Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baada ya kufuatilia nimegundua kwamba wengi hawajafurahishwa na kipigo, lakini pia hawajahuzunishwa.
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024
Kauli zao hazionyeshi kama wamehuzunishwa, Wengi wanasema timu yao ni Timu ya Serikali au ni timu ya viongozi, ni kama wanadhani haiwahusu kiviiiiilee.
Hivi ni Kwanini Watanzania hawaumizwi na Timu yao kuboronga?
Soma Pia: Full Time: Tanzania 0- 2 DR Congo | Qualification AFCON 2025 | Benjamin Mkapa Stadium | 15 Oktoba, 2024