Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

Wanaume wa Dar

d7223e8b05e18ba96b64d97751ad13c6.jpg
Mikumi hiyo njia panda ya kwenda kilombero na iringa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Sikuamini masikio yangu siku niliposikia mwanaume wa Dar anamwambia mwenzake

"Mwanangu nina umbea huo"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kuna mmoja nlimskia Anasema haamini kama amechambwa na jamaa yake,, Ilkuwa interview flani hv kwenye radio station,,
 
Nilienda dar kutembea Usku naona watu hawaingii jikon baadae nashangaa boda boda anakuja na mifuko kila mtu akapewa mmoja ndani chips kavu na kipaja cha kuku na azam cola ya baridi baada ya kulala saa 9 Tumbo linaanza kuunguruma njaa nikaamka kupika uji sipendagi ujinga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nilishaga tia aibu sehemu kwa makusudi

Mwanaume mtu mzima unaletewa vipande vya viazi kama dawa ya ngiri, mi nilifunika vile kisha nikawasha moto nikapika mihogo chukuchuku nikafuta hafu wooote wamenitolea macho
 
Back
Top Bottom