mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Hahaha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwehu wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwehu wewe
Huyu Roma anatokea hukoooo Tanga, Majani Mapana.huyu pia ndugu yenu.![]()
Kweli!! Huyu atafune mche[emoji15] [emoji15]Nina uhakika huwez tafuna mse wa mchikichi au kutafuna ngazi[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ahaha hafananii auWangemuona huyo Youngblood mwenyewe wangeshangaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wanaume wa dar wanatumia dawa za kuongeza makalio![]()
Ukitoka dar aukaenda mkoani au mkoani kwwnda Dar na ukaa huko zaidi ya miezi mitatu, basi tayari wewe umebadilika.Kabla sijasema chochote naomba mnisaidie kwanza.Kwani Mwanaume wa Dar na wa mkoani ni yupi kati ya hawa maana mimi nashindwa kuelewa mimi ni wa wapi.
Aliyezaliwa na kukulia mkoani ila kwa sasa anaishi Dar.je huyo ni wa wapi?
Aliyezaliwa na kukulia Dar ila kwa sasa anaishi mkoani.je hiyo ni wa wapi?
Mkinisaidia hapo na mimi nitatia neno maana mpaka sasa sijijui wa wapi maana vigezo vyenu havieleweki.
KhaaaaaaKwangu mimi Dar ni Kinondoni... Tena Mwananyamala... Kwingine kote wachumba tuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Da'Vinci njoo urudishiwe hela yako ya matumizi ya mwezi mzimamsalimie
kwa kimura kama
amang'ana mura
yake waraye...
kama akijibu namtumia hela ya mswaki wake
Vipiii hakulaliki leo mida imepitilizaUkitoka dar aukaenda mkoani au mkoani kwwnda Dar na ukaa huko zaidi ya miezi mitatu, basi tayari wewe umebadilika.
Umeeona eeh,,, yote yao kugombania dressing table na dada zao piaNa snapchat
Ngoja wakuje wa maeneo mengine[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Da'Vinci njoo urudishiwe hela yako ya matumizi ya mwezi mzima
MhUmeeona eeh,,, yote yao kugombania dressing table na dada zao pia
Mimi pia nitasema[emoji23] [emoji23], watu wakimuona beautiful watafurahi kweli, ngoja ifike birthday yangu niwafanyie surprise.Kwa mods ukule ban kwa kumuweka beautiful shunie [emoji4][emoji4] kuna watu watabisha
Unaweza alika wanaume wa dar kama kumi hivi kuja kunywa kisichana cha konyagi na ikabaki watakayo katia rock keshoAsante Kwanza kwenye sekta ya ulevi bure kabisa wanajishaua kunywa savvana yani hapo tu wanaponichosha sasa Kama wanakunywa savvana watapata wapi nguvu za kupiga game mm mwenyewe mwanamke wako mkoani napiga nyagi Nikipata mwanaume wa Dar nahisi nitamuacha siku moja
Stori ndefu, yani acha tu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi umeingizwajee ebu ukuje uniambie
Alafu wanaume wa dar waƙisikia neno scorpion wanakimɓia wanaogopa ƙutolewa macho.Dar ndo mkoa pekee mwizi anapigwa na kiatu cha mwanamkeNa Mwaka huu mkulu anawahamisha kutoka dar mnakuja mkoani tutawakomesha mpaka basii mliambiwa muondoke mkagoma naona saivi mnaondoka bila kupenda karibuni mkoani mje na ulegelege wenuuuu
Nn mkuu