Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Hahaha,ni wa hapo hapo dar,,mwanaume yoyote akikaa dar zaidi ya miaka 2 hatumuesabu tena kama ni mwenzetuHakuna jaman wa kina lemutuz wa mikoani ujue lemutuz wa mbeya na ugogoni dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha,ni wa hapo hapo dar,,mwanaume yoyote akikaa dar zaidi ya miaka 2 hatumuesabu tena kama ni mwenzetuHakuna jaman wa kina lemutuz wa mikoani ujue lemutuz wa mbeya na ugogoni dodoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepigwa ninii lakini mpaka unashindwa kuniambia halaf nahisi we ndio unasababisha apite jf kimya kimya kwenye viwanja vya nyumbani hacomment kitu anapita kimyaHahaha, tena usinikumbushe zile sinema, nimepigwa mwenzio
Hahaha ndo mana mwanamke wa dar akiliwa na wa mkoani utasikia ty nitafutie kazi huko uliko kumbe anataka akusogezee nyupu karibuSi wastiri huo ndio ukweli
Yaani hata aibu hawaoni wenyewe wanajidai wana pesa kumbe za kukopa tuDar saloon za Unisex kibao utaona tu bango nje tunafanya PEDICURE NA MANICURE sasa ingia hapo uone wanaume wanaoshwa miguu wamevaa vikaptura
Wanaume wa dar wangetolewa tu kwenye kundi la wanaume.Aisee hapo dar wasipoangalia nguvu kazi ya taifa itaisha
Hao wakina delicious wa mikoaniHawa ndio wenye shoo za kibabe?![]()
Wa mikoani Tanga husiijumlishe iyo ni sawa na zanzibar tu hatuwataki uku kwetu mikoaniSasa eti mwanaume anatokea Tanga, kweli? Na wewe unajihesabu mwanaume?
Mjinga sana unabebwa na mkeo kwenda kuoga unaogeshwa.
Kuna tofauti gani masaji ninayofanyiwa hapo Miriam Magic Hands na unayofanyiwa na mkeo? Yea tofauti ipo, wewe ukimaliza hapo unabebwa unaenda kubembelelzwa ulale
Mmh ebu njo ujaribu kwangu nione kama ni kweliHahaha ndo mana mwanamke wa dar akiliwa na wa mkoani utasikia ty nitafutie kazi huko uliko kumbe anataka akusogezee nyupu karibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume wa dar wangetolewa tu kwenye kundi la wanaume.
huyu anazinguaHao wakina delicious wa mikoani
Naniiii kama ni youngblood ni wa kiumehuyu anazingua
nashindwa kujua kama ni kiume au wa kike
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utataka tuondoke wote hapo ndio shida itakapoanziaMmh ebu njo ujaribu kwangu nione kama ni kweli
PichaNiweke nini tena
Acha tu, mwanaume wa Mkoani nimepigwa na mwanamke wa dar[emoji23] [emoji23] [emoji23],nadhani ameshituka ndio maana anapita huku kafunga vioo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepigwa ninii lakini mpaka unashindwa kuniambia halaf nahisi we ndio unasababisha apite jf kimya kimya kwenye viwanja vya nyumbani hacomment kitu anapita kimya
Mwanaume unaenda lipia ufanyiwe massage real?????? Unatania anko massage kabsaaa ????duuuSasa eti mwanaume anatokea Tanga, kweli? Na wewe unajihesabu mwanaume?
Mjinga sana unabebwa na mkeo kwenda kuoga unaogeshwa.
Kuna tofauti gani masaji ninayofanyiwa hapo Miriam Magic Hands na unayofanyiwa na mkeo? Yea tofauti ipo, wewe ukimaliza hapo unabebwa unaenda kubembelelzwa ulale
Asaa mkuu wee ni wakike au wakiume tafadhar Niko seriousHapana mna magovinda jaman msitunyanyasie wanaume wetu
kumbe mfupa kiunganishi huwa hauonekani[emoji3][emoji3]View attachment 687012Hawa ni wa wapi?
Mwanaume akikaa dar miezi mitatu automatically anakuwa mwanaume wa dar, huyo sio wetu tena tumewapa.Hao wakina delicious wa mikoani