Watanganyika do we have "BALLS"

Watanganyika do we have "BALLS"

Usisahau pia hii datas Zanzibar ni < 2000 km^2 vs Bara > 9 00 000 au zaidi ya laki tisa, hivyo uko hapa kulalamikia eneo la square meta chini ya 2000 Elfu mbili wakati wewe unaishi sq meta zaidi ya laki tisa.

Kama ni Bandari unalalamikia Bara zipo kibao Dar, Tanga, Mtwara, Mwanza, Kigoma, huko Ziwa Nyasa kama ni Old town inakusumbua Bara kuna Kilwa, Mikindani, Bagamoyo hata Ujiji tunaweza kuifanya old town.

Kama ni ajira unaongelea nina uhakika ajira zote ambazo Wazanzibari wanazo bara hawazidi watu 500 Serikalini sasa hata kama wakiziachia wakawapa Bara itabadilisha nini kwenye nchi yenye zaidi ya watu milioni 45 ?

Hata kama ni < watu 500 unaona kidogo while wabara kule zenji ni 0 this is not fair
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.

Nia ya Nyerere ilikua nzuri ila hakujua kama mngekuja kuwa wategemez hiv
 
Ili kuonyesha wametuchoka,wamefuta tv kwa miezi miwili sasa
Vijamaa vinafiki sana..hata kativi kao ka taifa feki..hakuna hata siku moja kameonyesha taarifa kutoka Tanganyika..kingine udini siku ya jpl hata kiweka nyimbo wala kipindi cha za dini za kikristo hakuna ni dufu mwanzo mwisho.

Let them go to hell..
Wanafiki hawa.

Kimsingi haka ka muungano feki kina faida kwa viongozi wachache hasa wa zenji mana bila huu muungamo hawana maisha.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.
Acha tuamshane. Haya ni mazungumzo yetu SISI WATANGANYIKA.

Kweli, ni sisi Tanganyika ndio tulitaka na ndio bado tunang’ang’ania, huu Muungano.

Lakini hapa tunaumana masikio tuzinduke kutoka katika ujinga na utopolo wa kukubali kuumizwa na mzigo wa Zanzibar.

We blundered royally. Tribal Chief Mangungo of Unyanyembe who was comprehensively illiterate did not get fooled for more land than the Edinburg educated Julius Nyerere.
 
Mods, mngekuwa mnakijua kiingereza msingeweka neno BALLS kwenye kichwa cha Post, sasa nimejua kuwa kiingereza kimewatupa mkono, liondoweni neno hilo.
 
Hi tabia ya kulalamika lalamika ya waTz sijui itaisha lini, zazibar ndo ilio wafuata au Nyerere wenu ndo aliefuata zazibar........bora kuka kimya kuliko kuongea hu ujinga wa zazibar wenyewe hawataki huo muungano wenu.
As long as Samia anatambua kuwa yeye Sio RAIS wa WAZANZIBARI bali wa WATANZANIA nchi itakuwa salama kwani kama akikosea na kuonesha kupendelea upande mmoja kama inavyoashiriwa basi URAIS wake utapata msukosuko k wani atakuwa anapanua nyufa zilizoanza kuzibwa juu ya muungano! Yeye sio Rais wa WAISLAM wala wa WAKISTO; SIO RAIS WA WANAWAKE WALA WANAUME ,yeye ni rais wa wote hata wale wasio na DINI!!
 
As long as Samia anatambua kuwa yeye Sio RAIS wa WAZANZIBARI bali wa WATANZANIA nchi itakuwa salama kwani kama akikosea na kuonesha kupendelea upande mmoja kama inavyoashiriwa basi URAIS wake utapata msukosuko k wani atakuwa anapanua nyufa zilizoanza kuzibwa juu ya muungano! Yeye sio Rais wa WAISLAM wala wa WAKISTO ,yeye ni rais wa wote hata wale wasio na DINI!!
Rejea siku alipopokewa uwanja wa ndege akitoka ulaya, kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi waliandaliwa wanawake wa kiislamu wakiwa ndani ya vazi la hijabu!
 
Vijamaa vinafiki sana..hata kativi kao ka taifa feki..hakuna hata siku moja kameonyesha taarifa kutoka Tanganyika..kingine udini siku ya jpl hata kiweka nyimbo wala kipindi cha za dini za kikristo hakuna ni dufu mwanzo mwisho.

Let them go to hell..
Wanafiki hawa.

Kimsingi haka ka muungano feki kina faida kwa viongozi wachache hasa wa zenji mana bila huu muungamo hawana maisha.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wanasheria ni wanufaika wa uteuzi wa wakubwa
 
Zanzibar ni wabaguzi sana hawana tofauti na waarabu na wanajiona sana kupata ajira kule ni ngumu sana.
 
Waliokataa serikali tatu katika katiba mpya ni Watanganyika!
 
Back
Top Bottom