The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Au wana-overdose mkuu?
Inatakuwa ufanyike uchunguzi wa kina kuanzia wataalamu mpaka vifaa na dawa wanazotumia!!
Ndugu zetu wanapotea kizembe sana.
Ukute hata midawa yenyewe fake fake tu.
Ngoja madaktari waje waseme wanakwama wapi