Watanganyika do we have "BALLS"

Watanganyika do we have "BALLS"

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
1. Wazanzibari walipoambiwa Zanzibar kuna mafuta walipambana hadi wakaondoa mafuta kwenye mambo ya Muungano lakini bado hela ya madini ya Mererani inaenda kununua CT scan hospitali za Pemba.

2. Wamepambana kuondoa bandari ya Zanzibar chini ya TPA na kuanzisha mamlaka yao ya bandari lakini bado mapato ya TPA yanaenda kulipa mishahara ya watumishi wa muungano kutoka Zanzibar.

3. 21% ya ajira za muungano ni Zanzibar hata kama Mtanganyika atakuwa na Masters na Mzanzibari akiwa na Diploma atachukuliwa mwenye Diploma ili kukamilisha asilimia yao.

4. Ajira za Zanzibar wamepambana mpaka wameweka kitambulisho cha "Uzanzibari ukaazi"ili kuwatenga Watanganyika.

5. Ajira za Tanganyika Wazanzibari wanaingia kama Watanzania.

Viongozi wa Tanganyika haya mambo mnaona kawaida sababu nyinyi mnakula kwa urefu wa kamba na watoto wenu hawana shida ya ajira mnaweza kuwaweka taasisi yeyote.
IPO siku yaja hiki kizazi cha shule za kata kinachozagaa mtaani kitawageuka hamtoamini.
Wasalaam!
 
Usisahau pia hii datas, Zanzibar ni < 2000 km^2 vs Bara > 9 00 000 au zaidi ya laki tisa, hivyo uko hapa kulalamikia eneo la square meta chini ya 2000 Elfu mbili wakati wewe unaishi sq meta zaidi ya laki tisa.

Kama ni Bandari unalalamikia Bara zipo kibao Dar, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, huko Ziwa Nyasa kama ni Old town inakusumbua Bara kuna Kilwa, Mikindani, Bagamoyo hata Ujiji tunaweza kuifanya old town.

Kama ni ajira unaongelea nina uhakika ajira zote ambazo Wazanzibari wanazo bara hawazidi watu 500 Serikalini sasa hata kama wakiziachia wakawapa Bara itabadilisha nini kwenye nchi yenye zaidi ya watu milioni 45 ?
 
1. Wazanzibari walipoambiwa Zanzibar kuna mafuta walipambana hadi wakaondoa mafuta kwenye mambo ya Muungano lakini bado hela ya madini ya Mererani inaenda kununua CT scan hospitali za Pemba.

2. Wamepambana kuondoa bandari ya Zanzibar chini ya TPA na kuanzisha mamlaka yao ya bandari lakini bado mapato ya TPA yanaenda kulipa mishahara ya watumishi wa muungano kutoka Zanzibar.

3. 21% ya ajira za muungano ni Zanzibar hata kama Mtanganyika atakuwa na Masters na Mzanzibari akiwa na Diploma atachukuliwa mwenye Diploma ili kukamilisha asilimia yao.

4. Ajira za Zanzibar wamepambana mpaka wameweka kitambulisho cha "Uzanzibari ukaazi"ili kuwatenga Watanganyika.

5. Ajira za Tanganyika Wazanzibari wanaingia kama Watanzania.

Viongozi wa Tanganyika haya mambo mnaona kawaida sababu nyinyi mnakula kwa urefu wa kamba na watoto wenu hawana shida ya ajira mnaweza kuwaweka taasisi yeyote.
IPO siku yaja hiki kizazi cha shule za kata kinachozagaa mtaani kitawageuka hamtoamini.
Wasalaam!
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.
 
1. Wazanzibari walipoambiwa Zanzibar kuna mafuta walipambana hadi wakaondoa mafuta kwenye mambo ya Muungano lakini bado hela ya madini ya Mererani inaenda kununua CT scan hospitali za Pemba.

2. Wamepambana kuondoa bandari ya Zanzibar chini ya TPA na kuanzisha mamlaka yao ya bandari lakini bado mapato ya TPA yanaenda kulipa mishahara ya watumishi wa muungano kutoka Zanzibar.

3. 21% ya ajira za muungano ni Zanzibar hata kama Mtanganyika atakuwa na Masters na Mzanzibari akiwa na Diploma atachukuliwa mwenye Diploma ili kukamilisha asilimia yao.

4. Ajira za Zanzibar wamepambana mpaka wameweka kitambulisho cha "Uzanzibari ukaazi"ili kuwatenga Watanganyika.

5. Ajira za Tanganyika Wazanzibari wanaingia kama Watanzania.

Viongozi wa Tanganyika haya mambo mnaona kawaida sababu nyinyi mnakula kwa urefu wa kamba na watoto wenu hawana shida ya ajira mnaweza kuwaweka taasisi yeyote.
IPO siku yaja hiki kizazi cha shule za kata kinachozagaa mtaani kitawageuka hamtoamini.
Wasalaam!

Kuna ukweli huu ambao baadhi ya mburumundu wamejaribu kuupotosha dhidi ya mleta hoja:

IMG_20220226_204241_388.jpg
 
Usisahau pia hii datas Zanzibar ni < 2000 km^2 vs Bara > 9 00 000 au zaidi ya laki tisa, hivyo uko hapa kulalamikia eneo la square meta chini ya 2000 Elfu mbili wakati wewe unaishi sq meta zaidi ya laki tisa.

Kama ni Bandari unalalamikia Bara zipo kibao Dar, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, huko Ziwa Nyasa kama ni Old town inakusumbua Bara kuna Kilwa, Mikindani, Bagamoyo hata Ujiji tunaweza kuifanya old town.

Kama ni ajira unaongelea nina uhakika ajira zote ambazo Wazanzibari wanazo bara hawazidi watu 500 Serikalini sasa hata kama wakiziachia wakawapa Bara itabadilisha nini kwenye nchi yenye zaidi ya watu milioni 45 ?
Tanganyika ni shamba lililotelekezwa bila mlinzi, yeyote anavuna tani yake!
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.
Fuatilia kipindi cha ijue Benki kuu ya Tanzania kinarushwa na TBC1. Kuna kiongozi wa Zanzibar anaishukuru benki kuu kulipa mishahara kwa watumishi wa Zanzibar kutokana na hali mbaya ya ugonjwa wa Corona mapato ya Zanzibar yalishuka sababu watalii hakuna. Benki kuu ikaokoa jahazi.
Wewe unasema wazanzibari hawautaki Muungano nani kakwambia?
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.
Fuatilia kipindi cha ijue Benki kuu ya Tanzania kinarushwa na TBC1. Kuna kiongozi wa Zanzibar anaishukuru benki kuu kulipa mishahara kwa watumishi wa Zanzibar kutokana na hali mbaya ya ugonjwa wa Corona mapato ya Zanzibar yalishuka sababu watalii hakuna. Benki kuu ikaokoa jahazi.
Wewe unasema wazanzibari hawautaki Muungano nani kakwambia?
 
Usisahau pia hii datas Zanzibar ni < 2000 km^2 vs Bara > 9 00 000 au zaidi ya laki tisa, hivyo uko hapa kulalamikia eneo la square meta chini ya 2000 Elfu mbili wakati wewe unaishi sq meta zaidi ya laki tisa.

Kama ni Bandari unalalamikia Bara zipo kibao Dar, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, huko Ziwa Nyasa kama ni Old town inakusumbua Bara kuna Kilwa, Mikindani, Bagamoyo hata Ujiji tunaweza kuifanya old town.

Kama ni ajira unaongelea nina uhakika ajira zote ambazo Wazanzibari wanazo bara hawazidi watu 500 Serikalini sasa hata kama wakiziachia wakawapa Bara itabadilisha nini kwenye nchi yenye zaidi ya watu milioni 45 ?
Wazanzibari hawafiki 500 kwenye ajira Muungano? Uko serious kweli wewe?
Hizo 500 polisi tu wanazidi
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.
Si waukatae mazima sasa lol
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.

Sasa si mjitenge? Hamtaki halafu kila siku mnakula tu kodi zetu!
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.
...Unaonyesha wewe ni Mzazibari!
 
Fuatilia kipindi cha ijue Benki kuu ya Tanzania kinarushwa na TBC1. Kuna kiongozi wa Zanzibar anaishukuru benki kuu kulipa mishahara kwa watumishi wa Zanzibar kutokana na hali mbaya ya ugonjwa wa Corona mapato ya Zanzibar yalishuka sababu watalii hakuna. Benki kuu ikaokoa jahazi.
Wewe unasema wazanzibari hawautaki Muungano nani kakwambia?
Umeme na chakura wanategemea tanganyika.


Yaani ni wanamaisha magumu hao
 
Hapana sio kweli ila ss wa bara ni walalamikaji sana, mkapa kauawa wa zazibar kwasabb walipinga mgaano hamna alie sema kitu, sasa badilisheni katiba kila mtu ajitawale tu. Kuliko kulalamika lalamika kama mademu.
Huu muungano hauna faida kwa Tanzania bara...

hao nguchiro tuwaache wawe kama ndugu zao comoro ...finish
 
Back
Top Bottom