Watanzania fuatilieni kinachoendelea DRC. Hali kwa majirani zetu ni mbaya, ya hatari sana

Watanzania fuatilieni kinachoendelea DRC. Hali kwa majirani zetu ni mbaya, ya hatari sana

Tuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.

Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.

Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Mkishawaweka mtu kati, ni mizinga tu mfululizo, kama mna drone is much better maana drone hupiga picha na kurudisha mrejesho, Umakini muhimu sana, mzalendo, kila la kheri. The hero!
 
Hata Donald Trump ni Dictator tyu. Na ameshasema, watashughulikia wachina kwanza, halafu waje kulokota "rare earth" minerals.

Hizi sio vita zamasikini.
Wenyewe banakunywa kofi
Ok, nimeona wachina wakiwa wanataka kufungwa jela kuhusiana na migodi / could be that!
Ningelikuwa mimi ni Tshekedi, rare earth mineral area yote ningefunga mikataba na Wachina ya miaka 50, kwa mgawanyo wa 75/25, na Wachina ningewapa mandiate to guard and protect the whole area!, ukizingatia Trump haipendi Afrika, Nadhani mgogoro unhekwisha, kuliko kuibiwa ibiwa kusiko na manufaa yoyote!
 
Ku Control Nchi Likubwa Vile, Tena Limeshaingia Kwenye Machafuko kweli Sio Rahisi
Hapawezekani hata kidogo.hawa ndugu zetu watarudi na vilema ila wanalipwa.
Ni nchi ndogo hapo pembeni imeshika dola, wao wanacheza mziki guku wanaibiwa peupe.
 
KP Kakulia vitani kwa taarifa yako na ashakuwa mkuu wa kitengo cha intelligence jeshi la uganda

KP anajua vita kapigana vita maisha yake yote, sasa nyie nendeni kichwa kichwa Mtajua hamjui😁😁😁
Jamaa kawekeza sana kwenye military spy military technology na anaijua vizur East Africa;

Sasa nyie nendeni kichwa kichwa mtachinjwa kama kuku😁😁😁
TOKEA MWANZO UNATETEA HUO UJINGA
 
..kuwasambaratisha m23 inabidi ku-commit askari wengi kama alivyofanya Robert Mugabe / Zimbabwe walipokwenda kumsaidia Mzee Kabila.

..kuituliza DRC kunahitaji jeshi, na sio kikosi, kwenda kupigana vita, siyo kufanya operation ya muda mfupi.

..Maraisi wengi walioko madarakani ni raia, na waoga, wasioweza kuamrisha majeshi yao yaingie vitani.

..Nchi zenye viongozi wanaoweza kuamrisha majeshi yaingie vitani kwa sasa hivi ni Rwanda, Uganda, na South Sudan, ambao Maraisi wao wana historia ya kushiriki vita.
 
1737859786661.png


..mnamkumbuka huyu?
 
Wanaenda kujazana maluku kompitans emprominare 65 000 wanacheza "tusebe isiba eyaka"
Lakini hawawezi kugombania nchi yao.
Wapo wapo tu, ubinafsi ndio kimewakaa badala ya kujali maisha ya watu wao.
Mobutu ndo mana alibebe kila kitu nayeye akaibiwa.
Wamekaa wanasubiri misaada tu.
Mwana Bongoman Kikwete hakungoja alipiga kwenye shina kabisa miaka ile.
Na walitulizwa.
Boda hapo Goma kwenda ndani huko ndo tatizo.
Hili jeshi letu wameenda kufanya mazoezi tu.
Hao M 23 toka kipindi cha Kayibanda,Bosco,Nkunda, mtoto wa mobutu kashindwa na kiti kachukua huyu hawamtaki sa hii tshombe.
Yaani hao ni kuwaacha tu wamalizane.
Ila yuko paka hapo pembeni anabeba kila kitu huku wao wanacheza muziki.
Unaiba hela unahifadhi France dakika ya mwisho hawakupi hata entry permit.
W
majinga sana Miafrika.
Jean bedel bokassa(emperor of Africa)
Kuna mjinga aliweka mali nyingi sana France.
Omar Bongo akapewa na mke kabisa.
Siku mambo yameenda hovyo wakaseaze kila kitu kazulumiwa,kabaki ombaomba.
Mobutu kafia Morocco.
Chumba kimoja huku anamiliki mansion nyingi tu France.
Habyarimana also die then, now wife face charge in France.
come genocide.
Dunia ni mbaya sana tukubari tu.
Hao ni majabali wa siasa Africa let alone Nyerere and Magufuli.
Nashukuru marais wangu wazalendo lakini sina malalamiko kwao.
Nenda Gabon, Congo, Burundi, Rwanda, Kampala ndo utajua hujui.
Na wote wamesoma jeshi Monduli hapo.
 
PK anasingiziwa tuu. Ongea na wanajeshi walioko watakupa mkanda kamili. Hiyo vita ni mtaji wa nchi kubwa, hata hao wanajeshi wanaoenda kulinda huko ukionekana unapeleka moto sana kwa M23. Wanakuua wewe hao walinda amani wenzako! Anyway nisiingie ndani sana ninawatoto wananitegemea
Coward?. ....
 
Tuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.

Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.

Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Watanzania mlivyo walaini walaini thubutuni mchakazwe
 
Tuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.

Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.

Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Kuingia Goma kutokea Bukavu ni kipengele sababu miji hii inatenganishwa na ziwa Kivu.

Hapa wanatakiwa kuingilia Nyiragongo. Uzuri hesabu za kuingilia wapi hazipo sababutayari wapo Goma.

Kinachotakiwa ni kuwapelekea kipigo cha haja, lazima tu watarudi nyuma na mji pekee watakao retreat ni Gisenyi.

Wakikimbilia Gisenyi , maana yake tayari wapo Rwanda (na siku zote ndipo wanapotokea na kukimbilia). Hapa watatakiwa kuongeza nguvu na kasi ya mashambulizi na kutojali mpaka, maana yake na wenyewe watavuka, wakivuka Rwanda itapaniki na kujibu, kitendo cha kujibu inakuwa tayari wameshai drug rasmi Rwanda vitani.

Rwanda ikishakuwa rasmi in war mode, na wenyewe wana activate vikosi vilivyopo kule Bukavu ili viingie Rwanda wakiuvuka mto Ruzizi. Hapo ngoma inakuwa inogile.

Ili Goma itulie inatakiwa watu anaoweza kujitoa ufahamu. Ukijifanya ni mtu wa kutaka ku make sense kamwe eneo lile halitatulia.

Siku zote M23 wakizidiwa, mji wanaokimbilia ni Gisenyi, wakikimbilia Gisenyi wanawaacha. Yaani majeshi ya waasi wakimbilie nchi nyingine na silaha zao halafu nchi hiyo inabaki kiwaaminisha kuwa haihusiki? Ujinga huu.

Ku deal na Kagame inahitaji watu wanaoweza kujifyatua akili kama JK na General Mwakibolwa, an Kagame akishajua anakabiliana watu wa aina ile huwa anakuwa muoga sana. Huufyata mapema.
 
..kuwasambaratisha m23 inabidi ku-commit askari wengi kama alivyofanya Robert Mugabe / Zimbabwe walipokwenda kumsaidia Mzee Kabila.

..kuituliza DRC kunahitaji jeshi, na sio kikosi, kwenda kupigana vita, siyo kufanya operation ya muda mfupi.

..Maraisi wengi walioko madarakani ni raia, na waoga, wasioweza kuamrisha majeshi yao yaingie vitani.

..Nchi zenye viongozi wanaoweza kuamrisha majeshi yaingie vitani kwa sasa hivi ni Rwanda, Uganda, na South Sudan, ambao Maraisi wao wana historia ya kushiriki vita.
Congo wawe serious na mambo yao. M 23 walipofurushwa 2014?, ilibidi waandamwe huko walikokimbilia wanyimwe nafasi ya kupumua.
 
Back
Top Bottom