Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Dogo unaandika sana sijasoma.

Hata kuruka aya hujui


Mwanamme wa Daaaaaaaar, una matatizo haki ya nani. Zanzibar kuna tenda ya vijanadume kuolewa, nenda huko uwahi kabla wenzako hawajakuwahi......kuna waarab wametua kutafuta vijanadume tata kama wewe.
 
Mwanamme wa Daaaaaaaar, una matatizo haki ya nani. Zanzibar kuna tenda ya vijanadume kuolewa, nenda huko uwahi kabla wenzako hawajakuwahi......kuna waarab wametua kutafuta vijanadume tata kama wewe.
We mmang'ati wape hiyo dili wale washkaji wa Rombo wanaoshindwa hata kubeba jeneza
 
Aaah wapi we hata Facebook upo na hizi picha zako, hebu lete nyingine.
Hahaha
868ead35c97e428a650f9c48953bec34.jpg
mimi hapa mwenyewe from bush.
 
8b281b2fdae3e9a0a7004d35fdbb6316.jpg

Mwanaume wa dar bila kuboost na supu ya pweza hawezi kugegeda mwanamke, anakuwa kama hivi.


Siku hizi hawatumii tena supu ya pweza, wanadanganywa na vumbi la Kongo, kuna wengine wanabugia majivu, na wengine wamedanganywa eti mpaka wapigwe vidole na mademu wao ndipo stimu inarudi kama zamani. yaani wanaume wa Dar, haki ya nani ni vigarasa visivyo na akili timamu.
 
Back
Top Bottom