[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa mbali unaweza kuckia kama harufu ya nyama inaungua kumbe pu.....znapata joto
[emoji23][emoji23]kwani uongoMweeee uchochezi huu
Man's no hot[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajidai Man can never be hot
Apo mbele palivotepeta[emoji23]kama ukwaju wa masika[emoji125] [emoji125] [emoji125]Wanaume wa dar!!!View attachment 687514
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Man's no hot[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Apo mbele palivotepeta[emoji23]kama ukwaju wa masika[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wanaume wa dar!!!View attachment 687514
Huyo Punga wa Kushoto niliwahi kumuona mpakani Namanga. Kila mtu alikuwa anamshangaa hadi watoto nadhani waliona kitu kisicho cha kawaida.
Sio Veta kwa Msakamali kweli [emoji23][emoji23][emoji23] bila shaka upo group la Msata DiasporaMsata kilingeni
Mm sio mwanamume wa dar dear, usinitafutie kigezo cha kunikataa[emoji23][emoji23]kwani uongo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yote tisa......Kumi Mwanaume wa Dar anakimbilia siti kwenye Mwendokasi. Yupo radhi amuone Mwanamke amesimama kabeba Mtoto mgongoni anajikausha kama hamuoni. Hili kwangu Mimi nilivyoona nilishangaa na bado nashangaa.
Wao wanaona kawaida tu,,, mikoani unaweza pigwa maweHuyo Punga wa Kushoto niliwahi kumuona mpakani Namanga. Kila mtu alikuwa anamshangaa hadi watoto nadhani waliona kitu kisicho cha kawaida.
Nilipanda eicher la Gongo la mboto lilijaza sana sasa kuna mmama alikuwa kambeba mtoto kasimama sasa kuna abiria alikuwa amekaa kainuka ili ashuke yule mmama ile anaenda kukaa kuna baba hilo limetoka spidi kuwahi ile siti bila aibu yule mmama alikuwa ndio anaketi ikabidi apotezee sasa yule mbaba kakaa katikati ya wamama siti ya nyuma mbona walimchamba [emoji23] mwanaume MTU mzima unashindana na mama mwenye mtoto kukaa kwenye siti ,huna haya maneno kibaoYote tisa......Kumi Mwanaume wa Dar anakimbilia siti kwenye Mwendokasi. Yupo radhi amuone Mwanamke amesimama kabeba Mtoto mgongoni anajikausha kama hamuoni. Hili kwangu Mimi nilivyoona nilishangaa na bado nashangaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndiyo zao hizo wanaume wa Dar.Nilipanda eicher la Gongo la mboto lilijaza sana sasa kuna mmama alikuwa kambeba mtoto kasimama sasa kuna abiria alikuwa amekaa kainuka ili ashuke yule mmama ile anaenda kukaa kuna baba hilo limetoka spidi kuwahi ile siti bila aibu yule mmama alikuwa ndio anaketi ikabidi apotezee sasa yule mbaba kakaa katikati ya wamama siti ya nyuma mbona walimchamba [emoji23] mwanaume MTU mzima unashindana na mama mwenye mtoto kukaa kwenye siti ,huna haya maneno kibao
Yule jamaa akawa kauzu anabishana nao na mwishoni kusema nyie simameni huyo mama akae kajikaza
Nilijisikia aibu sana japo sikuwa mm wale wamama waliongea sana kijamaa kauzu kimedinda tu
Wakijijini wanatembea uchiWanaume wa dar naskia wanavaa sambusa
[emoji16][emoji16] nenda kalale mkuuwatu wa mikoani wanakula vyakula vigumu mpaka wakienda kunya wanabeba na vilainishi ili wasichanike