Duuh, si bora kuishi kwa uhuru ukiwa mugumu kuliko kukimbizana na mkolomije mwingine(DAB) ikifika saa sita usiku!Sisi ndiyo wanaume wa Dar sisi ni wabaya.
Wajinga wajinga nyie wazamiaji Magufuli kabana kidogo akasema hadi mwezi wa saba urudi kijijini kwenu ukachimbe chumvi umeshindwa kumaintain umehamishwa mji kibabe na jamaa wa kolomije.
Halafu mmefika huko mnajifanya mnakandia wanaume wa Dar shenzi
Sikweli mkuuWanaume wa Dar ni mafundi wa kutongoza, kuliko wa mikoani ambao wengi wao wanatumia ubabe tu!
Sikweli mkuu
Ukiona umefika muda wowote wa hatari huko kwenu shamba niambie niende mtaa wowote hapa Dar nikupigie picture nikutumieDuuh, si bora kuishi kwa uhuru ukiwa mugumu kuliko kukimbizana na mkolomije mwingine(DAB) ikifika saa sita usiku!
[emoji23][emoji23][emoji23]hata kama ni wa mkoani usitoke nyanda za juu kusini[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mm sio mwanamume wa dar dear, usinitafutie kigezo cha kunikataa
Ndo hela za nchini kwenu?mje Dar maskini nyie tuwe tunawatuma acheni jeuri mtakufa masikini shauri zenu....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kqma naliona lilivyokaza mshipa kubishana na wamama[emoji23]Nilipanda eicher la Gongo la mboto lilijaza sana sasa kuna mmama alikuwa kambeba mtoto kasimama sasa kuna abiria alikuwa amekaa kainuka ili ashuke yule mmama ile anaenda kukaa kuna baba hilo limetoka spidi kuwahi ile siti bila aibu yule mmama alikuwa ndio anaketi ikabidi apotezee sasa yule mbaba kakaa katikati ya wamama siti ya nyuma mbona walimchamba [emoji23] mwanaume MTU mzima unashindana na mama mwenye mtoto kukaa kwenye siti ,huna haya maneno kibao
Yule jamaa akawa kauzu anabishana nao na mwishoni kusema nyie simameni huyo mama akae kajikaza
Nilijisikia aibu sana japo sikuwa mm wale wamama waliongea sana kijamaa kauzu kimedinda tu
Huhuuu mm sio wa huko bibiee nadhani nimekidhi vigezo...[emoji23][emoji23][emoji23]hata kama ni wa mkoani usitoke nyanda za juu kuzini[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] kusini sio kuzini[emoji23][emoji23]Huhuuu mm sio wa huko bibiee nadhani nimekidhi vigezo...
Hahaaaa mm hata sijasema kitu dear..[emoji23] [emoji23] kusini sio kuzini[emoji23][emoji23]
Wa nyanda ya juu kusini wana nn kwani[emoji23][emoji23][emoji23]hata kama ni wa mkoani usitoke nyanda za juu kusini[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hawa Wanaume wanashida,,ona sasa hzo pesa zaoNdo hela za nchini kwenu?
Wanaume wa dar wanapenda majukumu mepesi kama Ku identify location ya sehemu zinazobamba ila zikija bill za "buckets" wanajitia kuvuta fegi au kupiga simu...mnajichoresha zama hizi za ma google maps na Uber services sema tunawachora tu na fedha za madini na mbao[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]mje Dar maskini nyie tuwe tunawatuma acheni jeuri mtakufa masikini shauri zenu....
[emoji106] [emoji106] [emoji106] waambie ukweli hawatufaham wa mikoaniAsante Kwanza kwenye sekta ya ulevi bure kabisa wanajishaua kunywa savvana yani hapo tu wanaponichosha sasa Kama wanakunywa savvana watapata wapi nguvu za kupiga game mm mwenyewe mwanamke wako mkoani napiga nyagi Nikipata mwanaume wa Dar nahisi nitamuacha siku moja
Usikubali kataa kabisaKuna mwanaume wa Dar anataka kunioa Ngoja niendelee kusoma huu uzi mwanzo mwisho kabla sjamkubalia