Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Hawapiii,kina le mutuz[emoji23]Weeeh wanaume wetu wana show za kibabe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapiii,kina le mutuz[emoji23]Weeeh wanaume wetu wana show za kibabe
Huko ndio wamejaaHakuna kunguni jaman
Aisee hapo dar wasipoangalia nguvu kazi ya taifa itaishaEti wanasema hawa ndio wanaume wa nguvu[emoji23] [emoji23] [emoji23]![]()
Wanakula chipsi kachumbari na bado hawamalizi wanadonoa donoa tuu ka Dada zaoHapo usipokuwa makini unamvaa bila wasiwasi.
Wanaume wa dar wanatia sana aibu.
Halafu hawakimaliziChakula anachokula mtoto wa miaka 3 mkoani wanakula wanaume 10 wa dar na wanaona kawaida.
We msitri tu[emoji23] [emoji23]Weeeh wanaume wetu wana show za kibabe
Lemutuz kumbe ni wa dar kama ni wa dar mkoani tunaongoza 2-0 hahahaHawapiii,kina le mutuz[emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Halafu hawakimalizi
Hahaha, tena usinikumbushe zile sinema, nimepigwa mwenzioMmh usinifanyie hivyo au umenifanyia cinema kama ya dada ako jaman
Niweke nini tenaWeka
Hakunaa mnasingiziaWeee tengua kauli yako ukipita maeneo ya sinza kule ni balaa wanaume wamekaa kwenye vigoda wapo kuoshwa miguu ni hatari sana kwakweli
Hawa ndio wenye shoo za kibabe?Weeeh wanaume wetu wana show za kibabe
Hakuna jaman wa kina lemutuz wa mikoani ujue lemutuz wa mbeya na ugogoni dodomaHawapiii,kina le mutuz[emoji23]
Mwanaume wa dar ana hips si mchezo
Si wastiri huo ndio ukweliWe msitri tu[emoji23] [emoji23]
Pita weekend siku moja utajionea mwenyeweHakunaa mnasingizia