Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Acha siasa za kifala, halafu ninyi wanasiasa achaneni na timu yetu ya Taifa pumbavu ninyiBaada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Daktari wa Madaktari
Congo ni bora mara Mia kuliko sisiBaada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Congo ni bora mara Mia kuliko sisi
Huu ndio msingi wa hoja yetu
Nafahamu kwamba wako unaowatukana, ila mimi umenitumia kama Sampo tuAcha siasa za kifala, halafu ninyi wanasiasa achaneni na timu yetu ya Taifa pumbavu ninyi