Watani acheni mzaha, deni la ATCL bilioni 472.8B??? Mbona kama mlikurupuka kwenye hii biashara

Watani acheni mzaha, deni la ATCL bilioni 472.8B??? Mbona kama mlikurupuka kwenye hii biashara

Ndege zetu zinamilikiwa na serikali siyo atcl ambayo ilikuwa na madeni ya kifisadi yaliyo sababishwa na kikwete na mkapa kabla hata ya kununua ndege mpya ndiyo maana ndege zetu zimewekwa chini ya umiliki wa serikali
Swali nimeulia haihusu umiliki wa ATCL. Swali nimeuliza ni kwamba ATCL imetengeneza faida ya shilingi ngapi mwaka huu. Mbona hii swali rahisi hivi mnashindwa kujibu?
 
..serikali imetumia trillion 2 kununua ndege.

..halafu budget ya wizara ya kilimo ni 294 billion.
 
Angalia historia ya KQ it has been profitable for a long time before loss making, ATCL has never made a single profit since inception
Eti Since it's inception, utakuta hata hukuwa umezaliwa, but you know it hasn't made profit, wakunya Mnajikutaga much know sana, kumbe wajinga to the core
 
Government subsidies katika nchi maskini kama yetu ambayo huduma zote muhimu elimu, afya, barabara, maji, umeme, mishahara ni below par kwa miaka 60 ya uhuru sasa kisha Serikali iendelee kuweka billions za walipa kodi shimoni mwaka hadi mwaka!? Unadhani kwanini waliomtangulia yule dhalimu mwendazake hawakuona umuhimu wa kuifufua ATCL na hivyo kuamua KUACHANA NAYO!?
Wewe huwaga, upo na upinzani ambao haukuruhusu kuchambua mambo from a neutral standpoint. Always a biased hater.
Kuna vitu vingi hujui ila ndio ivyo, uko na makelele mengi wajinga wenzio wa nahisi unajua
 
Eti Since it's inception, utakuta hata hukuwa umezaliwa, but you know it hasn't made profit, wakunya Mnajikutaga much know sana, kumbe wajinga to the core
Whether i was born or not Any Time Cancellation has been loss making even after it merged with South African Airways .Your losses have already outweighed any profits you might have made
 
Whether i was born or not Any Time Cancellation has been loss making even after it merged with South African Airways .Your losses have already outweighed any profits you might have made
Hamna kitu unajua wewe, endelea kubwabwaja.
 
Ndege zetu zinamilikiwa na serikali siyo atcl ambayo ilikuwa na madeni ya kifisadi yaliyo sababishwa na kikwete na mkapa kabla hata ya kununua ndege mpya ndiyo maana ndege zetu zimewekwa chini ya umiliki wa serikali

..ndege zinamilikiwa na serikali.

..atcl yenye madeni ya kufa mtu nayo inamilikiwa na serikali.

..hakuna nafuu hapo, ni ujanja ujanja tu.

..madeni na hasara ni juu yetu sisi Watanzania.
 
Unajua shida ya walio wengi wanaangalia hii biashara kwa mtazamo wa ukiweka 100 upate 140. lkn kwa biashara kama hizi unaangalia how other sectors of the economy positively impacted by the venture. Na shida iliyopo ni kuwa hakuna mtu mwenye mamlaka ambaye anaweza kulifafanua hilo kwa mapana yake. Matokeo yake, wengi wanapewa taarifa nusunusu za upande wa matumizi ya kifedha tu.

..Tz tuliongeza watalii na mapato yetu yalizidi nchi zote za Afrika Mashariki bila kuwa na shirika la ndege.

..Hoja kwamba tunahitaji shirika la ndege kukuza sekta nyingine, kwa mfano utalii, siyo hoja yenye mantiki na ushawishi.

..Na kibaya ni kwamba fedha tulizotumia kununua ndege zinakaribiana na mapato yote yanayotokana na utalii. Na baada ya matumizi hayo bado tunapata hasara mwaka hadi mwaka.

..Sisi tunachukua business na economic models za Dubai na Qatar tunatarajia zitafanya kazi Tanzania.

..Mataifa hayo hayana watu wengi wanaotegemea kilimo cha jembe la mkono, au wanaoswaga mifugo umbali mrefu kumfikisha kwenye mnada.

..Tanzania tunatakiwa tu-invest heavily kwenye kilimo, ufugaji, na uvuvi. Comperative advantage yetu iko huko kwasababu tuna ardhi nzuri, maji mengi, na sehemu kubwa ya watu wetu ni vijana.

..Ndege ni biashara kichaa. Tulitakiwa tuangalie Kenya na Rwanda wanavyopata hasara, na kuepuka kabisa kuingia huko.
 
Wengi tulimwambia yule dhalimu mwendazake kwamba kununua ndege si kipaumbele cha Watanzania. Kwanza Watanzania wengi wana vipato vya chini hawawezi kumudu gharama kubwa za kusafiri kwa ndege hivyo zitakuwa zinasafiri empty. Pili biashara ya ndege duniani kote ni ngumu sana ni mashirika machache duniani ndiyo yanatoboa na kuingiza faida kila mwaka. Mbali na hilo deni la 473 billions hasara kwa miaka mitano tangu 2016 ni 354 billions au sawa na 71 billions kila mwaka. Kwa kuwa alikuwa na PhD fake alijiona anajua kuliko yoyote yule hivyo AKAKURUPUKA.
Bro na umri wako lakini umeongea kwa hisia zaidi na kumtukana marehemu, nimeamini tunatofautisha mtu mmoja na mwingine sio kwa umri bali maarifa, ulichoandika ni pumba ni bora ungewapatia kuku wale kuliko kuziweka hapa, unajishushia hadhi yako...

Wewe katika maisha yako hujawahi kupata hasara kwenye biashara, hujawahi kufeli? ili kufanikiwa lazima uwe risk taker mzee...
Kampuni nyingi saaana duniani zilishafungwa na kutaifishwa kwa sababu biashara ni risk taking mzee...
Elon Musk kuna kipindi ali invest akayumba sana kiuchumi mpaka ikaleta tafrani yeye na mkewe, Musk alichosema ni kwamba anacheza karata yake ya mwisho akifeli yupo radhi akapate hifadhi kwenye kwao na mkewe hata akikaa gereji, wife aliomba waachane akijua jamaa anapotea, jamaa akaona sio kesi, huyo akampa talaka, sasa hivi yupo wapi...

Wewe na ushamba wako unafikiri biashara ni kama kushinda humu jf kuchat...
Ok kampuni gani 2019,2020 wameingiza faida, kampuni gani kubwa ya airline imepata faida, acha siasa za Chadema na chuki... kwenye fact ongea fact sio ooohh mwendazake, sijui dhalimu, wewe haikusaidii kitu...

Sasa unavyotudhalilisha kwa hawa wala Sukuma na mirungi ndio unafikiri watakuona smart? wanakuona unajipendekeza tu!!!

eliakeem na Hoshea huyu bro mnamuelewa kweli?
 
Una ufinyu wa akili ndiyo sababu huwezi kuelewa nilichoandika. Siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Na kusema kweli kuhusu tabia za mtu si matusi. Kama mtu ni mwizi basi aitwe MWIZI bila kupindisha kama ni mtu ni dhalimu kumuita DHALIMU si matusi.


Bro na umri wako lakini umeongea kwa hisia zaidi na kumtukana marehemu, nimeamini tunatofautisha mtu mmoja na mwingine sio kwa umri bali maarifa, ulichoandika ni pumba ni bora ungewapatia kuku wale kuliko kuziweka hapa, unajishushia hadhi yako...

Wewe katika maisha yako hujawahi kupata hasara kwenye biashara, hujawahi kufeli? ili kufanikiwa lazima uwe risk taker mzee...
Kampuni nyingi saaana duniani zilishafungwa na kutaifishwa kwa sababu biashara ni risk taking mzee...
Elon Musk kuna kipindi ali invest akayumba sana kiuchumi mpaka ikaleta tafrani yeye na mkewe, Musk alichosema ni kwamba anacheza karata yake ya mwisho akifeli yupo radhi akapate hifadhi kwenye kwao na mkewe hata akikaa gereji, wife aliomba waachane akijua jamaa anapotea, jamaa akaona sio kesi, huyo akampa talaka, sasa hivi yupo wapi...

Wewe na ushamba wako unafikiri biashara ni kama kushinda humu jf kuchat...
Ok kampuni gani 2019,2020 wameingiza faida, kampuni gani kubwa ya airline imepata faida, acha siasa za Chadema na chuki... kwenye fact ongea fact sio ooohh mwendazake, sijui dhalimu, wewe haikusaidii kitu...

Sasa unavyotudhalilisha kwa hawa wala Sukuma na mirungi ndio unafikiri watakuona smart? wanakuona unajipendekeza tu!!!

eliakeem na Hoshea huyu bro mnamuelewa kweli?
 
Government subsidies katika nchi maskini kama yetu ambayo huduma zote muhimu elimu, afya, barabara, maji, umeme, mishahara ni below par kwa miaka 60 ya uhuru sasa kisha Serikali iendelee kuweka billions za walipa kodi shimoni mwaka hadi mwaka!? Unadhani kwanini waliomtangulia yule dhalimu mwendazake hawakuona umuhimu wa kuifufua ATCL na hivyo kuamua KUACHANA NAYO!?
Waliomtangulia kina nani we bro? waliotangulia wameleta kitu gani?
Kama uamuzi wa kutoifufua ATCL ilikuwa ni smart move mbona nchi ndio ilikuwa inaelekea kwenye hali mbaya zaidi katika historia?
Ukikuta mtu anamchukia Magufuli ni 1- alikuwa ni mzee wa madili au 2-alikuwa kwenye payroll ya wafanyakazi wenye vyeti feki au kwenye familia yake kuna ndugu wenye vyeti feki, sasa jamaa kawafyeka mmebaki kumtusi hata sasa ni marehemu... kweli kuna mabaya yake lakini amefanya waliopita waonekane ni mataahira na wavivu kufikiria... yeah huo ndio ukweli...

Kufufua ATCL ni moja ya faida haswa kwenye masuala ya kitalii, sio lazima wa Tanzania wanufaike kwa kuzitumia wao, corona imechangia pakubwa kuturudisha nyuma hasa ndio kwanza tulikuwa mwanzoni na janga likafika... leo hii Rwanda unajua wanatumia kiasi gani kujitangaza na project yao visit Rwanda? project kama visit Rwanda halafu hata ndege hamna si upumbavu kabisa, sasa mlikuwa mnalalamika oooohhhh Rwanda wametuzidi kufikiri, Rwanda wapo smart.... hata tungewatangulia na project visit Tanzania na ndege hamna ni aibu kuu....... acha kuandika pumba mkuu.... eti Rwanda iwe na shirika la ndege na tunawazidi vivutio sisi hatuna....

acha ujuaji..........
 
Niondolee upuuzi wako hapa huyo dhalimu magufuli kaifanyia Tanzania zaidi ya wizi, ubadhirifu, udikteta na kuharibu uchumi? Watanzania Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa sana kwa nchi hamjui lolote zaidi ya kuongea ujinga ujinga tu.
Waliomtangulia kina nani we bro? waliotangulia wameleta kitu gani?
Kama uamuzi wa kutoifufua ATCL ilikuwa ni smart move mbona nchi ndio ilikuwa inaelekea kwenye hali mbaya zaidi katika historia?
Ukikuta mtu anamchukia Magufuli ni 1- alikuwa ni mzee wa madili au 2-alikuwa kwenye payroll ya wafanyakazi wenye vyeti feki au kwenye familia yake kuna ndugu wenye vyeti feki, sasa jamaa kawafyeka mmebaki kumtusi hata sasa ni marehemu... kweli kuna mabaya yake lakini amefanya waliopita waonekane ni mataahira na wavivu kufikiria... yeah huo ndio ukweli...

Kufufua ATCL ni moja ya faida haswa kwenye masuala ya kitalii, sio lazima wa Tanzania wanufaike kwa kuzitumia wao, corona imechangia pakubwa kuturudisha nyuma hasa ndio kwanza tulikuwa mwanzoni na janga likafika... leo hii Rwanda unajua wanatumia kiasi gani kujitangaza na project yao visit Rwanda? project kama visit Rwanda halafu hata ndege hamna si upumbavu kabisa, sasa mlikuwa mnalalamika oooohhhh Rwanda wametuzidi kufikiri, Rwanda wapo smart.... hata tungewatangulia na project visit Tanzania na ndege hamna ni aibu kuu....... acha kuandika pumba mkuu.... eti Rwanda iwe na shirika la ndege na tunawazidi vivutio sisi hatuna....

acha ujuaji..........
 
Una ufinyu wa akili ndiyo sababu huwezi kuelewa nilichoandika. Siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Na kusema kweli kuhusu tabia za mtu si matusi. Kama mtu ni mwizi basi aitwe MWIZI bila kupindisha kama ni mtu ni dhalimu kumuita DHALIMU si matusi.
Unazidi kuongea pumba, kama mama yako hakuwa mwaminifu kwa mzee wako na wewe ukafahamu unaweza kumtamkia we malaya na uzuri malaya kwa kiswahili sanifu ni mtu asiye na msimamo...
na siku akafariki ukasema yule malaya....

Ukisema nifuate ushauri wako nitajikuta hata nampa mzazi wangu majina ya kishenzi mbele ya rafiki zangu, na hapo ndipo nakuona una umri mkubwa lakini uwezo wa kufikiri ni mdogo, hakuna aliye kamilika hata wazazi wetu....
 
watoto wa VIKOPO utawajua tu lazima waonyeshe uchafu wao popote pale walipo.


Unazidi kuongea pumba, kama mama yako hakuwa mwaminifu kwa mzee wako na wewe ukafahamu unaweza kumtamkia we malaya na uzuri malaya kwa kiswahili sanifu ni mtu asiye na msimamo...
na siku akafariki ukasema yule malaya....
 
Niondolee upuuzi wako hapa huyo dhalimu magufuli kaifanyia Tanzania zaidi ya wizi, ubadhirifu, udikteta na kuharibu uchumi? Watanzania Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa sana kwa nchi hamjui lolote zaidi ya kuongea ujinga ujinga tu.
Sawa.....
 
Ungepata bahati ya kumjua babaako usingekuwa juha kiasi hiki.
Unazidi kuongea pumba, kama mama yako hakuwa mwaminifu kwa mzee wako na wewe ukafahamu unaweza kumtamkia we malaya na uzuri malaya kwa kiswahili sanifu ni mtu asiye na msimamo...
na siku akafariki ukasema yule malaya....

Ukisema nifuate ushauri wako nitajikuta hata nampa mzazi wangu majina ya kishenzi mbele ya rafiki zangu, na hapo ndipo nakuona una umri mkubwa lakini uwezo wa kufikiri ni mdogo, hakuna aliye kamilika hata wazazi wetu....
 
Back
Top Bottom