Watangazaji, Wachambuzi na Waandishi wa Hab mnarudia Kosa lile lile ambao litaigharimu Simba SC ikikutana na Orlando Pirates FC

Siwezi kumchukia na kumfuatilia mtu ambaye simjui na wala haninifaishi kwa lolote ,hapa Jf kuna uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kusoma popote pale
'Natural Charm' yangu inawatesa, inakutesa na itawateseni mno hapa JamiiForums hadi muumie, mpasuke na ikiwezekana Mfe tu kabisa sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE kudadadeki.
 
Dr. Slaa mwenyewe anatambua nondo za huyu mwamba hadi alimtaja star tv kwenye mahojiano
Ukiona hadi Wakubwa kama huyo na Watu wengine mbalimbali wanakutaja na Kukukubali jua hata Mwenyezi Mungu nae ameshakukubali ns anaendelea tu Kukubariki huku idadi ya Wapumbavu wanaokuchukia nayo ikizidi tu Kuongezeka.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE kudadadeki.

Cc: Eze Ego
 
banned πŸ˜‚πŸ˜‚
ukanywe dawa vizuri
 
Liangalie hili linafiki,kule kwenye ID Yake nyingine linajifanya kuisifia Simba, we mpumbavu hujui mpira kabisa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…