Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nianze tu kulambwa naahirisha na game kabisa hadi itakapotangazwa tena.Mfyuuuu unatamani kulambwa eenh
Yani acha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa kukuzuia kuchat kiboko yako
Ndo ivo mkuu
Yaani wanaudhi mpaka basi aiseeWanaume wa dar wanavimisemo vyao,,, kama Asante Anasema Santee,,, [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Utasikia magazeti yanaandika, "picha za Mbunge zasambaa mitandaoni"[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikiachika nakuja kwako ukiweka picha ujue me ni mbunge wa jumbo language young
Pole sana.Mkuu,Kwa sasa naishi Dar kwa miaka kadhaa ila natokea mkoani,sikubali kuwa mwanaume wa Dar hata niikishi huku miaka buku.
Hapa ilala ukiona nyumba zimepangana basi jua kati ya hizo nyumba yupo shoga.Siwezi kuwa wa hili limkoa mimi nitabaki wa mkoani tu hata kwa lazima.
Wanatia kero,,aisee hadi unajiuliza huyu ni punga ama vp? Mi huwa akinjbu hvo hata siendelei na charting tenaYaani wanaudhi mpaka basi aisee
NakujaUkuje basi
Mara Tanteee[emoji20]Wanaume wa dar wanavimisemo vyao,,, kama Asante Anasema Santee,,, [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanatia kero,,aisee hadi unajiuliza huyu ni punga ama vp? Mi huwa akinjbu hvo hata siendelei na charting tena
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Ndiyo starehe kubwa ya vijana wa Dar hii......kupigana vidole, punyeto, kucheza kibao kata, kusikiliza na kukariri misemo ya taarab, kusikiliza sana bongo fleva, na kujichua kwa siku mara 6.
Aisee [emoji23]wanaume wa dar wako katka mchakato wa kuvaa pedi.ati kwa kua haki sawaa
Mi wa mkoani mƴWewe ni wa dar huwezi kukataa asili yako ulipozaliwa