Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Watano? mkuu ni hakuna yaani ni hakuna nikuhakikishie hakuna, Watano wapi hao?Mwandishi mmoja wa habari wa Kenya ni sawa na waandishi wa habari wa tano wa Tanzania tena walevi.
Mwandishi wa habari maarufu wa CNN kutoka Kenya Larry Madowo alipata hadi nafasi ya kumhoji bilionea wa Afrika Aliko Dangote.
Waandishi wa habari wa Tanzania kutwa kucha kusifia ccm na kuendekeza uchawa.!!
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Watangazaji ni comedian, hana Taaluma waka nini, na wako pale kufanya uchwa ili mkono uende kunywani.Watangazaji, wasanii wote ni wazee wa kusifu na kuabudu.
TBC hayo mambo ya ajabuHizo kelele na comed waskilizaji ndy wanazitaka, kwa mtu asiependezwa nazo basi TBC ipo.
Ukiachaba na upepo ila ukweli hatuna watangazaji wala Waandishi wa Habari, unazani kwa nini kwa sasa BBC swahili, dwd VOA wamejaa Wakenya? Wanaona Watangazaji wa Tanzania ni ComedianKiukweli, mtawaonea tu, kitu ambacho watanzania wengi tunaweza kubaki nacho mwanzo mwisho ni kabila tu ambalo mtu hawezi kubadili.
Inshu nyingi za nchi yetu zinaenda kwa upepo, so hata wanahabari wetu wapo wazuri na wana uwezo wa kuhoji vzr, ila wanajiuliza, what will be next after the press....
Pascal Mayalla huu ni moto mwingine aiseeeeSisi huyu Pascal Mayalla kama hajapewa Bahasha anaweza kidogo.
Daaah nilifatilia mkuu..Alihoji kwa Magu, akaambiwa maana ya jina lake ni Njaa 🤣🤣🤣
Wa Tanzania wakimuhoji Dangote labda wamuulize kanunua wapi Saa alio vaa au ile suti yake nani anamshoneaga. Hakuna kitu cha kumuuliza Dangote, hakunaMwandishi mmoja wa habari wa Kenya ni sawa na waandishi wa habari wa tano wa Tanzania tena walevi.
Mwandishi wa habari maarufu wa CNN kutoka Kenya Larry Madowo alipata hadi nafasi ya kumhoji bilionea wa Afrika Aliko Dangote.
Waandishi wa habari wa Tanzania kutwa kucha kusifia ccm na kuendekeza uchawa.!!
Uafrika hasa utanzania ni laana.
List of shame. Though rich mor than professors in Tanzania.1. Baba Levo,
2. Mwijaku,
3. Swebe,
4. Zembwela,
5. Da hu,
6. Da Gea,
7. Kitenge.
Mi naona waTangazaji wapo, tatizo ni serikali na sisi wenyewe waTanzania, hatujawa tayari kusimama kupinga uonevu.Watangazaji ni comedian, hana Taaluma waka nini, na wako pale kufanya uchwa ili mkono uende kunywani.
Sioni tena Watangazaji wa idhaa za BBC, VOA na Wd wakitoka Tanzajia, sioni, hizo taasisi zitachukua wakenya mwanzo mwisho kama ilivyo sasa.
Walikuwepo enzi zile kwa saaa hakuna mimi siwaoni, hawa wanavizia teuzi tu za ukuu wa wilayaWapo japo ni wachache ila hawawezi kupewa nafasi kama.hio ya kuhoji masuala ya msingi kama wizi na ufisadi kwenye sukari na mengineyo ya kipuuzi ya namna hio. Na zaidi marais wa hapa na wa nchi nyingine za kiafrika hawawez kukubali kuhojiwa nao na kuwekwa Live kwenye luninga za taifa..
Wengi wao wengine ni machawa, incompetent, zerobrainers, unprpfessional n.k
Wakina nani mfano?Mi naona waTangazaji wapo, tatizo ni serikali na sisi wenyewe waTanzania, hatujawa tayari kusimama kupinga uonevu.
Mkuu show ilikua kali eeehEric Ratiff ndio bad man hana huruma kabisa,maswali yake ni straight forward sio mpaka mafuta kabisa.
Kudos gang
Joe algeyo (nation media)
Linus kaikai ( Royal media )
Eric Ratiff (standard media)
Mmefanya kazi Safi japo Ruto naye kajitahidi kufanya damage control ila haijamlipa
Hatari na nusu mkuu,hao jamaa hawapaki mafuta mtu wako huru vibaya mno.Mkuu show ilikua kali eeeh