Wamikoani ndo wanapenda kulelewa?Hao uliowasema sio wa mkoani ni marioo jaman wale wa mikoani wanaopenda kulelewa
Na snapchat
[emoji23] [emoji23] inabidi tanga, zanzibar na pwani waunganishwe maana sifa zao zinafananaWanaume WA tanga wako VP mkuu
Ndio mkuu wa mikoani wakiwa wanakuja dad kuanza maishaWamikoani ndo wanapenda kulelewa?
Kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ahaha hafananii au
Hivi mida ya kulala imebadilikakama hivi
Haha mshana si anakaa kazimzumbwi au nimekoseaHivi kaka we upo wapii kwani mbona husomeki
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] dar mokoooo sasa mbona kuna mda unawakandamiza wenzioMwananyamala moja hiyo
Watake radhi aisee[emoji23] [emoji23] inabidi tanga, zanzibar na pwani waunganishwe maana sifa zao zinafanana
Hahaha, mwenyewe bado hajarudiVipiii hakulaliki leo mida imepitiliza
[emoji3][emoji3][emoji3] kwendraaaaKabisa
Huu msemo wa wanaume wa DARThithemi
Anakaa mwananyamalaHaha mshana si anakaa kazimzumbwi au nimekosea
Shunie pamoja na kwamba tumesoma wote mwananƴamala ɓ mimi naishi mikoani ndo asili ƴangu lakini hao waume zenu mhhhhWere watake radhi jaman wanaume wetu
Mwanaume wa Dar
Usiwafanyie hivyo jaman[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa kukuzuia kuchat kiboko yakoHahaha, mwenyewe bado hajarudi