Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Wanaume wa dar wamewekwa mkononi na mademu zao hawapumui hata kidogo yani hawana kabisa uwanaume
Huu ni uongo asee

Hakuna demu wa demu wa dar anaeweza kukubali demu mwenzake

Huwa wanashirikiana na mademu wenzao kupeana apudeti za vipodozi vipya na wanaume ( wa mikoani) wanaojua kuhonga.


Ukizubaa ukifika dar unaweza omba namba ya simu litoto lisilo riziki hafu na lenyewe hata halishtuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…