okey ni.namba 13 kuhususiana na mapingamizi, jiongeze tena ujiite CWT kabisa ili uendane sawa na hobi yako ya kikekikeMaadili ya uchaguzi ni wkt wa kuanza kwa wagombea, na hakuna kitu kama hicho saivi. Wewe ni MATAGA hujui hata kanuni moja.
Weka hapa hiyo kanuni...
Mnaudhi sana nyie CCM.