Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Mura ametuaibisha sisi wanaume wa MikoaniHahahahahahha umeamua kumchana jirani yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mura ametuaibisha sisi wanaume wa MikoaniHahahahahahha umeamua kumchana jirani yako
Kuna filter mule nao unakuta wanapigia picha ili wawe soft yaaniiiiUmeeona eeh,,, yote yao kugombania dressing table na dada zao pia
Pole sana mura, mimi pia ninepigwa mura hatuchekaniNimewasaidia maiaha muraa dar jua kali
February 7 [emoji85][emoji85] mfyuuu usiweke picha zangu jaman utasababisha niwe mjane ujueMimi pia nitasema[emoji23] [emoji23], watu wakimuona beautiful watafurahi kweli, ngoja ifike birthday yangu niwafanyie surprise.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha huyu jamaa wa Pwani huyu maeneo ya chole
Ahahhaha ebu niambie sh ngapii ulipigwaStori ndefu, yani acha tu...
Unaweza kurusha ndoano kabisa.kweli maana si kwa mzigo ule
yani wakitembea na mwanamke na we upo nyuma yao unajua wote ni wanawake
Acha kuwakataa wenzenu weweIla wanaume wa tanga wasitie neno hapa maana wanaweza wakabadili upepo wa hii thread
Ahahah wanaharbiwa na wale wakongomani wa FM academy wanaojibreachKuna filter mule nao unakuta wanapigia picha ili wawe soft yaaniiii
Hao uliowasema sio wa mkoani ni marioo jaman wale wa mikoani wanaopenda kulelewaNn mkuu
Wanaume WA tanga wako VP mkuuIla wanaume wa tanga wasitie neno hapa maana wanaweza wakabadili upepo wa hii thread
Mmh mbona wapo sasaIla wanaume wa tanga wasitie neno hapa maana wanaweza wakabadili upepo wa hii thread
Hivi kaka we upo wapii kwani mbona husomeki
Hahaha tanga na pemba hawachekani