Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Wanaume wa Dar kazi kushinda sallon..na kufuga kucha...powder kwa sana...wakija mkoani unaweza ukadhani wadada..wananuka kiharufu fulani kama pombe fulani inaitwa komoni..haahaahaaaaaa
 
Huyu bwana namjua nilikutana nae dukani nilikua kwa msela pale mwenge anaongea kama mwanamke
 
Sisi wanaume wa Dar ni watanashati saaaaana full body spray na perfume
 
salidalamu moto... Kinondoni moto... Ilala moto... Tmk moto.. Fire.. Moto... Fire... Moto....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…