St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Inakuwaje hizo coins zinapanda thamani hivo? Hakuna udaku kweli kwenye hayo mambo? Hizo coins zinazalisha nini hasa mpaka thamani yake inapanda hivyo?
Je wachina ni wajinga kukataa hizo coins na kuzipiga marufuku??
Daaah uliiwahi mkuu! Tuendelee kupambana! Mimi plan yangu kwa sasa ni kutafuta coin zenye future nzuri niwekeze zaidi!!
Mkuu nipe muongozo wa coin za kununua.Cjui kwann, mimi nilitoa uzi wa kupeana coin ambazo n potential tuwekeze chakushangaza ukaja unganisha na uzi miaka tele ya nyuma tena wala haviendani... Ila ipo cku tutaongea lugha moja kuhusu cryptocurrency acha watu wabeze tu
Usd 300 unapata coin ngap sasa mkuu..January nilinunua Shiba inu kwa $600 sawa na 100,000,000 shib.x sasahivi $600 sawa na $3,100 December inaweza kuwa sawa na $30,000 na 2023 au 2025 sawa na $100,000,000.
Kama unawekeza kwenye cryptocurrency angalia shiba inu, Btt.x Umb na doge coin. Utanishukuru sana ifikapo 2025
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mawazo yako mkuuI see de fly of bitcoin, $57,000/=per one coin
Ila mawazo yangu yananiambia hakuna future nzuri kwa bitcoin ila now ipo ktk its high peak in order to drop deeper
Sio mawazo mkuu, Nipo katika ndotoMawazo yako mkuu
Usd 300 unapata coin ngap sasa mkuu..
AiseeMillion 10+
Kila kitu kinahitaji elimu.Inahitaji elimu kwanza...
Unanunuaje mkuu?Million 10+
Namm nataka ninunue Shiba Inu ila sijui nijiunge na wallet ipi na jinsi ya kuweka pesa ili ninunue hizo coin msaada tafadhaliJanuary nilinunua Shiba inu kwa $600 sawa na 100,000,000 shib.x sasahivi $600 sawa na $3,100 December inaweza kuwa sawa na $30,000 na 2023 au 2025 sawa na $100,000,000.
Kama unawekeza kwenye cryptocurrency angalia shiba inu, Btt.x Umb na doge coin. Utanishukuru sana ifikapo 2025
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mkuu nakufatilia sana nyuzi zako,unajitahidi sana kuwasanua wabongo kuhusu haya mambo,wabongo wanapenda umbeya kuliko elimuSitaki kuongelea bitcoin miaka 10 iliyo pita wala sitaki kuongelea the likes of etherium miaka kadhaa iliyo pita.
Kuna coin ambazo zina huge potential na mpaka sasa zina bei nafuu kweli kweli!
Mfano wa hizo coin (pamoja na bei tarehe ya leo 10/10/2021) ni kama ifwatavyo.
1. Matic Polygon (1.3 usd per coin)
2. Enjin (1.7 usd per coin)
3. Cardano (2.22usd per coin)
4. Fantom (2.22usd per coin)
5. Zilliqa (0.1 usd per coin)
Ziko nyingine nyingi lakini hizi ndio naona kidogo zina future nzuri.
Pamoja na kuwekeza kwenye fixed account au ununue hisa ni bora ukafikiria kuwekeza kwenye cryptocurrencies! Miaka mitano mpaka kumi from now unaweza jikuta uko sehemu ingine kabisa!
=========
NB1: Kuwekeza kwenye cryptocurrencies ni kama uwekezaji mwingine, kuna faida na hasara hivyo HAKIKISHA UNAFANYA TAFITI KUJIRISHA KABLA HUJAWEKEZA PESA YAKO.
NB2: Sitoi mafunzo wala huduma za cryptocurrencies na ndio maana nimesisita ufanye tafiti yako mwenyewe ili ujirishe.
Kila la heri Mtanzania mwenzangu!
Karibu mkuu hapa ndio tunako nunuaga usd kisha tunazi convert kwenda shibainu au coin yeyoye utakayo. Bonyeza link hii hapo kuji register👇Namm nataka ninunue Shiba Inu ila sijui nijiunge na wallet ipi na jinsi ya kuweka pesa ili ninunue hizo coin msaada tafadhali
Karibu mkuu hapa ndio tunako nunuaga usd kisha tunazi convert kwenda shibainu au coin yeyoye utakayo. Bonyeza link hii hapo kwenye browser yako kuji register👇
Karibu mkuu hapa ndio tunako nunuaga usd kisha tunazi convert kwenda shibainu au coin yeyoye utakayo. Bonyeza link hii hapo kwenye browser yako kuji register👇