Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Sisi ndiyo wanaume wa Dar sisi ni wabaya.

Wajinga wajinga nyie wazamiaji Magufuli kabana kidogo akasema hadi mwezi wa saba urudi kijijini kwenu ukachimbe chumvi umeshindwa kumaintain umehamishwa mji kibabe na jamaa wa kolomije.

Halafu mmefika huko mnajifanya mnakandia wanaume wa Dar shenzi
Duuh, si bora kuishi kwa uhuru ukiwa mugumu kuliko kukimbizana na mkolomije mwingine(DAB) ikifika saa sita usiku!
 
Duuh, si bora kuishi kwa uhuru ukiwa mugumu kuliko kukimbizana na mkolomije mwingine(DAB) ikifika saa sita usiku!
Ukiona umefika muda wowote wa hatari huko kwenu shamba niambie niende mtaa wowote hapa Dar nikupigie picture nikutumie
 
6e879da9c04773bcab3e8d07165bc6df.jpg
mje Dar maskini nyie tuwe tunawatuma acheni jeuri mtakufa masikini shauri zenu....
Ndo hela za nchini kwenu?
 
Nilipanda eicher la Gongo la mboto lilijaza sana sasa kuna mmama alikuwa kambeba mtoto kasimama sasa kuna abiria alikuwa amekaa kainuka ili ashuke yule mmama ile anaenda kukaa kuna baba hilo limetoka spidi kuwahi ile siti bila aibu yule mmama alikuwa ndio anaketi ikabidi apotezee sasa yule mbaba kakaa katikati ya wamama siti ya nyuma mbona walimchamba [emoji23] mwanaume MTU mzima unashindana na mama mwenye mtoto kukaa kwenye siti ,huna haya maneno kibao

Yule jamaa akawa kauzu anabishana nao na mwishoni kusema nyie simameni huyo mama akae kajikaza

Nilijisikia aibu sana japo sikuwa mm wale wamama waliongea sana kijamaa kauzu kimedinda tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kqma naliona lilivyokaza mshipa kubishana na wamama[emoji23]
 
Wanaume wa dar kwa mafoto, msosi hauliki bila selfie!...hayo mambo muwaachie wadada!
 
6e879da9c04773bcab3e8d07165bc6df.jpg
mje Dar maskini nyie tuwe tunawatuma acheni jeuri mtakufa masikini shauri zenu....
Wanaume wa dar wanapenda majukumu mepesi kama Ku identify location ya sehemu zinazobamba ila zikija bill za "buckets" wanajitia kuvuta fegi au kupiga simu...mnajichoresha zama hizi za ma google maps na Uber services sema tunawachora tu na fedha za madini na mbao[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Asante Kwanza kwenye sekta ya ulevi bure kabisa wanajishaua kunywa savvana yani hapo tu wanaponichosha sasa Kama wanakunywa savvana watapata wapi nguvu za kupiga game mm mwenyewe mwanamke wako mkoani napiga nyagi Nikipata mwanaume wa Dar nahisi nitamuacha siku moja
[emoji106] [emoji106] [emoji106] waambie ukweli hawatufaham wa mikoani
 
Back
Top Bottom