Watangazaji wa CMG mliomfanyia 'Interview' Kiongozi Mstaafu katika 'Birthday' yake Jana mmeiabisha 'Tasnia' nzima

Watangazaji wa CMG mliomfanyia 'Interview' Kiongozi Mstaafu katika 'Birthday' yake Jana mmeiabisha 'Tasnia' nzima

We nawe Kusaga alitaka amfanyie jambo Kikwete, sasa kwakuwa ana miliki clouds akaamua aihusishe clouds nzima, kwahiyo hayo maswali magumu yalikuwa sio mahala pake kihivyo
Watu wasio na Akili huwa na Majibu kama hili lako. Kwa serious Media za Kenya, Rwanda, Uganda, BBC, CNN na The Citizen kupata that audience na Rais Mstaafu kama huyo ni Fursa Kubwa Kwao ya kufanya nae Critical and Analytical Interview ya Siasa, Jamii, Uchumi na Masuala Mtambuka yahusuyo Taifa letu linapambana Kuendelea na bado linapambana na Maadui wakubwa Watatu Ujinga, Maradhi na Umasikini.
 
Babu seya ndio swali la.muhimu?? Wewe nae akili huna.

Maswali muhimu ni ya kiuchumi zaidi, nyie mnataka udaku. Swali lilipaswa kuegemea hapo, kwa nn tuko hapa. Kipi kilikukwamisha kuondoa umaskini kwa watanzania, kwa nn Singapore na sio Tanzania. Kipi kifanyike na kwa namna gani tufike huko.
Huwa sijibu ujinga unless n Jambo la mtu mwenye too much oestrogen..okay n la umuhm Kwa Nyanja ipi ni issue tumeiskia tangu zaman kwamba hivi na hivi alimfunga yeye binafs Kwa kumsingizia sio scandal nzuri Kwa Rais anaetetea haki za raia kufanya mamb Kam Yale sasa yeye kam mhusika na mwenye dhamana ya utetez wa raia anazungumzia vp tuhuma hizo maana wapo watu hawampend kutokan na mjadala ule ulikuwa muda wake Jana wakuliweka Sawa..Hilo lingeweza kuwa la mwisho Kati ya maswali mengi ambayo naamini watanzania wangependa kuyasikia kutoka kwake kama hukubaliani nami[emoji850][emoji850]
 
Mie niseme tu kweli "CMG walienda Msoga kula pilau na kunywa pombe ya mnazi, bila kusahau kuhesabu idadi yanyau wa Msoga!"

Atakayebisha atakuwa anatafuta uteuzi wa nafasi ya katibu pale fili frii chachi 😂
 
Umeona eeh Yan pale ndo ilibid mtu ahojiwe mambo ya mcng me nngefurah hat angeulzw vp mheshimiw unazungumzia vp uhusiano wako na babu sea mbn n kitu Kam kinakuchafua je kuna tatizo lolote Kati yako wewe na babu sea Ile ingemake headlines na mambo kadha wa kadha yenye kuleta tija
Escrow na katiba mpya alivyoivuruga yeye.Issue ya Dr Ulimboka,Adam Malima what happened

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada anaumwa kichaa mchukulieni kama alivyo.

Kama umeumia mfanyie baba ako bethdei na ww uwaalike wasafi waku intavyuu
 
Huwa sijibu ujinga unless n Jambo la mtu mwenye too much oestrogen..okay n la umuhm Kwa Nyanja ipi ni issue tumeiskia tangu zaman kwamba hivi na hivi alimfunga yeye binafs Kwa kumsingizia sio scandal nzuri Kwa Rais anaetetea haki za raia kufanya mamb Kam Yale sasa yeye kam mhusika na mwenye dhamana ya utetez wa raia anazungumzia vp tuhuma hizo maana wapo watu hawampend kutokan na mjadala ule ulikuwa muda wake Jana wakuliweka Sawa..Hilo lingeweza kuwa la mwisho Kati ya maswali mengi ambayo naamini watanzania wangependa kuyasikia kutoka kwake kama hukubaliani nami[emoji850][emoji850]
Huna tofauti na hao watangazaji. Skendo za hivyo Ni za wapuuzi na hupuuzwa, Ila ukiziamini kazi kwako.

Issue kubwa ni uchumi wa nchi
 
CMG ni vituo vya burudani na masihara. Sio mambo serious. Humu mnawaonea tu.

Labda sasa muwashauri wawe na kitengo cha watu wachache kwa ajili ya mambo serious. Hao watu wasitumike wala wasichangamane na hao wengine. Watumike kwa ajili ya mambo ya msingi tu.
 
Yule aliyemhoji makamu wa raisi wa Zanzibar kuhusu bei ya mafuta kutofautiana bara na visiwani anaitwa nani? Mwandishi alitoa miwani wakati anauliza. Video ipo humu jamii forum
Anaitwa Chief Odemba - Medani za Siasa StarTv Jumamosi Saa tatu na nusu usiku.
 
You don't ask hard questions kwenye birthday party or celebration poor fela, kujisifu kwingi go directly kuwa CMG hawana qualified journalists mfano wa Pascal Mayalla, Ditto wa RFA, Edwin Odemba, Nyanda Alloyce, Angelo Moleka, wanakosa Learned journalists.

Tell us what specifically did you expect. Sema mfano maswali gani?

Akili gani hio birthday is soft event you can't invite provocative thinking.

Ukyitegede tugala kumanya vintu za kubuzabuza vayo genda wait for the appropriate event, get away with nasty brain for our Dad. You sound Muyaye.

If you persist tulekuponona, iwe chikala chobe, maintain silence small boy
 
Angekuwa lily ommy hapo huwa anajitahid sana kuuliza.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwa mara ya kwanza umeandika point ila clouds ni station ya entertainment hawana ubavu wa kujua mambo mazito ya dunia
 
Nilimwona gadna amevaa hovyo hovyo matangazaji mwingine amevaa kama kinep kichwani, mtangazaji mwingine nywele haijulikani ni rasta au nini,

Nilijuta kuangalia ile tv
 
Back
Top Bottom