Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye surgery Huwa Kuna Mambo mengi unless Uwe ndani ya Chumba Cha Operation Unaweza Kulijibia Swali lake
Maswali haya yamekaa kitaalamu zaidi na mimi sitaweza. Swala la kujua hali ya wagonjwa kabla ya upasuaji ni ngumu kwanza sitaruhusiwa hata kuangalia vifaa pia sitaruhusiwa mi raia tu wa kawaidaHapa ni mpaka ukafanye ufatiliaji wa nini kilitokea kwenye mazingira husika/Root cause analysis(RCA).
Mfano:
1: Vifo viliyokea kwenye mazingira yapi wakati wa upasuaji.
2: Hali ya wagonjwa kabla ya upasuaji.
3: Maandalizi ya wagonjwa kabla ya upasuaji.
4: Uwepo wa viafaa wezeshi.
5: Uwepo wa wataalamu husika.
6: Usimimiaji wa miongozo husika/utimizaji wake
Nk.
Unataka Ukafanye uchunguzi mkuu?Kama mleta huu uzi hajaitaja hiyo hospitali SASA TAARIFA ZILETWE BASED ON WHAT?
Ikihitajika nitaitaja tu pia zimetajwa nyingi tu humu na watuKwann usiitaje hiyo hospitali
unapofanyiwa op huwa wanadungwa dawa za usingi(gazi/nusu kaputi) wengine huwa hawazinduki wanafariki mazima bila kumaka hata dk1Mimi mwenyewe nishafanyiwa OP, ila hiyo ya kutokuamka inasikitisha. Au una maanisha nini teena?
Nilimpoteza mate wangu 2011 hakuamka Easter alienda alilala hakuamka, tulimbadili jina tukamwita marehemu.unapofanyiwa op huwa wanadungwa dawa za usingi(gazi/nusu kaputi) wengine huwa hawazinduki wanafariki mazima bila kumaka hata dk1
Ni bora ungeitaja tu mi naitaja mloganzila pale somshauri mtu aende pale ni.lango.la kifo yani kufa pale sekunde na hakuna anaejali kuna mgonjwa alikuwa pale walimtoa damu mpaka akaishiwa damu akafa yani katolewa mara ya kwanza hakaja majibu hawaonimkitu wakatoa tena wakatoa tena mara tatu mgonjwa akafa ni uzembe wa kupitiliza mi.mloganzila hunipeleki heri nifie nyumbani ukienda pale kuna vilio si vya kawaida kuna ndugu yangu pona yake alikimbia na dripu akaenda private wamtoe akawauliza dripu la ugonjwa gani hili cha ajabu alikuwa na homa lakini nurse alishangaa dripu halihusani na homa kabisaa akamwambia yani ungekufa soon.
Ningependa tupate majibu kutoka kwa
unapofanyiwa op huwa wanadungwa dawa za usingi(gazi/nusu kaputi) wengine huwa hawazinduki wanafariki mazima bila kumaka hata dk
Inauma sanaMambo ya Anesthesia hayo. Yani huyo mtaalamu anayehusika nasu kaputi akiwa ni graduate ambae kichwani hamna kitu lazima mtu asiamke, huyo mtaalam ndo mwenye dhamana ya kumlaza na kumuamsha mgonjwa!
Nahitaji sana iwe hivyo na nipo tyr kutoa ushirikianoAu wana-overdose mkuu?
Inatakuwa ufanyike uchunguzi wa kina kuanzia wataalamu mpaka vifaa na dawa wanazotumia!!