Watanzania fuatilieni kinachoendelea DRC. Hali kwa majirani zetu ni mbaya, ya hatari sana

Watanzania fuatilieni kinachoendelea DRC. Hali kwa majirani zetu ni mbaya, ya hatari sana

MmammmAee tumfyeeke tu mpaka kwake hawezi kuuwa wakina mama na watoto wasio na Hatia .....This time TUMFUNDISHE NAMNA Y kuwa BINADAMU .....No No No imetosha!!!
Mkuu unataka kusema uko site mpk muda huu, au unamfyeka Kwa njia ya keyboard?
 
Nimetoka hapo peacekeeper lakin withn few days nitalud tena hali inatia simanzi sana

Lakin wananch wanaish kwa iman kubwa na peacekeeping.......Za UN,Sadic,monusco

Lakin kwa mikakati hawatoweza ikamata kivu yote .......
 
Kama wewe ni kiongozi na mjinga, ni balaa kabisa. Ni mbaya zaidi, hata hatari zaidi, ikiwa watu walewale walioshikilia mamlaka mikononi mwao wataamua kuwa watatumiwa na kuchezewa kwa maslahi fulani na wajinga,” alisema Rais Kagame.
 
Jeshi letu linawasaidia Wacongo lakini na wenyewe inatakiwa wajitambue. Haiingii akilini nchi yenye utajiri na diaspora wengi miji yake kutekwa na kikundi tu cha watu. Congo kama wako serious waingie mkataba na Tanzania na South Africa ili kwa malipo/makubaliano maalum tuwalinde walau kwa muda wa miaka 20 huku wakiendelea kujenga upya mifumo yao ya kiuulinzi. Vinginevyo Tanzania na South Africa nazo zitauchoka mgogoro huu na hapo ndipo Congo itakapo pata hasara kubwa zaidi.
WAZO ZURI CHISEKEDI ATUPE MATRANKA YA DHAHABU KAMA 20 HIVI KILA MWAKA. TUMSAIDIE KUWEKA KAMBI HATA NNE HAPO ESTERN CONGO!!!

CHISEKEDI INABIDI AKUBALI JW WAFUMUE JESHI LA CONGO WALISUKE UPYA HAPO NDO KUTAKUWA NA NIDHAMU.

ILA KWA KUMALIZIA KAMA VIPI WAJIUNGE NA TZ KAMA WAZANZIBARI TUPATE (TZC) LINCHI LA MAZIWA NA ASALI🤗🤗🤗
 
Blood money,
Nashauri drone zitumike zaidi.
Sasa hivi MONUSCO na FLDR INTERAHAMWE SADC na Jeshi la DRC wanapigana bega kwa bega ili kuwarudisha Rwanda Raia wa Wakongo wenye asili ya Kitutsi.

Halafu kuna watu wanailaumu Rwanda.
 
Ni wazi sasa tunapigana VITA na huyu Nyoka aliye pembeni na sisi!!!

LIVE UPDATES:

Tumewafyeka n sasa wakimbia kumapori na Goma ipo salama kabisa .BM masàa 7 bila kupumzika zimefanya kazi nzuri huku ni mizoga tu ikipigwa n mvua ....salamu mpaka Kigali
Fake news!!
 
Sasa hivi MONUSCO na FLDR INTERAHAMWE SADC na Jeshi la DRC wanapigana bega kwa bega ili kuwarudisha Rwanda Raia wa Wakongo wenye asili ya Kitutsi.

Halafu kuna watu wanailaumu Rwanda.
Rwanda hausiki na kinacho endelea kongo
 
Nimetoka hapo peacekeeper lakin withn few days nitalud tena hali inatia simanzi sana

Lakin wananch wanaish kwa iman kubwa na peacekeeping.......Za UN,Sadic,monusco

Lakin kwa mikakati hawatoweza ikamata kivu yote .......
Shida hapo ni Nan sasa kagame , wazungu au wakongo wenyewe
 
Ni wazi sasa tunapigana VITA na huyu Nyoka aliye pembeni na sisi!!!

LIVE UPDATES:

Tumewafyeka n sasa wakimbia kumapori na Goma ipo salama kabisa .BM masàa 7 bila kupumzika zimefanya kazi nzuri huku ni mizoga tu ikipigwa n mvua ....salamu mpaka Kigali
Tujuze mkuu si muingie mpaka kaikulu kake ka hapo kigali. Napo mumtembezee fyekeeo mwanzo mwisho
 
KP Kakulia vitani kwa taarifa yako na ashakuwa mkuu wa kitengo cha intelligence jeshi la uganda

KP anajua vita kapigana vita maisha yake yote, sasa nyie nendeni kichwa kichwa Mtajua hamjui😁😁😁
Jamaa kawekeza sana kwenye military spy military technology na anaijua vizur East Africa;

Sasa nyie nendeni kichwa kichwa mtachinjwa kama kuku😁😁😁
Uzuri na sisi vita tunaijua vyedi acha kututisha akiambiwa na JK atukie la sivyo kamkoa hako tunakachukua akatulia shwaaaa
 
KP Kakulia vitani kwa taarifa yako na ashakuwa mkuu wa kitengo cha intelligence jeshi la uganda

KP anajua vita kapigana vita maisha yake yote, sasa nyie nendeni kichwa kichwa Mtajua hamjui😁😁😁
Jamaa kawekeza sana kwenye military spy military technology na anaijua vizur East Africa;

Sasa nyie nendeni kichwa kichwa mtachinjwa kama kuku😁😁😁
Mnavomsifiaga huyo PK kama Mungu Kumbe ushubwada tu.
Siku moja ajaribu kuichokoza Tanzania tumuoneshe.
 
Back
Top Bottom