Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuwapinge, hawatufai wazanzibar ni watu wa hovyo snMzanzibar hakatazwi kugombea hizo nafasi 1,247 za Tanganyika kwasababu akiwa bara ana sifa ya uTANZANIA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwapinge, hawatufai wazanzibar ni watu wa hovyo snMzanzibar hakatazwi kugombea hizo nafasi 1,247 za Tanganyika kwasababu akiwa bara ana sifa ya uTANZANIA.
Uvunjwe haraka huu muungano fakeMzanzibar wa Kizimkazi ndo kashika usukani ulitegemea nn
UWT ndio wametufikisha hapa tulipo🤔 kwa mapambio yao.Wabara hatuna akili ndiyo maana tunatawaliwa na Mzanzibar, sisi ni koloni la Zanzibar
Sure sahivi wazanzibar wamejaza kwenye system yote mpk TAMISEMI ambayo siyo muunganoNa hizo ni takwimu za maandishi.. kiuhalisia hizo asilimia 21 ndizo za watanganyika
Tuupinge huu ujinga aseeUWT ndio wametufikisha hapa tulipo🤔 kwa mapambio yao.
Unachafua jina la huyo mtu uliejipaWabara hatuna akili ndiyo maana tunatawaliwa na Mzanzibar, sisi ni koloni la Zanzibar
Kwanini hakuna wabara kwenu hata wa dawa? muungano ya kijinga kabisaTRA ni mali ya JMT sasa watu kutoka Zanzibar kupata ajira kuna shda gani. Acheni kueneza chuki zisizo na sababu wala maana.
Tuliutaka sisi Watanganyika wenyewe.Muungano tuliutaka wenyewe.
Huu muungano fake lazima tuuvunje haraka, wanzibar mmeigeuza bara kuwa koloni lenuUnachafua jina la huyo mtu uliejipa
CCM hawaitendei haki Tanganyika kwa kuendelea kumuendekeza SamiaHeshima sana wanajamvi.
TRA wametangaza ajira mpya 1,574.
Hili ni jamba zuri sana vijana wetu watapata ajira za uhakika zenye mishahara mizuri na nafasi kubwa ya kutengeneza kipata cha ziada kupitia urefu wa kamba zao.
Kitu wasichakijua WATANGANYIKA katika ajira hizo WAZANZIBAR wametengewa nafasi 331 huku WATANGANYIKA MACHOGO wakitengewa 1243 tu.
Idadi ya watu TANGANYIKA ni zaidi ya 64 Million idadi ya watu ZANZIBAR ni 836,000.
Hizi hesabu nimejaribu kuzipiga,kugawanya,kuzidisha nimetoka kapa.
Huu upuuzi uliletwa na Mchengerwa katika bunge hili linalomaliza muda wake WABUNGE wetu hawakuhoji,hawakudadisi,hawakuuliza waligonga meza kama kawaida yao.
Wakati LISSU akishangaa idadi ya wabunge wa ZANZIBAR kuchanguliwa na wastani wa watu 11,000 tu wakati wabunge wa TANGANYIKA wanachaguliwa na idadi ya watu 300,000 na kuendelea angejiuliza na kudadi inakuwaje WAZANZIBAR wanatengewa nafasi 331 katika taasisi moja tu.Siku BOT wakitangaza ajira utaratibu ni huo huo.
Lissu badala ya kutazama nafasi za kisiasa pekee yake angetazama pia suala zima la ajira katika hii JMT.
Punguza mihemko ya kwenye keyboardHuu muungano fake lazima tuuvunje haraka, wanzibar mmeigeuza bara kuwa koloni lenu
Tokeni huku kwetu wajinga wakubwa nyie, hamtaki kuishi kwenu ZanzibarPunguza mihemko ya kwenye keyboard
Mkuu umekula lunch ?..maana njaa ikiwa inauma akili haifanyagi kazi, kwanini umeniandikia vitu ulivyoandika hapa wakati mimi nlikuwa na co-sign alichosema jamaa kuwa CG ni mtu wa mbeya na mimi nikamtaja yes jamaa sio mpemba sababu kina mwenda ni watu wa iringa, njombe na mbeya. Bwana mkubwa tatizo lake nini?Kumbe ni udini?
Mnaogopa mpaka jina?
Yusufu wako wengi sana mbeya na bara yote
Je, nyie Wazenji mna uwezo wa kubeba gharama zote za uendeshaji wa JMT kwa 50/50?!Ubia ni 50/50,yaani hapo bado mmewaonea sana, mara nne? No hii haikubaliki, muungano ni inchi kwa inchi so mgao ni nusu kwa nusu
Sasa mie hayo hayanihusu, wewe ndie ulitaka ubia, gharama ni zako zote, ni sawa tu na kujenga nyumba za ubia,Je, nyie Wazenji mna uwezo wa kubeba gharama zote za uendeshaji wa JMT kwa 50/50?!
Au mnavizia tu ulaji halafu mnadai hiyo 50/50?
Kila kilicho Chao ni chao peke yao, ila cha Tanganyika ni cha wote!Vipi ZRA watanganyika ni % ngapi? Watu wachangamkie fursa huko kisiwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]