa akafa ni uzembe wa kupitiliza mi.mloganzila hunipeleki heri nifie nyumbani ukienda pale kuna vilio si vya kawaida kuna ndugu yangu pona yake alikimbia na dripu akaenda private wamtoe akawauliza dripu la ugonjwa gani hili cha ajabu alikuwa na homa lakini nurse alishangaa dripu halihusani na homa kabisaa akamwambia yani ungekufa soon.
 
Vifo vya hivyo vinatokea kwa kutokuwa waangalifu na kufuata procedures
Kuna watu wana pressure na inapanda ila Dr hana habari bali anaendelea na upasuaji mtu akiwa kwenye nusu kaputi
Hapo hata kama mtu hajui kama ana High blood pressure wanauwa tu
Wengi wanaondoka hivi na nimeshuhudia mzee mmoja alifanyiwa upasuaji na pressure yake
Nafikiri walikuwa wanafanya ops akiwa kafa masikini
Inasikitisha sana na sijui kama ukishtaki utapata haki yako
 
Mbona wanasema kujifungua kwa op ni salama zaidi kwa mtoto pia
Halaf hiyo hospital ungeitaja labda kuna uzembe wanafanya

Jibu si la moja kwa moja.
Haya yote hutegemea na:

1: Kuwa mjamzito tu tayari ni risk/hatari.

2: Njia ya kujifungua pia hutegemea hali ya mjamzito.

3: Mazingira aliyopo na mapito ya mjamzito husika.

4: Upatikanaji wa wataalamu husika/wenye ujuzi, upatikanji wa vifaa husika ili kufanikisha kujifungua kwa njia husika
 
Hiki kipindi cha sasa hivi vifo vya namna hii vimekuwa vingi sana.Sio kwamba nipo hapa kuwalaumu la hasha bali nipo hapa kutaka kujua kulikoni siku hizi wakuu?

Ipo hivi kuna hospital moja huku hadi inaogopwa watu wakiingia kufanyiwa OP kurudi ni majaliwa sasa imewabidi wawe wana safiri kwenda mbali hasa wajazito.

Huu mwezi1 pekee watu4 wamekufa nilio pata taarifa kutoka hospital ile na sio kwamba ina wagonjwa wengi sana la hasha kwa wastani idadi haizidi 120 kwa siku.

Mtu wa kwanza alikuwa anajifungua baada kushindikana kujifungua kwa kawaida ikabidi afanyiwe op bahati mbaya hakuzinduka ikawa imeisha hiyo.

Mama mmoja alikuwa na uvimbe tumboni akafanyiwa op kama kawaida yeye alizinduka vyema ila akawa anahisi baridi kali wakamfunika nguo nzito baadae tena akasema joto kali wakaondoa zile nguo baridi ikarudi tena hadi kupoteza maisha ..huyu hadi sasa tuna msiba mazishi jumamosi

siwezi kuandika wote hawa niliosema wa4 ni mwezi huu 1/2025 achilia mbali mwaka jana ambapo nilipoteza shemeji yangu akiwa anajifungua kwa style zilezile nilizooresha hapo juu.

Wengine wanaagwa vizuri tu ila baada ya siku2-3 hali inabadirika na inaisha hivyo.

Wataalamu wetu nahitaji kujua mbona imekuwa kwa wingi namna hii halafu visa vyote vinakuwa vinaendana kati ya marehemu huyu na yule na wote wanakuwa ni wanawake.

Mwaka jana kuna mwanaume mmoja alifanyiwa op baada ya kuzinduka hakuweza kutembea hadi leo hatembei nalo tusaidieni hospital alikaa miezi3 bila ahuheni yoyote sasa hivi yupo nyumbani.


Inaumiza sana
Kwenye OP kuna mambo mengi , ndo maana kabla ya op kuna basic investigation kufanyika , kutokana na aina ya op,

Pili inweza pia tatizo lipo kwawatoa usinginzi pia . Leo GA haina sababu sana kama hakuna huitaji wake , badala yake spinal ndo inatumika sana hasa kwa wajawazito na baadhi ya op zingine , Zoom ya wizara inatakiwa kuimulika iyo Hospital
 
Mgonjwa anaweza kupoteza sababu ya complications za surgery.
Hasahasa upande wa Anaesthesia.
Dawa zile za usingizi zina negative effects pia kwa mgonjwa,
mfano nyingine zinapandisha BP l, nyingine zinashusha.
NA effects nyingine nyingi.
Sasa mtalamu asipokuwa makini kudetect na na kucollect hizi inshu mapema ni rahisi kumpoteza mgonjwa.
Lakini pia wagonjwa wengine wana matatizo yao ya kiafya yanagondulika wakti wa surgry hasa kwenye moyo.
 
Hiki kipindi cha sasa hivi vifo vya namna hii vimekuwa vingi sana.Sio kwamba nipo hapa kuwalaumu la hasha bali nipo hapa kutaka kujua kulikoni siku hizi wakuu?

Ipo hivi kuna hospital moja huku hadi inaogopwa watu wakiingia kufanyiwa OP kurudi ni majaliwa sasa imewabidi wawe wana safiri kwenda mbali hasa wajazito.

Huu mwezi1 pekee watu4 wamekufa nilio pata taarifa kutoka hospital ile na sio kwamba ina wagonjwa wengi sana la hasha kwa wastani idadi haizidi 120 kwa siku.

Mtu wa kwanza alikuwa anajifungua baada kushindikana kujifungua kwa kawaida ikabidi afanyiwe op bahati mbaya hakuzinduka ikawa imeisha hiyo.

Mama mmoja alikuwa na uvimbe tumboni akafanyiwa op kama kawaida yeye alizinduka vyema ila akawa anahisi baridi kali wakamfunika nguo nzito baadae tena akasema joto kali wakaondoa zile nguo baridi ikarudi tena hadi kupoteza maisha ..huyu hadi sasa tuna msiba mazishi jumamosi

siwezi kuandika wote hawa niliosema wa4 ni mwezi huu 1/2025 achilia mbali mwaka jana ambapo nilipoteza shemeji yangu akiwa anajifungua kwa style zilezile nilizooresha hapo juu.

Wengine wanaagwa vizuri tu ila baada ya siku2-3 hali inabadirika na inaisha hivyo.

Wataalamu wetu nahitaji kujua mbona imekuwa kwa wingi namna hii halafu visa vyote vinakuwa vinaendana kati ya marehemu huyu na yule na wote wanakuwa ni wanawake.

Mwaka jana kuna mwanaume mmoja alifanyiwa op baada ya kuzinduka hakuweza kutembea hadi leo hatembei nalo tusaidieni hospital alikaa miezi3 bila ahuheni yoyote sasa hivi yupo nyumbani.


Inaumiza sana

Hapa ni mpaka ukafanye ufatiliaji wa nini kilitokea kwenye mazingira husika/Root cause analysis(RCA).
Mfano:
1: Vifo viliyokea kwenye mazingira yapi wakati wa upasuaji.

2: Hali ya wagonjwa kabla ya upasuaji.

3: Maandalizi ya wagonjwa kabla ya upasuaji.

4: Uwepo wa viafaa wezeshi.

5: Uwepo wa wataalamu husika.

6: Usimimiaji wa miongozo husika/utimizaji wake

Nk.
 
Back
Top Bottom