impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Inabidi utafutwe umevuluga hali ya hewa kama nabii Tito.[emoji102] [emoji102] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi utafutwe umevuluga hali ya hewa kama nabii Tito.[emoji102] [emoji102] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Uchochezi unakuhusu! hii mada watakufanya kama Kisandu unadhalilisha wanaume wa dar unawafananisha na haw[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Only in Dar[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Masaki news alert View attachment 687425
Cha yule msanii mkubwa anaekunywa majiHz tabia wanarisisha kuanzia Watoto wao,,, kuna kitoto kidogo cha kiume naskia kmevalishwa hereni juzi kati
Ha ha ha ha. Huu utani wa ngumiiiiWanaume wa dar kila siku mnaonewa sana ....magereza wanawakunguta ,vile vitoto vya mitaani vinawanyanyasaa yaan shida tupu ...
Na madem wenu wakibahatika kuonjaa radha ya kitu kutoka mkoanii ndo wanawaonaa hovyo kabisaaa
Maserati
Ndio mkuu,,,Cha yule msanii mkubwa anaekunywa maji
Wa mkoani tena mkoani haswaaaa kule kwenye mapanga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahha omwana we ni mwanamke wa dar au??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa marafiki zako shida tupuu full kupigana vikumbo kwenye dressing tableHa ha ha ha. Huu utani wa ngumiiii
Sasa mura ndo mambo yangu kabisa yani. Yule aliefungua uzi kumbe wa Dar? Sikujua. Labda ndo atakua mwanaume wangu wa kwanza wa Daaar.Wanaume wa dar wote watoto...
Yule aliyekufungulia uziii...
Mura wa mkoani nipo hapa nitakurinda na panya road
Hahaha kwetu uko[emoji23][emoji23]kule ni omwana tuuuu!!!tuko watu weeeusiii tiiiiiWa mkoani tena mkoani haswaaaa kule kwenye mapanga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23]na vipensiWanaume wa dar kwa kulamba lamba lips[emoji23]
Tunashare lotion[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa marafiki zako shida tupuu full kupigana vikumbo kwenye dressing table
Tushajizoea huku watu weusi hamna vipensi wala baga huku ni nguna tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha kwetu uko[emoji23][emoji23]kule ni omwana tuuuu!!!tuko watu weeeusiii tiiiii