Watangazaji wa CMG mliomfanyia 'Interview' Kiongozi Mstaafu katika 'Birthday' yake Jana mmeiabisha 'Tasnia' nzima

Watangazaji wa CMG mliomfanyia 'Interview' Kiongozi Mstaafu katika 'Birthday' yake Jana mmeiabisha 'Tasnia' nzima

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwanza hamkujipanga vyema kwa Coverage yake ndiyo maana hata Mitambo yenu kila Saa ilikuwa inakatakata hali ambayo Iliboa na Ilituboa zaidi.

Pili wenye Akili akina GENTAMYCINE tulitegemea kwa Chombo cha Habari kupata ile Fursa basi ndiyo mngeitumia Kumhoji Mambo ( Maswali ) ya Msingi ya kuhusu Awamu yake, aliyoikabidhi na hii ya sasa tuliyopo.

Tatu kilichonishangaza zaidi ni kuona Watangazaji wote waliokuwepo Kumhoji Maswali ya Kitoto mno huku Wote Akili zao zikiwa katika Hafla ya Kula aliyokuwa ameiandaa huyo Kiongozi aliyekuwa na 'Birthday' yake Jana.

Uhovyo hovyo Wenu katika Kujipanga na Kushindwa Kumuuliza Maswali ya Msingi huenda ndiyo ulimpelekea 'Birthday Boy' wa Jana Kukengeuka Kihuni na Kukosa Maadili na kuanza Kucheka cheka tu muda wote, Upuuzi mwingi hadi Kutuinulia Picha ya Mama yake Mzazi na Kututambia 'Kihuni' kuwa ilikuwa Pisi Kali ya Baba yake Mzazi.

Nilichokiona Jana Mkewe amefanya vyema Kimahojiano, alikuwa na Staha Kubwa, Ustaarabu mwingi, Hekima huku akitawaliwa zaidi na Maadili na ndiyo alituvutia Watazamaji wengi kuliko hata Mhusika wa Shughuli yake ambaye kiukweli alituboa.

Mwambieni huyo 'Birthday Boy' wenu wa Jana kuwa 'Birthday' yake ya Mwakani ya Kutimiza miaka yake 73 anialike Mimi tu GENTAMYCINE ( Mtanzania Mnyarwanda ) au awajumuishe na BBC ya Uingereza pamoja na Citizen Tv ya Kenya kisha aniruhusu nimuulize Maswali yangu Saba ( 7 ) tu aone kama ama hatonipiga Kibao ( kama alichowahi Kupigwa Mstaafu Mwenzake ) au hatoamuru Nifukuzwe kabisa eneo la Tukio.

Mwisho ni Ombi ( Wito ) wangu kwamba Boss Mkuu wa Clouds Media Group ( CMG ) jjtahidi sana Uajiri Waandishi wa Habari Werevu na 'Critical Thinkers' hasa na siyo hawa Ulionao sasa kwani karibia 85% ni bure kabisa katika Tasnia Muhimu.

Na hakuna Tukio lililonikera zaidi GENTAMYCINE kama pale Mtangazaji Shaffih Dauda alipokuwa akitembea Kufanya Mazoezi na Kiongozi huyo Mstaafu na Kujiumauma muda mwingi na Kushindwa Kuuliza Mswahili na badala yake Kiongozi huyo 'Birthday Boy' wa Jana akamuuliza Shaffih Dauda Maswali yameisha na Unataka nizungumzie nini?

Hovyo kabisa.......!!!!!!
 
Binafsi watangazaji wa CMG nashndwa kuelews wanakwama wap wanakuwaga na focus nzuri lakini katika presentation zao wanafeli inakuwa kama ipo nje ya uwezo wao,walishndwa kuhoji maswali ya msingi nilishukuru walivyowaacha mammy na mchomvu wale ndo poor kabisa masiala Sana hawajui kuendana na mood za watu kiukweli CMG wajitathmini hasa Kwa presenters wao Wana uwezo wa chini mnoo..
 
Waandishi wengi Tanzania tiamajitiamaji uwezo wa kuuliza maswali yakufikiria kama wenzao wa Kenya au Rwanda hawana, kwa mfano wangemuuliza inakuaje CCM kila kiongozi anapoingia anaanza na yake na hivo kurudisha nyuma maendeleo ya nchi, au katika uongozi wako ulifanya juhudi gani kuhakikisha taifa linajitegemea kiuchumi, lakini walikua wanauliza mara mlikutana wapi na mke wako, yaani ujinga tupu walipata nafasi kosa wajipange unaona ni bogus hawa
 
Binafsi watangazaji wa CMG nashndwa kuelews wanakwama wap wanakuwaga na focus nzuri lakini katika presentation zao wanafeli inakuwa kama ipo nje ya uwezo wao,walishndwa kuhoji maswali ya msingi nilishukuru walivyowaacha mammy na mchomvu wale ndo poor kabisa masiala Sana hawajui kuendana na mood za watu kiukweli CMG wajitathmini hasa Kwa presenters wao Wana uwezo wa chini mnoo..

Inatia huruma halafu ni vituo vyote tu hawana critical thinkers yaani kwa ufupi waandishi wengi hawako current na sio wasomaji kujiendeleza kielimu kwao ni shida tupu, pale ilikua nafasi ya kuuliza mambo ya kitaifa ili interview iishi milele lakini wale ni empty set halafu wanafiki kisaikolojia eti waandishi wanampiga madongo marehemu jiwe waziwazi unaona kabisa hawa mburula
 
Inatia huruma halafu ni vituo vyote tu hawana critical thinkers yaani kwa ufupi waandishi wengi hawako current na sio wasomaji kujiendeleza kielimu kwao ni shida tupu, pale ilikua nafasi ya kuuliza mambo ya kitaifa ili interview iishi milele lakini wale ni empty set halafu wanafiki kisaikolojia eti waandishi wanampiga madongo marehemu jiwe waziwazi unaona kabisa hawa mburula
Umeona eeh Yan pale ndo ilibid mtu ahojiwe mambo ya mcng me nngefurah hat angeulzw vp mheshimiw unazungumzia vp uhusiano wako na babu sea mbn n kitu Kam kinakuchafua je kuna tatizo lolote Kati yako wewe na babu sea Ile ingemake headlines na mambo kadha wa kadha yenye kuleta tija
 
Yes mtoa mada, Nami nimeangalia yale mahojiano sio live, ila wale wamejionyesha kuwa sio journalists kabisa, hakuna hata aliyeuliza hard question pale, km. Angeulizwa ameifanyia nini nchi yaani legacy gani ameiachia nchi, tuhuma za ubadhilifu mkubwa kipindi cha uongozi wake, je Rais anaweza kutuambia amejenga makazi yake hayo kwa fedha zake au kipato chake halali?,amesifia tume ya uchaguzi wa Kenya na jinsi walivyoendesha uchaguzi ule, je nini maoni yake kuhusu tume yetu na chaguzi zetu?,nini maoni yake kuhusu mfumo wetu wa elimu na tatizo la unemployment linalowakabili hasa vijana wa nchi?,je anaona bunge na vyombo vyetu vya dola vinafanya kazi zake kwa uadilifu wa kisheria?
 
Kwanza hamkujipanga vyema kwa Coverage yake ndiyo maana hata Mitambo yenu kila Saa ilikuwa inakatakata hali ambayo Iliboa na Ilituboa zaidi.

Pili wenye Akili akina GENTAMYCINE tulitegemea kwa Chombo cha Habari kupata ile Fursa basi ndiyo mngeitumia Kumhoji Mambo ( Maswali ) ya Msingi ya kuhusu Awamu yake, aliyoikabidhi na hii ya sasa tuliyopo.

Tatu kilichonishangaza zaidi ni kuona Watangazaji wote waliokuwepo Kumhoji Maswali ya Kitoto mno huku Wote Akili zao zikiwa katika Hafla ya Kula aliyokuwa ameiandaa huyo Kiongozi aliyekuwa na 'Birthday' yake Jana.

Uhovyo hovyo Wenu katika Kujipanga na Kushindwa Kumuuliza Maswali ya Msingi huenda ndiyo ulimpelekea 'Birthday Boy' wa Jana Kukengeuka Kihuni na Kukosa Maadili na kuanza Kucheka cheka tu muda wote, Upuuzi mwingi hadi Kutuinulia Picha ya Mama yake Mzazi na Kututambia 'Kihuni' kuwa ilikuwa Pisi Kali ya Baba yake Mzazi.

Nilichokiona Jana Mkewe amefanya vyema Kimahojiano, alikuwa na Staha Kubwa, Ustaarabu mwingi, Hekima huku akitawaliwa zaidi na Maadili na ndiyo alituvutia Watazamaji wengi kuliko hata Mhusika wa Shughuli yake ambaye kiukweli alituboa.

Mwambieni huyo 'Birthday Boy' wenu wa Jana kuwa 'Birthday' yake ya Mwakani ya Kutimiza miaka yake 73 anialike Mimi tu GENTAMYCINE ( Mtanzania Mnyarwanda ) au awajumuishe na BBC ya Uingereza pamoja na Citizen Tv ya Kenya kisha aniruhusu nimuulize Maswali yangu Saba ( 7 ) tu aone kama ama hatonipiga Kibao ( kama alichowahi Kupigwa Mstaafu Mwenzake ) au hatoamuru Nifukuzwe kabisa eneo la Tukio.

Mwisho ni Ombi ( Wito ) wangu kwamba Boss Mkuu wa Clouds Media Group ( CMG ) jjtahidi sana Uajiri Waandishi wa Habari Werevu na 'Critical Thinkers' hasa na siyo hawa Ulionao sasa kwani karibia 85% ni bure kabisa katika Tasnia Muhimu.

Na hakuna Tukio lililonikera zaidi GENTAMYCINE kama pale Mtangazaji Shaffih Dauda alipokuwa akitembea Kufanya Mazoezi na Kiongozi huyo Mstaafu na Kujiumauma muda mwingi na Kushindwa Kuuliza Mswahili na badala yake Kiongozi huyo 'Birthday Boy' wa Jana akamuuliza Shaffih Dauda Maswali yameisha na Unataka nizungumzie nini?

Hovyo kabisa.......!!!!!!
Umeandika vizuri mke wangu mtarajiwa. Ila nitakuoa bila harusi....
 
Binafsi watangazaji wa CMG nashndwa kuelews wanakwama wap wanakuwaga na focus nzuri lakini katika presentation zao wanafeli inakuwa kama ipo nje ya uwezo wao,walishndwa kuhoji maswali ya msingi nilishukuru walivyowaacha mammy na mchomvu wale ndo poor kabisa masiala Sana hawajui kuendana na mood za watu kiukweli CMG wajitathmini hasa Kwa presenters wao Wana uwezo wa chini mnoo..
Precisely Chief.
 
Waandishi wengi Tanzania tiamajitiamaji uwezo wa kuuliza maswali yakufikiria kama wenzao wa Kenya au Rwanda hawana, kwa mfano wangemuuliza inakuaje CCM kila kiongozi anapoingia anaanza na yake na hivo kurudisha nyuma maendeleo ya nchi, au katika uongozi wako ulifanya juhudi gani kuhakikisha taifa linajitegemea kiuchumi, lakini walikua wanauliza mara mlikutana wapi na mke wako, yaani ujinga tupu walipata nafasi kosa wajipange unaona ni bogus hawa
Ulipotaja Rwanda na Kenya ( japo umeisahau ) na my Second Home Uganda nimefurahi sana Mkuu kwani hata Kiutafiti hayo ndiyo Mataifa yenye Watu Werevu ( Intelligent ) katika Ukanda huu mzima wa Afrika Mashariki.

Kuna nchi Moja ( nimeisahau ) jina ( ila nikiikumbuka nitaitaja ) yenyewe inashindana na 'Swahiba' wake wa 'Ujuha' nchi ya Burundi kuwa wa mwisho.
 
hivi bado mnafuatiliaga vipindi vya clouds dah mbona mpo nyuma sana yam muda
 
Kwanza hamkujipanga vyema kwa Coverage yake ndiyo maana hata Mitambo yenu kila Saa ilikuwa inakatakata hali ambayo Iliboa na Ilituboa zaidi.

Pili wenye Akili akina GENTAMYCINE tulitegemea kwa Chombo cha Habari kupata ile Fursa basi ndiyo mngeitumia Kumhoji Mambo ( Maswali ) ya Msingi ya kuhusu Awamu yake, aliyoikabidhi na hii ya sasa tuliyopo.

Tatu kilichonishangaza zaidi ni kuona Watangazaji wote waliokuwepo Kumhoji Maswali ya Kitoto mno huku Wote Akili zao zikiwa katika Hafla ya Kula aliyokuwa ameiandaa huyo Kiongozi aliyekuwa na 'Birthday' yake Jana.

Uhovyo hovyo Wenu katika Kujipanga na Kushindwa Kumuuliza Maswali ya Msingi huenda ndiyo ulimpelekea 'Birthday Boy' wa Jana Kukengeuka Kihuni na Kukosa Maadili na kuanza Kucheka cheka tu muda wote, Upuuzi mwingi hadi Kutuinulia Picha ya Mama yake Mzazi na Kututambia 'Kihuni' kuwa ilikuwa Pisi Kali ya Baba yake Mzazi.

Nilichokiona Jana Mkewe amefanya vyema Kimahojiano, alikuwa na Staha Kubwa, Ustaarabu mwingi, Hekima huku akitawaliwa zaidi na Maadili na ndiyo alituvutia Watazamaji wengi kuliko hata Mhusika wa Shughuli yake ambaye kiukweli alituboa.

Mwambieni huyo 'Birthday Boy' wenu wa Jana kuwa 'Birthday' yake ya Mwakani ya Kutimiza miaka yake 73 anialike Mimi tu GENTAMYCINE ( Mtanzania Mnyarwanda ) au awajumuishe na BBC ya Uingereza pamoja na Citizen Tv ya Kenya kisha aniruhusu nimuulize Maswali yangu Saba ( 7 ) tu aone kama ama hatonipiga Kibao ( kama alichowahi Kupigwa Mstaafu Mwenzake ) au hatoamuru Nifukuzwe kabisa eneo la Tukio.

Mwisho ni Ombi ( Wito ) wangu kwamba Boss Mkuu wa Clouds Media Group ( CMG ) jjtahidi sana Uajiri Waandishi wa Habari Werevu na 'Critical Thinkers' hasa na siyo hawa Ulionao sasa kwani karibia 85% ni bure kabisa katika Tasnia Muhimu.

Na hakuna Tukio lililonikera zaidi GENTAMYCINE kama pale Mtangazaji Shaffih Dauda alipokuwa akitembea Kufanya Mazoezi na Kiongozi huyo Mstaafu na Kujiumauma muda mwingi na Kushindwa Kuuliza Mswahili na badala yake Kiongozi huyo 'Birthday Boy' wa Jana akamuuliza Shaffih Dauda Maswali yameisha na Unataka nizungumzie nini?

Hovyo kabisa.......!!!!!!
Mimi nilichoka na wale wa asubuhi kuna jank hakuchhana kabisa nywele maswali mepesii...🙌
 
Kuhusu kuuliza maswali yenye mantiki mara nyingi wabongo wanafeli ,niliona interview ya Rais Samia na Salim Kikeke BBC Swahili hadi Mama alipanic kwa maswali ya yule mwamba na akaanza kumchamba pale pale ile clip nikiitizama mpaka leo nacheka.

Vilevile mahojiano ya Rais William Ruto na mwandishi na kituo cha Aljazeera kulikuwa na maswali ya moto sana na Ruto alionyesha ukomavu wa hali ya juu mpaka kwenye comments watu kutoka mataifa mbalimbali wameikubali yale mahojiano ..
 
Inatia huruma halafu ni vituo vyote tu hawana critical thinkers yaani kwa ufupi waandishi wengi hawako current na sio wasomaji kujiendeleza kielimu kwao ni shida tupu, pale ilikua nafasi ya kuuliza mambo ya kitaifa ili interview iishi milele lakini wale ni empty set halafu wanafiki kisaikolojia eti waandishi wanampiga madongo marehemu jiwe waziwazi unaona kabisa hawa mburula
Nimewadharau sana CMG kama ambavyo nimekuwa Nikimdharau mno huyo waliyekuwa nae Jana 'Birthday Boy' Mswahili Mswahili.
 
Back
Top Bottom