1.Uchumi wetu unaendelea kukua wenu umesinyaaAcha mafeelings jombaa, thibitisha kwamba mna elimu bora zaidi ya Kenya. Ukitumia angalau akili zako za darasa la saba, sio hizi akili za vijiweni. (20Marks)
Achana na hao kobeKwa haraka haraka nimepitia hiyo website katika top 100
1- Kenya -vyuo 5
2- Tanzania -vyuo 3
3- Uganda -vyuo 2
4- Rwanda- chuo 1
vyuo vya Tanzania vilivyoingia ni
1- Jalalani
2- Sokoine
3- Muhimbili
hizi kelele zote sijui zinatoka
Nadhani wajinga zaidi na wenye elimu ndogo ni hawa wakenya wenzako wanaomsifia hapo profesa kutoka jalalani universityHili nalo halina ubishi, sio kwa sampuli yao ile ya maprofesa ndomboloo, sijui kina Palamagamba. Wasomi lakini wakifungua midomo yao hata drop out wa darasa la kwanza anabaki mdomo wazi. Bila kumsahau yule mwanakemia wao na ile PhD yake ya kimagumashi.
Hauhitaji Kiingereza kujua kwamba hizi ni slums za Kibera...Tatizo hamjui English, yaani kingereza huwa kinawatesa sana.....hehehehe
Yaani wanaacha kujiuliza kwanini UON imerudi nyuma wanaanza kutunanga sisi wenye elimu ndogo [emoji23][emoji23][emoji23]
Meanwhile, matunda ya Kiingereza..... hahahaaaaaaKujua kingereza raha sana yaani kinakupa kujiamini balaa...mwanzoni siku najua umuhimu wa kingereza mpaka nilipokuja Tanzania na kuona kinavyowatesa huko, mnahangaika sana halafu kikiwashina mnasema ni cha mkoloni....hehehe
Hebu ona elimu bora ya Kenya....Povu la watz buana! [emoji38] Hadi dakika hii sijaona mtz yeyote akijaribu kwa uzalendo kuthibitisha kwamba Tz ina elimu bora zaidi ya Kenya. Hata kwa zile domo domo zao tu za kawaida. Maanake mleta mada ametumia ripoti ambayo ina msingi wa utafiti wa kisayansi. Point made MK254, hata wakifukia vichwa vyao mchangani. Tayari uzi wenyewe huu unaonesha wazi makali ya madhara ya elimu duni. 😎
haahahahahHiyo elimu imewasaidia nini kuwaondolea slum kubwa zaidi duniani?
Liprofesa lilitema madini mpaka manyang'au yakabaki yanapiga makofi huku yameduwaa.... hahaNadhani wajinga zaidi na wenye elimu ndogo ni hawa wakenya wenzako wanaomsifia hapo profesa kutoka jalalani university
Hauhitaji Kiingereza kujua kwamba hizi ni slums za Kibera... View attachment 1689826
Meanwhile, matunda ya Kiingereza..... hahahaaaaaaView attachment 1689827
Akili kubwa hizi hapa [emoji116][emoji116]Acha mafeelings jombaa, thibitisha kwamba mna elimu bora zaidi ya Kenya. Ukitumia angalau akili zako za darasa la saba, sio hizi akili za vijiweni. (20Marks)
Njaa iko hapa [emoji116][emoji116][emoji117][emoji205][emoji90]Kwani hujala lunc? Mimi ndio ulininukuu
Naona umeamua kutokelezea na akili za makada was sisiemu. Bure kabisa, eti uchumi wa Kenya haukui? Tena Kenya inaenda kuwapiga double kwenye GDP. Miradi mmetekeleza mingapi hadi ikaisha ukilinganisha na Kenya? Umesahau zile 1.5T alizotafuna jiwe? Hebu rudi Lumumba ukaimbe sisiemu mbere kwa mbere ukimsifia Jiwe kwa miradi yake mikubwa ya maendeleo kule jamhuri mpya ya Chato.1.Uchumi wetu unaendelea kukua wenu umesinyaa
2.Tumeweza kuthubiti Rushwa kwa asilimia kubwa Nyie bado Rushwa ni kama kawa
3.Tumejaribu na tumeweza kutekeleza miradi mikubwa bila ya kutegemea mikopo ya nje! !
Haya mambo anafanyuika kwa kutumia Elimu bro sio nguvu
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji3545][emoji3545][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Hii ndio inaitwa lack of education, illetracy plus primitivity.Watanzania mpende kusoma kidogo angalau kabla ya kuropoka,,kubishana na wajinga ni kazi mno kweIi
Naona umeanza kujam hehe pangua izo hoja Acha kupanua miguuNaona umeamua kutokelezea na akili za makada was sisiemu. Bure kabisa, eti uchumi wa Kenya haukui? Tena Kenya inaenda kuwapiga double kwenye GDP. Miradi mmetekeleza mingapi hadi ikaisha ukilinganisha na Kenya? Umesahau zile 1.5T alizotafuna jiwe? Hebu rudi Lumumba ukaimbe sisiemu mbere kwa mbere ukimsifia Jiwe kwa miradi yake mikubwa ya maendeleo kule jamhuri mpya ya Chato.
Hicho kizungu nilishakisoma zamani sana wakati wewe bado unaokota punje za githeri hapo Kibera.Kingereza raha bana acha hasira, nilishakuambia utafute mtu akupe darasa...
Hawaitaki hii report ila ukiwaambia wakanushe kwa facts wanashindwa, but msijali tushawazoea huwa wanakataa mwanzoni zen mwishowe wanakubali, si mnakumbuka issue ya millionaires? Mwanzoni hawakuamini kama Tz ndio nchi yenye millionaires na billionaire wengi EA, yn ukichukua idadi ya millionaires wa Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi hawafikii Tz.