Watangazaji wa Michezo Redioni mbona leo hamchangamki kama mlivyokuwa mkichangamka kabla ya Mechi ya Yanga SC na USM Alger FC ya leo?

Watangazaji wa Michezo Redioni mbona leo hamchangamki kama mlivyokuwa mkichangamka kabla ya Mechi ya Yanga SC na USM Alger FC ya leo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu mlivyo wa hovyo badala ya Kuitangaza vyema kwa kusema kuwa Yanga SC imefungwa Kiuwezo mnachokifanya sasa ni kutafuta Wasikilizaji wenye Uyanga na kuwalazimisha waseme kuwa Yanga SC itaenda kupindua Matokeo / Meza Jijini Algiers nchini Algeria kwa Kuwafunga USM Alger FC na kuwa Mabingwa wa CAFCC kwa Msimu wa 2022 / 2023.

Hovyo kabisa Wanafiki wakubwa nyie.
 
Mwarabu kawaweza hasa hawa kenge wa kijivu; wanasawazisha goli...kisha ndani ya dakika moja baadae Mwarabu anazimisha kelele zao za furaha. Hiyo siyo dharau kweli?
 
Mmoja wapo ni huyo Nazareth upete wa TBC ambaye baada ya Yanga kufungwa akabadilika na kutoa sauti ya kinyonge huku anaonekana anataka kulialia
 
Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.

Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1

Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania. Kwa miaka mi tatu inacheza na
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.

Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao sio UNACHEZA na zalan, bamako na marumo unajisifu mkubwa, MATUSI, kelele, nk

YANGA SHUGHULI YETU IMEISHIA HAPO.
 
Mmoja wapo ni huyo Nazareth upete wa TBC ambaye baada ya Yanga kufungwa akabadilika na kutoa sauti ya kinyonge huku anaonekana anataka kulialia
Kumbe nawee ulionaa? Yaan hajuagi kuficha mahaba yake kwa yangaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu mlivyo wa hovyo badala ya Kuitangaza vyema kwa kusema kuwa Yanga SC imefungwa Kiuwezo mnachokifanya sasa ni kutafuta Wasikilizaji wenye Uyanga na kuwalazimisha waseme kuwa Yanga SC itaenda kupindua Matokeo / Meza Jijini Algiers nchini Algeria kwa Kuwafunga USM Alger FC na kuwa Mabingwa wa CAFCC kwa Msimu wa 2022 / 2023.

Hovyo kabisa Wanafiki wakubwa nyie.
TIMU YA TAIFA IMEFUNGWA TAIFA LIMEPOWA ILA WAPUMBAV WACHACHE NDO WANAFURAHI
 
Atakuwa na uwezo mdogo sana wa akili ambaye atadhani Yanga atapindua matokeo kule, game imeisha kwa Mkapa Stadium..!
 
Back
Top Bottom