Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Kuna watu mnachangia lkn mnatia mashaka uwezo wenu wa kuelewa au mpo Dar lakin hamkwenda shule kabisa yani Hamna elimu kichwani. Ni lazima mjue kutofautisha dhana ya Mikoani na Kijijini pia swala la Maisha bora na maisha ya kimaskini. Si kweli kwamba kuwa mkoani tafsiri yake ni kuwa masikini au kuwa mkoani basi ni kuwa kijijini.
 
Wanaume wa mikoani wana magaga miguuni mpaka ukiweka mia mbili inaingia kwenye kisigino...
 
Wanaume wa mikoani wana magaga miguuni mpaka ukiweka mia mbili inaingia kwenye kisigino...
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji3][emoji3][emoji30][emoji30][emoji30][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…