Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Daaah!Watanganyika wamepumbazwa na ununuzi wa magoli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah!Watanganyika wamepumbazwa na ununuzi wa magoli.
Acha! Bhana!Commissioner General wa TRA ni MZANZIBAR.
Commissioner General wa ZRA ni MZANZIBAR.
Kuna ule Uzi unoonyesha Tanzania tunaelekea kule ilipo congo aliyoiasisi mobutusio Kwa ubaya ila viongozi wetu wengi ni vichwa nazi.
hawa idara ya usalama hawa kupaswa kukaa kimya, eti Wana mwachia kiranja mkuu aji amulie anavyo taka.
Inge pendeza wange kamata au kuwa lazimishwa waji uzuru wafanya maamuzi mabovu.
Sema usalama yenyewe ni Kama mlevi, full kusukumwa tu.
Hawa madogo wajinga sana wako busy na kuangalia Elpasan sijui nini, Yan wanaufwala mwingi sanaHayawezi kuwa na mwisho iwapo wahusika wakuu (wanafunzi wa vyuo vikuu) wapo kimya.
Enzi zetu yangeshafanyika maandamano makubwa sana ya wanafunzi wote wa elimu ya juu.Fikiria wakati huo vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu zilikuwa chache sana.
Leo vyuo vikuu vipo bwerere wamekaa kimya wanangoja malaika wa kuwasemea.
Tatizo lako unakimbilia kuandika kabla ya kufanya utafiti.Nani kakwambia? Wamejaa pale machogo, yaani wabara kama wote, mpaka wamasai wapi zenji, acheni kujitoa ufahamu,
Nyie daeni inchi yenu, ila kutaka kuwabania wazenji hamuwezi kisheria na kikatiba
Si kweli, CG wa TRA ni Mtu wa MbeyaCommissioner General wa TRA ni MZANZIBAR.
Commissioner General wa ZRA ni MZANZIBAR.
Yule kanyonga point za maana, yule bwana mkubwa atakuwa na uwezo mkubwa wa kudadavua mamboKuna ule Uzi unoonyesha Tanzania tunaelekea kule ilipo congo aliyoiasisi mobutu
Halafu anaambia watu wafanye utafiti kumbe yeye mwenyewe hafanyii utafiti, porojo tuSi kweli, CG wa TRA ni Mtu wa Mbeya
Ha hahahahaHalafu anaambia watu wafanye utafiti kumbe yeye mwenyewe hafanyii utafiti, porojo tu
Yusuph MwendaSi kweli, CG wa TRA ni Mtu wa Mbeya
Yani tuache kula raha na maboom yetu twende tukaweke rehani uhai wetu kwa kuandamanaHayawezi kuwa na mwisho iwapo wahusika wakuu (wanafunzi wa vyuo vikuu) wapo kimya.
Enzi zetu yangeshafanyika maandamano makubwa sana ya wanafunzi wote wa elimu ya juu.Fikiria wakati huo vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu zilikuwa chache sana.
Leo vyuo vikuu vipo bwerere wamekaa kimya wanangoja malaika wa kuwasemea.
Mkuu kaangalie the comedy tu, huku hapa kufai.Yani tuache kula raha na maboom yetu twende tukaweke rehani uhai wetu kwa kuandamana
Kule kwao wameajiriwa watanganyika wangapiHeshima sana wanajamvi.
TRA wametangaza ajira mpya 1,574.
Hili ni jamba zuri sana vijana wetu watapata ajira za uhakika zenye mishahara mizuri na nafasi kubwa ya kutengeneza kipata cha ziada kupitia urefu wa kamba zao.
Kitu wasichakijua WATANGANYIKA katika ajira hizo WAZANZIBAR wametengewa nafasi 331 huku WATANGANYIKA MACHOGO wakitengewa 1243 tu.
Idadi ya watu TANGANYIKA ni zaidi ya 64 Million idadi ya watu ZANZIBAR ni 836,000.
Hizi hesabu nimejaribu kuzipiga,kugawanya,kuzidisha nimetoka kapa.
Huu upuuzi uliletwa na Mchengerwa katika bunge hili linalomaliza muda wake WABUNGE wetu hawakuhoji,hawakudadisi,hawakuuliza waligonga meza kama kawaida yao.
Wakati LISSU akishangaa idadi ya wabunge wa ZANZIBAR kuchanguliwa na wastani wa watu 11,000 tu wakati wabunge wa TANGANYIKA wanachaguliwa na idadi ya watu 300,000 na kuendelea angejiuliza na kudadi inakuwaje WAZANZIBAR wanatengewa nafasi 331 katika taasisi moja tu.Siku BOT wakitangaza ajira utaratibu ni huo huo.
Lissu badala ya kutazama nafasi za kisiasa pekee yake angetazama pia suala zima la ajira katika hii JMT.
Kumbe ni udini?Yusuph Mwenda
For sure kaona mbali sana sema hatua hazitachukuliwaYule kanyonga point za maana, yule bwana mkubwa atakuwa na uwezo mkubwa wa kudadavua mambo
Kuwa kisiwani kuna shida ganiAmuwaonei huruma wenzetu wapo kisiwani
For sureMkuu kaangalie the comedy tu, huku hapa kufai.
NaamYusuph Mwenda
Kuwa kisiwani kuna shida gani