Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Dar nzima mwenye makalio makubwa ni nanihii na anatokea Kolomije, chura kama kibanda cha chips cha mama jaki
4bca21679525a6f26b191c39087b8b71.jpg
huyu pia ndugu yenu.
 
Wanaume wa dar wamewekwa mkononi na mademu zao hawapumui hata kidogo yani hawana kabisa uwanaume
Huu ni uongo asee

Hakuna demu wa demu wa dar anaeweza kukubali demu mwenzake

Huwa wanashirikiana na mademu wenzao kupeana apudeti za vipodozi vipya na wanaume ( wa mikoani) wanaojua kuhonga.


Ukizubaa ukifika dar unaweza omba namba ya simu litoto lisilo riziki hafu na lenyewe hata halishtuki
 
Back
Top Bottom