Watanzania 5 waripotiwa kufariki kwenye ajali ya Moto Afrika Kusini

Mimi huyo anayenyonga bangi
 
Majengo sio ya Serikali majengo ni ya watu binafsi waliokimbia SA na kwenda kuishi sehemu zingine Serikali lazima ishindwe kesi maana haina hati za hayo majengo ila makampuni binafsi ya majengo huwa wanapewa vibali kwa kuyaendeleza kwa vipindi na majengo mengi hizo Kampuni zimeyachukua zinakarabati na kukodisha kwa wapangaji...
 
You are very lucky boy!!
Maeneo ya wabongo waliochoka ukienda kishua unaweza kuporwa kila kitu including passports.
Miaka ya nyuma walikuwa wanakwenda parkstatiin kupokea wabongo kwenye mabasi wanajidai wanakupa msaada then wanakupeleka doorfontein , ukifika huko unaporwa kila kitu.
 
Mmoja wa wahanga
 

Attachments

  • 1693630085530.jpg
    44.1 KB · Views: 3
Wabongo waliopo sauz asilimia kubwa ni wale walioshindikana huku kwetu
 
Hatari sana.
 
Punguza bangi.
 
Watanzania tulivyo waongo utadhani Tanzania hakuna uhalifu ni majuzi tuu nilikua Mbinga nilikaa Songea kama siku mbili pale na jamaa zangu yule jamaa alieuawa mwenye Jeep Nyekundu niliiona gari yake Songea nafika Chuga naona Taarifa ya habari kuwa kauawa na Mtoto wake nilisikitika sana ila haya matukio yapo hapa hapa Tanzania na wahuni walisukuma lile Jeep kwenye bonde kubwa wakitegemea litapindukapinduka lilienda na matairi mpaka huko Chini ndio Polisi wakahisi kuwa hawa wameuawa na kutupwa hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…