Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Tunawaombea sana Mkuu. Hao wapuuzi wapeni dozi nene warudi kwa fidodido anayewatuma.
Nani huyo aliyepimwa mkojo?Umenikumbusha aliyekuwa amepimwa mkojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawaombea sana Mkuu. Hao wapuuzi wapeni dozi nene warudi kwa fidodido anayewatuma.
Nani huyo aliyepimwa mkojo?Umenikumbusha aliyekuwa amepimwa mkojo
MmammmAee tumfyeeke tu mpaka kwake hawezi kuuwa wakina mama na watoto wasio na Hatia .....This time TUMFUNDISHE NAMNA Y kuwa BINADAMU .....No No No imetosha!!!Tuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.
Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.
Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Hawapo upande wowote, wanaangalia maslahi ya makampuni yao yanayovuna raslimali za wakongo.Wakuu wa dunia wapo upande upi katika hii vita?
Aliyekuwa amepimwa mkojo, awamu ya 5Nani huyo aliyepimwa mkojo?
Mmaee tumfyeeke tu mpaka kwake hawezi kuuwa wakina mama na watoto wasio na Hatia .....This time TUMFUNDISHE NAMNA Y kuwa BINADAMU .....No No No imetoshaTuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.
Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.
Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Sasa mbona unauza mbinu za kivita?? Huko kombania gani mkuu 😹😹Tuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.
Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.
Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Kuna kipindi mlibanikwa kama ndafu mmeshasahau 😁😁Tuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.
Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.
Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.
Kagame anaishauri serikali ya Congo ifanye mazungumzo na M23, sijui kama yeye anaweza kufanya mazungumzo na FDLR
KP Kakulia vitani kwa taarifa yako na ashakuwa mkuu wa kitengo cha intelligence jeshi la ugandaYaani huyo kagame form four liver ana uwezo wa kupambana na PhD ya viongozi wetu kama hajapigwa mpaka anyooke na kupinduliwa juu japokuwa tutajua amepandikiza watu mpaka ikulu
Fuatilia habari hapa.
kwamba vita ni zebra watoto wa shule wanavukaWawe tu makini 🙏
PK anasingiziwa tuu. Ongea na wanajeshi walioko watakupa mkanda kamili. Hiyo vita ni mtaji wa nchi kubwa, hata hao wanajeshi wanaoenda kulinda huko ukionekana unapeleka moto sana kwa M23. Wanakuua wewe hao walinda amani wenzako! Anyway nisiingie ndani sana ninawatoto wananitegemeaTuombeeni tu. Hao wajinga tunawazunguka katikati kisha tuwape kibano.
Wengine wanaingilia upande wa Bukavu na baadhi tunawapelekea moto kuanzia huu upande wa Goma.
Na wakileta ujinga tunaingia hadi Gisenyi kwake na anayewapa kiburi.