Watangazaji wa CMG mliomfanyia 'Interview' Kiongozi Mstaafu katika 'Birthday' yake Jana mmeiabisha 'Tasnia' nzima

Watangazaji wa CMG mliomfanyia 'Interview' Kiongozi Mstaafu katika 'Birthday' yake Jana mmeiabisha 'Tasnia' nzima

Moja ya utopolo walio fanya clouds jana ni kuishi na watumishi wasio jua mambo ya ulimwengu yalivyo...

Sio wafatiliaji kabisa ndio maana hawana malengo ya kwenda mbele

Walio ondoka pale walikuwa sawa sawa
Kama Regina mziwanda BBC, Abdul Mohamed BBC na Ikulu Zenji, Kuna Dogo Mmoja yupo Radio ya Umoja wa mataifa Marekani

Walio Baki ni makatuni wa kisasa
 
Waandishi wengi Tanzania tiamajitiamaji uwezo wa kuuliza maswali yakufikiria kama wenzao wa Kenya au Rwanda hawana, kwa mfano wangemuuliza inakuaje CCM kila kiongozi anapoingia anaanza na yake na hivo kurudisha nyuma maendeleo ya nchi, au katika uongozi wako ulifanya juhudi gani kuhakikisha taifa linajitegemea kiuchumi, lakini walikua wanauliza mara mlikutana wapi na mke wako, yaani ujinga tupu walipata nafasi kosa wajipange unaona ni bogus hawa
Competency ya waandishi wetu makanjanja wengi, na competency ya muulizwa swali.
 
Inatia huruma halafu ni vituo vyote tu hawana critical thinkers yaani kwa ufupi waandishi wengi hawako current na sio wasomaji kujiendeleza kielimu kwao ni shida tupu, pale ilikua nafasi ya kuuliza mambo ya kitaifa ili interview iishi milele lakini wale ni empty set halafu wanafiki kisaikolojia eti waandishi wanampiga madongo marehemu jiwe waziwazi unaona kabisa hawa mburula
At least kuna dada mmoja anaitwa Farhia Midle (ITV) kama sijakosea, kwa mbali anajitahd kuuliza maswali.

Ila waandishi wengine wengi maswali yao hayana logical connection na ni out of context.
 
Ulipotaja Rwanda na Kenya ( japo umeisahau ) na my Second Home Uganda nimefurahi sana Mkuu kwani hata Kiutafiti hayo ndiyo Mataifa yenye Watu Werevu ( Intelligent ) katika Ukanda huu mzima wa Afrika Mashariki.

Kuna nchi Moja ( nimeisahau ) jina ( ila nikiikumbuka nitaitaja ) yenyewe inashindana na 'Swahiba' wake wa 'Ujuha' nchi ya Burundi kuwa wa mwisho.
Mimi GENTAMYCINE alipojitanabaisha kua yeye ni Mnyarwandwa ndipo nilipochafukwa, hii mijitu haimpendi kabisa kijana na msoga, yaani wanatamani watawale Nchi za maziwa wakishirikiana na mashemeji zao wa Uganda (Nchi gani hazina demokrasia marais wanatawala milele)
J. K alitaka kuingia Ikulu ya Kigali km si busara zake leo tusingeusikia huu upupu wenu
 
At least kuna dada mmoja anaitwa Farhia Midle (ITV) kama sijakosea, kwa mbali anajitahd kuuliza maswali.

Ila waandishi wengine wengi maswali yao hayana logical connection na ni out of context.
Farhia Middley yuko vizuri na namkubali.
 
Nilichokipenda pale Ni kitu kimoja tu kuwa walikutana wazee kujadili swla la jiwe kujiongezea muhula kutoka 5 had 7 na Kisha kukiuka katiba

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata mm ningechangia hapo kwa sana, unajua jiwe ni swahiba na asili ya BAHIMA Empire ndio maana tunashindwa ungana nao, wepesi kugeukana ndio wanaomsumbua Tishekedi na DRC
 
Damu Kali ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi na yenye Akili Kubwa ni lazima tu Utaielewa na Utanielewa tu Mkuu.

"Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" GENTAMYCINE.
Mtani wangu mmakua umechangia kwa nani
 
Kwanza hamkujipanga vyema kwa Coverage yake ndiyo maana hata Mitambo yenu kila Saa ilikuwa inakatakata hali ambayo Iliboa na Ilituboa zaidi.

Pili wenye Akili akina GENTAMYCINE tulitegemea kwa Chombo cha Habari kupata ile Fursa basi ndiyo mngeitumia Kumhoji Mambo ( Maswali ) ya Msingi ya kuhusu Awamu yake, aliyoikabidhi na hii ya sasa tuliyopo.

Tatu kilichonishangaza zaidi ni kuona Watangazaji wote waliokuwepo Kumhoji Maswali ya Kitoto mno huku Wote Akili zao zikiwa katika Hafla ya Kula aliyokuwa ameiandaa huyo Kiongozi aliyekuwa na 'Birthday' yake Jana.

Uhovyo hovyo Wenu katika Kujipanga na Kushindwa Kumuuliza Maswali ya Msingi huenda ndiyo ulimpelekea 'Birthday Boy' wa Jana Kukengeuka Kihuni na Kukosa Maadili na kuanza Kucheka cheka tu muda wote, Upuuzi mwingi hadi Kutuinulia Picha ya Mama yake Mzazi na Kututambia 'Kihuni' kuwa ilikuwa Pisi Kali ya Baba yake Mzazi.

Nilichokiona Jana Mkewe amefanya vyema Kimahojiano, alikuwa na Staha Kubwa, Ustaarabu mwingi, Hekima huku akitawaliwa zaidi na Maadili na ndiyo alituvutia Watazamaji wengi kuliko hata Mhusika wa Shughuli yake ambaye kiukweli alituboa.

Mwambieni huyo 'Birthday Boy' wenu wa Jana kuwa 'Birthday' yake ya Mwakani ya Kutimiza miaka yake 73 anialike Mimi tu GENTAMYCINE ( Mtanzania Mnyarwanda ) au awajumuishe na BBC ya Uingereza pamoja na Citizen Tv ya Kenya kisha aniruhusu nimuulize Maswali yangu Saba ( 7 ) tu aone kama ama hatonipiga Kibao ( kama alichowahi Kupigwa Mstaafu Mwenzake ) au hatoamuru Nifukuzwe kabisa eneo la Tukio.

Mwisho ni Ombi ( Wito ) wangu kwamba Boss Mkuu wa Clouds Media Group ( CMG ) jjtahidi sana Uajiri Waandishi wa Habari Werevu na 'Critical Thinkers' hasa na siyo hawa Ulionao sasa kwani karibia 85% ni bure kabisa katika Tasnia Muhimu.

Na hakuna Tukio lililonikera zaidi GENTAMYCINE kama pale Mtangazaji Shaffih Dauda alipokuwa akitembea Kufanya Mazoezi na Kiongozi huyo Mstaafu na Kujiumauma muda mwingi na Kushindwa Kuuliza Mswahili na badala yake Kiongozi huyo 'Birthday Boy' wa Jana akamuuliza Shaffih Dauda Maswali yameisha na Unataka nizungumzie nini?

Hovyo kabisa.......!!!!!!
We nawe Kusaga alitaka amfanyie jambo Kikwete, sasa kwakuwa ana miliki clouds akaamua aihusishe clouds nzima, kwahiyo hayo maswali magumu yalikuwa sio mahala pake kihivyo
 
Farhia Middley yuko vizuri na namkubali.
Ingawa sijaangalia hiyo interview, lakini nilipo-note kwenye uandishi wako kwamba JK alikuwa anacheka-cheka nikajua tu kakutana na mwandishi asiye-ijua kazi yake.

JK huwa akikutana na mwandishi mwenye maswali magumu huwa anatabia ya ku-adjust miwani kila mara na kukunja uso.

Na kama hakugusa miwani kila dakika basi hakuna la maana au tija aliloongea bila shaka.
 
Kwanza hamkujipanga vyema kwa Coverage yake ndiyo maana hata Mitambo yenu kila Saa ilikuwa inakatakata hali ambayo Iliboa na Ilituboa zaidi.

Pili wenye Akili akina GENTAMYCINE tulitegemea kwa Chombo cha Habari kupata ile Fursa basi ndiyo mngeitumia Kumhoji Mambo ( Maswali ) ya Msingi ya kuhusu Awamu yake, aliyoikabidhi na hii ya sasa tuliyopo.

Tatu kilichonishangaza zaidi ni kuona Watangazaji wote waliokuwepo Kumhoji Maswali ya Kitoto mno huku Wote Akili zao zikiwa katika Hafla ya Kula aliyokuwa ameiandaa huyo Kiongozi aliyekuwa na 'Birthday' yake Jana.

Uhovyo hovyo Wenu katika Kujipanga na Kushindwa Kumuuliza Maswali ya Msingi huenda ndiyo ulimpelekea 'Birthday Boy' wa Jana Kukengeuka Kihuni na Kukosa Maadili na kuanza Kucheka cheka tu muda wote, Upuuzi mwingi hadi Kutuinulia Picha ya Mama yake Mzazi na Kututambia 'Kihuni' kuwa ilikuwa Pisi Kali ya Baba yake Mzazi.

Nilichokiona Jana Mkewe amefanya vyema Kimahojiano, alikuwa na Staha Kubwa, Ustaarabu mwingi, Hekima huku akitawaliwa zaidi na Maadili na ndiyo alituvutia Watazamaji wengi kuliko hata Mhusika wa Shughuli yake ambaye kiukweli alituboa.

Mwambieni huyo 'Birthday Boy' wenu wa Jana kuwa 'Birthday' yake ya Mwakani ya Kutimiza miaka yake 73 anialike Mimi tu GENTAMYCINE ( Mtanzania Mnyarwanda ) au awajumuishe na BBC ya Uingereza pamoja na Citizen Tv ya Kenya kisha aniruhusu nimuulize Maswali yangu Saba ( 7 ) tu aone kama ama hatonipiga Kibao ( kama alichowahi Kupigwa Mstaafu Mwenzake ) au hatoamuru Nifukuzwe kabisa eneo la Tukio.

Mwisho ni Ombi ( Wito ) wangu kwamba Boss Mkuu wa Clouds Media Group ( CMG ) jjtahidi sana Uajiri Waandishi wa Habari Werevu na 'Critical Thinkers' hasa na siyo hawa Ulionao sasa kwani karibia 85% ni bure kabisa katika Tasnia Muhimu.

Na hakuna Tukio lililonikera zaidi GENTAMYCINE kama pale Mtangazaji Shaffih Dauda alipokuwa akitembea Kufanya Mazoezi na Kiongozi huyo Mstaafu na Kujiumauma muda mwingi na Kushindwa Kuuliza Mswahili na badala yake Kiongozi huyo 'Birthday Boy' wa Jana akamuuliza Shaffih Dauda Maswali yameisha na Unataka nizungumzie nini?

Hovyo kabisa.......!!!!!!
Hakuna watangazaji clauds wa Mbo ya msingi zaidi ya miziki na uchambuzi wa mchongo wa michezo .
 
Umeona eeh Yan pale ndo ilibid mtu ahojiwe mambo ya mcng me nngefurah hat angeulzw vp mheshimiw unazungumzia vp uhusiano wako na babu sea mbn n kitu Kam kinakuchafua je kuna tatizo lolote Kati yako wewe na babu sea Ile ingemake headlines na mambo kadha wa kadha yenye kuleta tija
Babu seya ndio swali la.muhimu?? Wewe nae akili huna.

Maswali muhimu ni ya kiuchumi zaidi, nyie mnataka udaku. Swali lilipaswa kuegemea hapo, kwa nn tuko hapa. Kipi kilikukwamisha kuondoa umaskini kwa watanzania, kwa nn Singapore na sio Tanzania. Kipi kifanyike na kwa namna gani tufike huko.
 
Wqnamuliza kuhusu mambo ya bongo fleva.....
Angehojiwa na wasafi si ingekuwa vituko zaidi

Ova
Watangazaji wa Tanzania wengi ni wapumbavu. Kikwete ameshatoka madarakani hivyo Kuna vitu vingi anajutia kutofanya ili kuibadilisha Tanzania kiuchumi hata kama alikuwa na mapungufu bado alitamani kubadilisha maisha ya watanzania.

Maswali yangejikita zaidi kuhusu uchumi wa nchi ili Sasa isaidie wengine waweze kufika mbali. Wao wanakazania story za sijui wewe na membe ndugu, hata Kama ndugu yetu as long as ana uwezo wa kubadilisha maisha ya watanzania hakuna shida.
 
We nawe Kusaga alitaka amfanyie jambo Kikwete, sasa kwakuwa ana miliki clouds akaamua aihusishe clouds nzima, kwahiyo hayo maswali magumu yalikuwa sio mahala pake kihivyo
Maswali magumu kaulizwa Ila yasiyo mantiki ndio hoja ilipo.
 
Damu Kali ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi na yenye Akili Kubwa ni lazima tu Utaielewa na Utanielewa tu Mkuu.

"Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" GENTAMYCINE.
Damu ya kimakuwa tuna match ya kitutsi tunamatch,(do you speak rwandese) Aho bhisigura ngwiki mukinyarugwanda?
 
Umeona eeh Yan pale ndo ilibid mtu ahojiwe mambo ya mcng me nngefurah hat angeulzw vp mheshimiw unazungumzia vp uhusiano wako na babu sea mbn n kitu Kam kinakuchafua je kuna tatizo lolote Kati yako wewe na babu sea Ile ingemake headlines na mambo kadha wa kadha yenye kuleta tija
Babu sea 😂
Hivi huyo mwamba kapotelea wapi?

Jiwe alimtoa jela kiuchokozi ili kumpa hi mtani wake, Ila jiwe atabaki kuwa jiwe tu udongoni jamaa alikuwa fukunyuku sana.
 
Si mlikataa ule mswaada wa mabadilikobya sheria ya habari na vyombo vya habari...sasa lzm tupate watu ambao ni wababaifu tu ...shule hawana bali wanaishi kwa kipaji na muonekano mzuri wa kuji chubua na vipodozi toka china na uturuki
 
Back
Top Bottom