Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Ukitoka dar aukaenda mkoani au mkoani kwwnda Dar na ukaa huko zaidi ya miezi mitatu, basi tayari wewe umebadilika.
 
Unaweza alika wanaume wa dar kama kumi hivi kuja kunywa kisichana cha konyagi na ikabaki watakayo katia rock kesho
 
Na Mwaka huu mkulu anawahamisha kutoka dar mnakuja mkoani tutawakomesha mpaka basii mliambiwa muondoke mkagoma naona saivi mnaondoka bila kupenda karibuni mkoani mje na ulegelege wenuuuu
Alafu wanaume wa dar waƙisikia neno scorpion wanakimɓia wanaogopa ƙutolewa macho.Dar ndo mkoa pekee mwizi anapigwa na kiatu cha mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…