ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonesha wewe mtoto wa juziMnavomsifiaga huyo PK kama Mungu Kumbe ushubwada tu.
Siku moja ajaribu kuichokoza Tanzania tumuoneshe.
Tatizo kubwa la Congo ni "weak state", hawa wanajeshi wa DRC hata mgambo wanaweza kuwatandika tu...kwanini tusiondoe askari wetu DRC?
..kama Tsishekedi anataka ulinzi akawakodishe Wagner, au Blackwater, wamsaidie.
..Jwtz wamekuwa Congo kwa nafasi tofauti tangu enzi za Mzee Kabila, mpaka leo bado tupo tu.
..Kwa maoni yangu, jeshi la Congo halifundishiki, na halisaidiki.
Hivi Museveni Ameshawahi Kuvaa Gwanda? Sikua Nalifahamu Hili!..kuwasambaratisha m23 inabidi ku-commit askari wengi kama alivyofanya Robert Mugabe / Zimbabwe walipokwenda kumsaidia Mzee Kabila.
..kuituliza DRC kunahitaji jeshi, na sio kikosi, kwenda kupigana vita, siyo kufanya operation ya muda mfupi.
..Maraisi wengi walioko madarakani ni raia, na waoga, wasioweza kuamrisha majeshi yao yaingie vitani.
..Nchi zenye viongozi wanaoweza kuamrisha majeshi yaingie vitani kwa sasa hivi ni Rwanda, Uganda, na South Sudan, ambao Maraisi wao wana historia ya kushiriki vita.
Vijana Wa Kujitolea, Hata Skills Hawana Za KutoshaTatizo kubwa la Congo ni "weak state", hawa wanajeshi wa DRC hata mgambo wanaweza kuwatandika tu.
Hivi Museveni Ameshawahi Kuvaa Gwanda? Sikua Nalifahamu Hili!
Tshekedi ni kiongozi wa hovyo sana anashindwaje kuoganise majeshi yake kufanya hivyo, ukishaona kiongozi anaingiliwa mpaka chumbani mwake ujue ni wa hovyo sanaKuingia Goma kutokea Bukavu ni kipengele sababu miji hii inatenganishwa na ziwa Kivu.
Hapa wanatakiwa kuingilia Nyiragongo. Uzuri hesabu za kuingilia wapi hazipo sababutayari wapo Gomba.
Kinachotakiwa ni kuwapelekea kipigo cha haja, lazima tu watarudi nyuma na mji pekee watakao retreat ni Gisenyi.
Wakikimbilia Gisenyi , maana yake tayari wapo Rwanda (na siku zote ndipo wanapotokea na kukimbilia). Hapa watatakiwa kuongeza nguvu na kasi ya mashambulizi na kutojali mpaka, maana yake na wenyewe watavuka, wakivuka Rwanda itapaniki na kujibu, kitedo cha kujibu inakuwa tayari wameshai drug rasmi Rwanda vitani.
Rwanda ikishakuwa rasmi in war mode, na wenyewe wana activate vikosi vilivyopo kule Bukavu ili viingie Rwanda wakiuvuka mto Ruzizi. Hapo ngoma inakuwa inogile.
Ili Goma itulie inatakiwa watu anaoweza kujitoa ufahamu. Ukijifanya ni mtu wa kutaka ku make sense kamwe eneo lile halitatulia.
Siku zote M23 wakizidiwa, mji wanaokimbilia ni Gisenyi, wakikimbilia Gisenyi wanawaacha. Yaani majeshi ya waasi wakimbilie nchi nyingine na silaha zao halafu nchi hiyo inabaki kiwaaminisha kuwa haihusiki? Ujinga huu.
Ku deal na Kagame inahitaji watu wanaoweza kujifyatua akili kama JK na General Mwakibolwa, an Kagame akishajua anakabiliana watu wa aina ile huwa anakuwa muoga sana. Huufyata mapema.
Ili Goma itulie ni lazima......... Asiwepo madarakani.Tanzania hakuna jeshi la kupambana na M23,
Asante kwa Taarifa Mkuu..Museveni alikuwa kiongozi wa waasi wa Uganda miaka ya 80. Alishiriki vita vya msituni. Sasa mchango wake ktk uwanja wa mapambano ulikuwa mkubwa kiasi gani hilo bado sijatafiti.
Kagame alimtaja rais mlaghai wa DRC Felix Tshisekedi kama mjinga ambaye hakujua la kufanya kama kiongozi.